Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Aiseeeee, eti bwana Ritz Hii ni kweli?Bikira ziandaliwe za kutosha maana watu wanashindana kuzifuata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeee, eti bwana Ritz Hii ni kweli?Bikira ziandaliwe za kutosha maana watu wanashindana kuzifuata
Kuna kichaa mwingine akija kuwa waziri mkuu anaweza akawa afadhali ya netanyahu (Itamar ben gvir)Huyu Mwamba kuna rekodi tayari ameshaitengeneza hapa duniani.
View attachment 3110318
View attachment 3110320
Halafu kulikuwa na huyu mwamba mwingine aliyeitwa Ariel Sharon. Waarabu walihisi wameletwa duniani kimakosa sana.
View attachment 3110323View attachment 3110324View attachment 3110325
Hapa wapo pamoja👇
View attachment 3110326
Utachagua mwenyewe, nani zaidi kati yao
Jamaa wana vichaa wa kutosha huko kwenye bunkers wamewafungia wanawaonyesha video za October 7 tu😅Kuna kichaa mwingine akija kuwa waziri mkuu anaweza akawa afadhali ya netanyahu (Itamar ben gvir)
🤣🤣Hatakwa bahati mbaya ukimtania yeye motoooo🔥🔥🧠Mkuuu hataniwi yule ukimtania anajibu
Kha
Hapana chezea lsrael !Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
Habari yako umeitoa al jazeera gani!?.. wengine hatuipati huko aljazeeraRipoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
Aisee waarabu hawatokuja kumsahau netanyahu kwa anachowafanyia. Hiyo ndio namna ya kupambana na magaidi "yani ng'oa jino Moja ning'oe meno yote mdomoni ubaki kibogoyo"Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
hii jeuri hii ni kutoka USRipoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.
Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.
BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD
Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.
No official word on casualties yet as investigations continue.
Source: Al Jazeera
Waanze kupanda ngamia kama enzi za mtume,, hakuna namna sasaKinachofuata ni marufuku ya kutumia vyombo vya usafiri vya kisasa badala yake watatakiwa kutumia Punda au Farasi tu na baiskeli za miti.
Iko hivi, kuna watoto, wanawake, na raia wasio na hatia wanauwawa kinyama kutokana na vita vilivyoanzishwa na hivi vikundi.Humu mbona km mnashabikia mauaji
Haya na nyie sakeni sehemu ya kupata jeuri,,,huyo mrusi mwenyewe nae kafiri,,,ukija mchina ndo kabisa mla kitimoto mkubwa mnabaki wenyewe tu pambaneni fita ni fita mraaaahii jeuri hii ni kutoka US
Hii ni biashara hakuna cha kafiri wala nani, muhimu uwe na silaha za kudungua ndegeHaya na nyie sakeni sehemu ya kupata jeuri,,,huyo mrusi mwenyewe nae kafiri,,,ukija mchina ndo kabisa mla kitimoto mkubwa mnabaki wenyewe tu pambaneni fita ni fita mraaaa
naona hapa unamwagilia bustaniHivi huna kazi za kufanya kila dk na iran,israel,palestine,nk.
Lima hata bustani basi
Itakuwa ya USA tu🤣Hio chopper imetengenezwa wapi?
Yaan hawa mendr wamesahau ndege silaha nyingi zimetokea hukoo Israel kaziwanayooHio chopper imetengenezwa wapi?