Kinachofuata ni marufuku ya kutumia vyombo vya usafiri vya kisasa badala yake watatakiwa kutumia Punda au Farasi tu na baiskeli za miti.Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
Mkuuu hataniwi yule ukimtania anajibuOhoooo! Bwana Neta naona hii wiki anataka kuua ua tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🙄Ohoooo! Bwana Neta naona hii wiki anataka kuua ua tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mabikira 72 wanafurahia huko naona bikra zinavunjwa kwa kasi kubwa[emoji849]
Kipigo bado ni kibichi.Bado kichapo cha fimbo nyingi za shingoni hadi wakohoe.🤣🤣🤣Kumekucha kumekucha hata matanga ya NASRAAL hatujamaliza warabu wa BONYOKWA tunapokea mwingine sasa tutatembelea kwa FARASI PUNDA NA NGAMIA
Hio chopper imetengenezwa wapi?Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
Usicheke mkuu,hali si nzuri huko.Ohoooo! Bwana Neta naona hii wiki anataka kuua ua tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ndiye anayewindwa tangu 1979.Mbona kama nauona mwisho wa Iran ukikaribia ivi
China walisaidiana na Urusi.🤔Hio chopper imetengenezwa wapi?