Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Israel has opened the gates of hell on the Houthis.Ohoooo! Bwana Neta naona hii wiki anataka kuua ua tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel has opened the gates of hell on the Houthis.Ohoooo! Bwana Neta naona hii wiki anataka kuua ua tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Clueless Hezbollah doesn't know what will happen next.Netanyahu atawalisha hao Punda mabomu baada ya kilometres kadhaa linalipukaaaa
Wahooo wahoooo walah jamaa atakua ashawatoa mabinti bikra kama saba mpka sa hiv.alaf wenye macho mithili ya vikombe,, ni raha Kwa kwenda mbele mida chakula anaenda kula meza moja na mtume SAW
Netanyahuh mlimchokoza wa nini jamani.Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
Bado wameng'ang'ania helcopter!Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
Wajinga Sana Waarabu Iliyomuondoa Rais WaoBado wameng'ang'ania helcopter!
Dah h kitu kinaniuma sana, Yn magaidi yanaenda kula raha huko 😭View attachment 3110509Hassan Nasrallah with 72 virgins in heaven😂
Ariel Sharon ndio kiboko yao,nikikumbuka sakata la Shaba na Shakla alipokuwa kwenye Magwanda hatari tupu.Huyu Mwamba kuna rekodi tayari ameshaitengeneza hapa duniani.
View attachment 3110318
View attachment 3110320
Halafu kulikuwa na huyu mwamba mwingine aliyeitwa Ariel Sharon. Waarabu walihisi wameletwa duniani kimakosa sana.
View attachment 3110323View attachment 3110324View attachment 3110325
Hapa wapo pamoja👇
View attachment 3110326
Utachagua mwenyewe, nani zaidi kati yao
Aliwavuruga kabisa mkisha kosa mawasiliano kitakachoendelea ni kipigo tu tatizo waarabu hawaamini kubwa hilo taifa ni la Mungu kweli waulize warumi wanawajua hawa hata wawe wachache utakionaBaada ya zile pagers kilipuka ndo nikaona myahudi yupo serious kumtafuta adui mpaka anampata.
Dah! Sasa hiyo itaitwa ni lock-down au ni Lock-up ni vyote kwa pamoja?Kinachofuata ni marufuku ya kutumia vyombo vya usafiri vya kisasa badala yake watatakiwa kutumia Punda au Farasi tu na baiskeli za miti.
Iran ametoka huko kwa kiwango kikubwa sana , pamebaki padogo sanaWanaoielewa vita wanajua kwanini kuna umuhimu baadhi ya silaha ujue kutengeneza mwenyewe pesa tu bila maarifa vitani utafanyiwa umafia,,, ndo maana mrusi,marekani ,china , israel japo pesa wanayo ila hawabweteki kusema watanunua kwa mwingine kwa usalama wao wanajua lazima zana zao za kivita watengeneze wenyewe,,,,,,Iran angekua anatengeneza vitu vyake mapema rais wao asingepata ajali kwenye ajali ya helicopter bell inayotengenezwa na mmarekani..........mwarabu kabweteka halafu anaitaka vita anadhani pesa ya mafuta itampeleka mbali vitani,,,,silaha zote wananunua aidha kwa mmarekani ,china au mrusi siku hao jamaa wakiamua kumalizana dili zao juu kwa juu mwarabu kaumia maana hata hizo ndege zenyewe unaweza kuamka asubuhi hata haziwaki
Neta kichaa tu anafurahia nini kila siku missile zinaland israel huu ni ujinga anahatarisha existence ya taifa lake huku akijali zaidi political carrier he choose to save himself than his peopleNeta sio poa... jana tu kaizoom ndege ya iran ikitua beirut.. akawaambia kwa usalama wao wageuke.. ikabidi wageuke chap.. leo tena hivi.. usicheze na teknolojia
ndio aliwashindwa wataliban mbona liko wazi,kwani hujui kuwa US alikimbia pia Vietnam?US huyu huyu mnaesemaga aliwashindwa watalebani?
Ila hajawahi ,kuna sehem kaenda taratibu ndo maana anahitaji busta ya kafiri mrusi au mchina ndo mambo yaende na kumbuka Iran sio mwarabu huyo.......yeye anapambania maslahi yake huku pia akitaka waarabu wawe chini yakeIran ametoka huko kwa kiwango kikubwa sana , pamebaki padogo sana
Hata kafiri Mrusi ananufaika na Drone za Iran, kwahiyo ni WiN WIN situation , sioni kama kuna tatizo hapoIla hajawahi ,kuna sehem kaenda taratibu ndo maana anahitaji busta ya kafiri mrusi au mchina ndo mambo yaende na kumbuka Iran sio mwarabu huyo.......yeye anapambania maslahi yake huku pia akitaka waarabu wawe chini yake