Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake.

Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia.

Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!

Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu!

Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.

Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!

Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia.

Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Hili ndio linasababisha maneno na wala sio mkataba kama tunavyoaminishwa......poleni hiyo imeisha kama vp hamieni Msumbiji.
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini.

Kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa.

Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Mifumo yote itaunganishwa kwenye mfumo mmoja, mpaka tra, mwekezaji baada ya kuwekeza fungu lake, hatoweza kukubali abadan mfumo uchezewe, au upuuzi utakaosababisha mapato yashuke na gawio liwe dogo, Note this!
Wewe uliefikiria km hiyo ni suruhisho sahihi na mama samia wote mnakatwa
 
TRA nakoo wizii umejaa jamaniiii...mama tuletee waarabu
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu binafsi tu. Na siyo lazima yaheshimiwe.
Narudia tena, hakuna jambo la siri ambalo Roho wa Mungu hawezi kutufunulia watoto wake. Ni mpangomkakati wa kidini. Wenye macho ya rohoni tulikwishaoneshwa tayari na Bwana Yesu Kristo.

Yesu wa shakahora nini kakuotesha wezi watapata tabu sana
Mama kaza hapo hapo
 
Back
Top Bottom