Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Ngoja Nikuibie siri masheikh wa Dp world, hii ndio leadership yao

1. Sheikh Robert Wood wa Madrasa ya Uingereza
3-Tight-shot-of-Robert-Woods-Independent-NonExecutive-Director2x.png


2. Amirat phumzile Langeni toka Madrasa ya South Africa
Phumzile-Langeni.png


3. Mufti Daniel von Otterdjik toka Madrasa ya Uholanzi
1-Daniel-van-Otterdijk.png


4. Ustazi Juan Carlos Sahdala huyu anatoka Madrasa ya Dominica
3-Juan-Carlos-Sahdala.png


5. Bila kumsahau daruweshi Vijay Malhotra

Vijay_high-res.png


Hao ndo Maustadh waliopo kwenye Bodi na Leadership. Ya Dp world, watakuja Kueneza Dini na Uisilamu wakipewa Bandari yetu, Ni Maustadh hatari sana wengi wana uzoefu kama Miaka 30 ya uendeshaji Madrasa.
 
Hapo hamna heko, alipaswa kuwashughulikia hao wezi kama Sheria zimavyisema

Wizarani Kuna wizi pia, napo atawapa watu binafsi waziendeshe?
Umemaliza kuthibitisha huyo ni punga la nchi hii. Tanzania inge employ technology ya kuendesha bandari kwa speed na mifumo isomane kisasa, tosha. Mtoto wangu akiiba inaeleweka na cha kumfanya kipo.
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini, kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa, Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Wizarani Kuna wizi
Tamisemi na halmashauri Kuna wizi
Kwenye mashirika Kuna wizi
Majeshi yotee Yana wizi.

Vipi na huko abinafsishe?

#YNWA
 
Umemaliza kuthibitisha huyo ni punga la nchi hii. Tanzania inge employ technology ya kuendesha bandari kwa speed na mifumo isomane kisasa, tosha. Mtoto wangu akiiba inaeleweka na cha kumfanya kipo.
Nchi ni mifumo it's a system zipo sehemu ni dangerous hata kwa maisha yetu, just measure sehemu ambayo hata JPM na uhodari wake alizishindwa,ukifanya kazi serekali ndipo utakapofahamu wapo katika idara yako lakini hawagusiki.
 
Kama unayoandika ni kweli basi yeye ndiye tatizo na anatakiwa aondoke. Kwa nini anaachia hao wezi? Huyo rais anashindwa kuongoza eneo dogo kama bandari liwe na ufanisi ataweza kuongoza nchi nzima? Aachie wengine.
Senerio parameter ya lango hili la kiuchumi ni kubwa na Pana mno, ni ngumu kwa mtu wa kawaida kutambua hili.
 
Kuna kila dalili kuna watu wanataka kufanya tanganyika dola la kiislaam. Katika mitaala mipya ya elimu, eti watz tujifunze kiarabu. Hawa waarabu hawatakaa kuitawala tanzania hata siku moja. Tutawachuna ngozi
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini, kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa, Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Wanakupiga mande Mzee ndiyo maana unaongea ujinga
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Hii nchi Una wajinga wengi Sana ukiwemo wewe.
 
Hapo hamna heko, alipaswa kuwashughulikia hao wezi kama Sheria zimavyisema

Wizarani Kuna wizi pia, napo atawapa watu binafsi waziendeshe?
Chawa hawezi kuwa na hoja zaidi ya kuhemka.
 
Hata kwenye Ripoti ya CAG aliishia kusema Shame on you..... What next Presida ? No maajabu. kwa viongozi vilema na wapofu ni rotation tu
Tuwape waarabu ripoti ya CAG ili wawashughulikie wote waliotajwa kwa ufanisi wa hali ya juu na kuongeza mapato kutoka 37% hadi 67%.
 
Ni ujinga na wendawazimu mtu kama raisi kutamka maneno hayo. Kama anafahamu kuna wizi na anawafahamu ilitakiwa mara moja hao watu wasimamishe kazi, wachunguzwe na kufikishwa mahakamani.

Sasa rais anaendesha nchi kwa mipasho huyo ni rais au muimba taarabu?

Acheni kusifia ujinga usiovumilika. Huyu rais tokea anaingia aliwaambia wale ila wasivimbiwe halafu unakuja kuandika kabisa uzi kumsifia?

I doubt your sanity niqqa!
Ukiondoa hawa wezi wa sasa,ukileta wengine kama hawa,pia wataiba,dawa ni kuleta wasiohusiana na hawa wezi.
 
Haya ni maoni na mtazamo wangu binafsi tu. Na siyo lazima yaheshimiwe.
Narudia tena, hakuna jambo la siri ambalo Roho wa Mungu hawezi kutufunulia watoto wake. Ni mpangomkakati wa kidini. Wenye macho ya rohoni tulikwishaoneshwa tayari na Bwana Yesu Kristo.
Ukiona mtu anapiga kukabidhiwa muekazaji kwenye uwekezaji,hasa waekezaji wa kigeni,ujuwe huyo anashirikiana na hao wezi au wezi ni ndugu zake.
 
Wizarani Kuna wizi
Tamisemi na halmashauri Kuna wizi
Kwenye mashirika Kuna wizi
Majeshi yotee Yana wizi.

Vipi na huko abinafsishe?

#YNWA
Unaoufanya mabadiliko huwa unaangalia terminology mbili maarufu " Reasonable and possible"
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini, kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa, Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
 

Attachments

  • B7F74031-39D7-40FF-B4A3-C78CD7D2F5A2.jpeg
    B7F74031-39D7-40FF-B4A3-C78CD7D2F5A2.jpeg
    51.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom