Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia Bwana anatoa Israel wanatwaaa ndioo huku🤣🤣Hatakwa bahati mbaya ukimtania yeye motoooo🔥🔥🧠
Haya makundi pamoja na Iran yao wapo very weak wangeacha kwanza kumchokoza Israel mpaka watakavyokuwa na capacity. Vinginevo ni kujitafutia matatizoIko hivi, kuna watoto, wanawake, na raia wasio na hatia wanauwawa kinyama kutokana na vita vilivyoanzishwa na hivi vikundi.
Sasa kwa kuwa wameikataa amani au tuseme wanabariki watoto, wanawake na wote wasio na hatia waendelee kuuwawa basi inapotokea mmoja wa waanzilishi anakuwa eliminated ndo shangwe unazoziona humu.
Sio kitu kizuri but ukiziona picha na video za raia wanaokufa kinyama kutokana na huu mzozo unakosa namna ya kutofurahia.
Au mtu aje hapa atueleze Lebanon alikosa nini hadi kuingizwa kwenye huu mzozo? Hezbollah kwanini wasingelaunch mashambulizi yao kutokea Gaza?
Ni kipigo tu 🤣🤣🤣Mzee mbona unacheka
Huyo Ariol Sharon ndio alikuwa balaaHuyu Mwamba kuna rekodi tayari ameshaitengeneza hapa duniani.
View attachment 3110318
View attachment 3110320
Halafu kulikuwa na huyu mwamba mwingine aliyeitwa Ariel Sharon. Waarabu walihisi wameletwa duniani kimakosa sana.
View attachment 3110323View attachment 3110324View attachment 3110325
Hapa wapo pamoja👇
View attachment 3110326
Utachagua mwenyewe, nani zaidi kati yao
Nabii Netanyahu kavurugwaRipoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
Naskia huyo ndo hafai kabisa.kuna kikao kimoja alisusa kwa kumlaumu mzee Neta eti kazidisha upole kwa kobaziKuna kichaa mwingine akija kuwa waziri mkuu anaweza akawa afadhali ya netanyahu (Itamar ben gvir)
Subiri report kutoka vyombo husikaNataka kujua ni helkopta imetengenezwa wapi na imetengenezwa miaka ya lini
Sure ila ashaanza kupapaswa kwa nyepesi za jion hiiHouthi muda wake bado, subiri Hezbollah awe neutralized.