Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Hili ndio linasababisha maneno na wala sio mkataba kama tunavyoaminishwa......poleni hiyo imeisha kama vp hamieni Msumbiji.
 
Wewe uliefikiria km hiyo ni suruhisho sahihi na mama samia wote mnakatwa
 
TRA nakoo wizii umejaa jamaniiii...mama tuletee waarabu
 

Yesu wa shakahora nini kakuotesha wezi watapata tabu sana
Mama kaza hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…