"Help! I'm Trapped In a Relationship I Don't Want to Be In!"

"Help! I'm Trapped In a Relationship I Don't Want to Be In!"

Hilo jina linatisha! Bia shingapi hapo? Valeur zipo?


heheh hapa imebidi nicheketu manake duh! Vivian kumbe bilionea? siye bado hata yale ya JK hatujayaona! banta bei gani?
 
tena hizi feki ndio zinatafutwa maanake ZINA STIMU ZA KUFA MTU!mamaa la kemo hebu soma hilo jarida useme ni wapi watakuwa wanazichoma niende!

Wanazichoma? Abomination!
 
we sema lini ViVian halafu ndo utajuwa umoja wetu ulivo. Usipime, utapata ushauri zaidi ya ushauri. Muulize binamu bht, carmel, shemeji yangu ZD na wengineo!

hahaaaaa lol mpwa Kaizer usinikumbushe insidenti ile....mweeee!!!

vivan tena harakisha kufanya ze needful
 
Bia ni Tshs 2,000 msasha! Valeur zipo ile bei Ndo sijui! Usiogope jina. ni sehemu ya kawaida sana!!
ukawaida upo wapi hapa!?au hujawahi ona watu wakihama baa kwa ongezeko la sh 50?

bora zero-1500 flat rate

bora chawote-1400 na 1500 kwa baadhi
 
Bia ni Tshs 2,000 msasha! Valeur zipo ile bei Ndo sijui! Usiogope jina. ni sehemu ya kawaida sana!!

Dah mbona aghali sana tumezoea za 1300-1500 yaani ukiwa na ten bia 5 tu!
 
we sema lini ViVian halafu ndo utajuwa umoja wetu ulivo. Usipime, utapata ushauri zaidi ya ushauri. Muulize binamu bht, carmel, shemeji yangu ZD na wengineo!

Jmosi wakuu!!
 
ukawaida upo wapi hapa!?au hujawahi ona watu wakihama baa kwa ongezeko la sh 50?

bora zero-1500 flat rate

bora chawote-1400 na 1500 kwa baadhi


mtaani kwetu hadi 1300 ziponadhani ndo bei halali ya TBL! stuka!
 
Jmosi wakuu!!


done. Hayo mengine tuachia, tutawasiliana PM huko for obvious reasons, ila huyo jamaa mwambia asije manake hatutaki 'atununulie' si tunaweza, najua atataka kuosha jina tu
 
Hahahaha nilihama Matungucha kwa ajili ya ongezeko la gafla la sh. 100/=

ha ha ha ha!! aisee kuna siku nilkuja matungucha nilipata sipu ya mbuzi pale kigorofani mpaka leo naikumbuka!!! afadhali ulihama. you are giving me a chance to go there!!
 
ukawaida upo wapi hapa!?au hujawahi ona watu wakihama baa kwa ongezeko la sh 50?

bora zero-1500 flat rate

bora chawote-1400 na 1500 kwa baadhi

Yaani kwa simpo kalkulesheni kila unapokunywa bia tatu bilioneaz klub unakuwa umemwaga bia moja zero pub!
I.e Bia 3 bilioneaz = bia nne Zero pub = bia nne CHAWOTE + 400 za soda ya ELIZAAAZ!

Chawote + Zero are there to STAY!
 
done. Hayo mengine tuachia, tutawasiliana PM huko for obvious reasons, ila huyo jamaa mwambia asije manake hatutaki 'atununulie' si tunaweza, najua atataka kuosha jina tu
HAHAHAHA!
umenena!
 
Msasha Fidel hapana!!!! Huko siwezi tia timu tena!! Fidel No!! Karibuni Billonaires club one weekend. mbili mbili sio Mbaya.

Sasa mm nitakufuata huko huko Billonaires club nitakuwa napiga Nguli kubwa kubwa tu
 
Yaani kwa simpo kalkulesheni kila unapokunywa bia tatu bilioneaz klub unakuwa umemwaga bia moja zero pub!
I.e Bia 3 bilioneaz = bia nne Zero pub = bia nne CHAWOTE + 400 za soda ya ELIZAAAZ!

Chawote + Zero are there to STAY!
dah, I guess wewe ni Injinia.
 
Yaani kwa simpo kalkulesheni kila unapokunywa bia tatu bilioneaz klub unakuwa umemwaga bia moja zero pub!
I.e Bia 3 bilioneaz = bia nne Zero pub = bia nne CHAWOTE + 400 za soda ya ELIZAAAZ!

Chawote + Zero are there to STAY!
hahahahahaha!
haya mwanasayansi!
kamata senksi kwenye post husika NA NYINGINE HAPA:
SENKSI
 
ha ha ha ha!! aisee kuna siku nilkuja matungucha nilipata sipu ya mbuzi pale kigorofani mpaka leo naikumbuka!!! afadhali ulihama. you are giving me a chance to go there!!

Mambo matamu matamu yapo CHAWOTE bana njoo upate supu ya kuku wa kienyeji tena unamchagua mwenyewe kwenye banda kisha anaenda kuchinjwa ndani ya nusu saa supu nzito inakuwa tayari unaletewa kwenye hot pot ndo maana Geoff hataki kuhama Chawote.
 
Back
Top Bottom