Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali

Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali

Attachments

  • 20240929_165653.jpg
    20240929_165653.jpg
    141.3 KB · Views: 4
Kinachofuata ni marufuku ya kutumia vyombo vya usafiri vya kisasa badala yake watatakiwa kutumia Punda au Farasi tu na baiskeli za miti.
Hahaha, mzayuni kawashika vibaya sana. Sasa hivi hawatumii tena electronic devices. Wanakaribia kurudi kwenye matumizi ya farasi kama ambavyo muddy(59) mme wa bi. Aisha(9) alivyokuwa anawatumia wakati wa safari ya Israa na Miraji.
 
Huyu Mwamba kuna rekodi tayari ameshaitengeneza hapa duniani.

IMG_3011.jpeg

IMG_3014.jpeg


Halafu kulikuwa na huyu mwamba mwingine aliyeitwa Ariel Sharon. Waarabu walihisi wameletwa duniani kimakosa sana.
IMG_3015.jpeg
IMG_3013.jpeg
IMG_3012.jpeg


Hapa wapo pamoja👇
IMG_3016.jpeg


Utachagua mwenyewe, nani zaidi kati yao
 
Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.

Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.

BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD

Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.


No official word on casualties yet as investigations continue.


Source: Al Jazeera

Nadhani hilo ni suala la Mayorhood. Hawa Hamas/Houth walipaswa waache kutumia vyombo vya kisasa. Watumie hata punda au baiskeli. But ungo ingekuwa vizuri zaidi. Nao wanatukera sasa wanakuwa kama wamepagawa. Wanawapa sana credit mayahood.
 
Hao Wairan na washirika wake basi watakuwa vichaa kukusanyika kwa wingi kipindi hiki , maana watakuwa under survuillance sana
Hahaaaaaa inawezekana mkuu, hao ninsawa na nyumbu au kenge ambao mpaka atoke damu ndio ajue ameumia.

Mayahudi mashenzi sana. Haonwairan wakubali ukweli na wakae kwa kutulia tu sasa.
 
Back
Top Bottom