Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
- #21
Eleweni hilo la bandari hata yule jasiri wenu, au mungu wenu alilishindwa.Hamna Rais hapo
Rais gan hatambui maamlaka yake ni dhaifu sana anategemea mipasho😠😠
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eleweni hilo la bandari hata yule jasiri wenu, au mungu wenu alilishindwa.Hamna Rais hapo
Rais gan hatambui maamlaka yake ni dhaifu sana anategemea mipasho😠😠
Kumbe kuna watu wanaoteseka sana ?Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Kampuni binafsi mara nyingi zipo kwa mrengo wa faida kuzidisha kipato ili parcentage gain iwe kubwa ukizingatia mifumo yote ITAUNGANISHWA ili kila upande upate STAHILI halali, NANI ATAKUBALI ITOKEE SABOTAGE GAIN ISHUKE ILI PARCEE GAIN IWE NDOGO NA WAWE USELESS!, ILIYOTUMIKA NI AKILI KUBWA SANA!Kama wezi ni viongozi waandamizi serikalini then watashirikiana na waarabu kupiga as usual.
Hilo siyo suluhisho na bahati mbaya na washauri alioteua ni akina Bulembo!
Muwekezaji wa kumvimbia PM,VP, Waziri au Katibu Mkuu yupo wapi?
Jeshi la polisi,TRA na mahakama ni vinara kwa rushwa nchi hii,kwa hiyo tunawapa waarabu pia?
Hata jemedari wenu JPM Aliwafahamu lakini alikaa kimyaaa!View attachment 2661342kama wez wanajulikana kwanini hawachukuliwi hatua
Duuu wakristo sio wajinga kama weweHuyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
bas poa ngoja tuendelee kupiga kimyaHata jemedari wenu JPM Aliwafahamu lakini alikaa kimyaaa!
Hapo kwenye jeshi la polisi wawalete kwa wingi huku barabarani. 😂😂Kama wezi ni viongozi waandamizi serikalini then watashirikiana na waarabu kupiga as usual.
Hilo siyo suluhisho na bahati mbaya na washauri alioteua ni akina Bulembo!
Muwekezaji wa kumvimbia PM,VP, Waziri au Katibu Mkuu yupo wapi?
Jeshi la polisi,TRA na mahakama ni vinara kwa rushwa nchi hii,kwa hiyo tunawapa waarabu pia?
Note:- BAADHI YA VIONGOZI WAANDAMIZI, AND NOT VIONGOZI WAANDAMIZI.Kama wezi ni viongozi waandamizi serikalini then watashirikiana na waarabu kupiga as usual.
Hilo siyo suluhisho na bahati mbaya na washauri alioteua ni akina Bulembo!
Muwekezaji wa kumvimbia PM,VP, Waziri au Katibu Mkuu yupo wapi?
Jeshi la polisi,TRA na mahakama ni vinara kwa rushwa nchi hii,kwa hiyo tunawapa waarabu pia?
Poor understanding, always thief works sometimes massively or as a gang, dawa ni kutengeneza mfumo maalum wa kudhibiti completely, so this is what has been done! To end thefts completely!Kheee¿ kwamba wezi anawajua ndio kaamua kuleta waarabu kuwakomesha wezi hao???
Basi Heri tuibiane sisi kwa sisi kuliko kuibiwa na waarabu...maana hata wao watatuibia na hatutawafanya lolote
Niitieni mwanasheria wangu....🤐🤐🤐
Hongera Mkuu.Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Kwa alio sema ni bora serikali ikabinafisishwa, na huu ni mwanzo. Mwarabu wa babu zetu aliwagawia shanga na kaniki, wa leo anamwaga pesa. Hakika historia hujirudia.Hapo hamna heko, alipaswa kuwashughulikia hao wezi kama Sheria zimavyisema
Wizarani Kuna wizi pia, napo atawapa watu binafsi waziendeshe?
Kama ni hivyo je kuna mifumo mingapi ya wizi nchini kwetu?Poor understanding, always thief works sometimes massively or as a gang, dawa ni kutengeneza mfumo maalum wa kudhibiti completely, so this is what has been done! To end thefts completely!
N. B, wizi wa hapo bandarini ni mfumo au mtandao mpana unaweza kumuhukumu mmoja asiye sahihi, best way is to change the WHOLE system,kuuvunja mfumowizi.
Yawezekana wanao takiwa kushika wezi ndio wezi wakubwa.View attachment 2661342kama wez wanajulikana kwanini hawachukuliwi hatua
Asingekuwa muoga angekuwa amekwishaifumua wizara ya fedha na nishati.Huo ni ujinga mtupu
Huo ni ujinga mtupu, inamaana kuna kiongozi mwandamizi mzito zaid ya rais?
Maana yake sasa kama ameshindwa ku deal na hao wapigaji bas tafsir yake hana sifa ya kutuongoza
Haiwezekani kiongozi unajua kabisa flani na flani ni wezi halafu ukashindwa kuwawajibisha mbona wengine mnawawajibisha?
Huo sio uongozi bora bali ni bora uongoz
Hivi kweli inaingia akilini rais ukamuogope mtu ambaye hana madaraka yeyote?
Hata ww uliyeweka bandiko hili umemdhalilisha rais maana tulikuwa hatujui kama rais anawaogopa baadhi ya watu wewe ndio umetufichulia siri hatutaki rais muoga sisi
Mambo ya rohoni hufahamika na watu walio rohoni; mambo ya rohoni ni upuuzi kwa watu walio mwilini.comment yako ya kipuuzi.
Mambo ya rohoni ufahamika na watu walio rohoni tu. Kwa watu walio mwilini mambo ya rohoni kwao ni udini tu.Wewe ni mdini mtu hatari kabisa, tunataka ufanisi dini is useless here!