Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali

Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali

Huyu Mwamba kuna rekodi tayari ameshaitengeneza hapa duniani.

View attachment 3110318
View attachment 3110320

Halafu kulikuwa na huyu mwamba mwingine aliyeitwa Ariel Sharon. Waarabu walihisi wameletwa duniani kimakosa sana.
View attachment 3110323View attachment 3110324View attachment 3110325

Hapa wapo pamoja👇
View attachment 3110326

Utachagua mwenyewe, nani zaidi kati yao
Kuna kichaa mwingine akija kuwa waziri mkuu anaweza akawa afadhali ya netanyahu (Itamar ben gvir)
 
Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.

Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.

BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD

Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.


No official word on casualties yet as investigations continue.


Source: Al Jazeera
Hapana chezea lsrael !
 
Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.

Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.

BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD

Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.


No official word on casualties yet as investigations continue.


Source: Al Jazeera
Habari yako umeitoa al jazeera gani!?.. wengine hatuipati huko aljazeera
 
Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.

Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.

BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD

Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.


No official word on casualties yet as investigations continue.


Source: Al Jazeera
Aisee waarabu hawatokuja kumsahau netanyahu kwa anachowafanyia. Hiyo ndio namna ya kupambana na magaidi "yani ng'oa jino Moja ning'oe meno yote mdomoni ubaki kibogoyo"
 
Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi.

Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea.

BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD

Reports are coming in of a helicopter crash in western Iran, carrying Iranian leaders and Houthis.


No official word on casualties yet as investigations continue.


Source: Al Jazeera
hii jeuri hii ni kutoka US
 
Humu mbona km mnashabikia mauaji
Iko hivi, kuna watoto, wanawake, na raia wasio na hatia wanauwawa kinyama kutokana na vita vilivyoanzishwa na hivi vikundi.

Sasa kwa kuwa wameikataa amani au tuseme wanabariki watoto, wanawake na wote wasio na hatia waendelee kuuwawa basi inapotokea mmoja wa waanzilishi anakuwa eliminated ndo shangwe unazoziona humu.

Sio kitu kizuri but ukiziona picha na video za raia wanaokufa kinyama kutokana na huu mzozo unakosa namna ya kutofurahia.

Au mtu aje hapa atueleze Lebanon alikosa nini hadi kuingizwa kwenye huu mzozo? Hezbollah kwanini wasingelaunch mashambulizi yao kutokea Gaza?
 
Back
Top Bottom