Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Yule katibu wa mkoa wa kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam na mwanadada joyce kiria mtangazaji wa EATV siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake bwa godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo, wengi wawashiriki walipongezasherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hawo.
Afu na ww sijui ulitoka wapi kwenda kuoa beki 3 afu mtaliki. Acha udhalilike sasa
 
Kilewo toka zamani hana hela alimuoa Joyce ili alelewe

Na Joyce alimpenda ili amlee! Leo malezi yameisha?. Mdada amejishusha sana! Anahaiba nzuri na muonekana mzuri-ni bora angeishia kusema Ndoa yake inamikwamo kwa sasa ! Lakini kuanza kuonyesshana nani anaweza lipi na hasa eneo la Kipatao huku nikupotoka. Iwe mwanaume au wanamke yeyote anayechanganya isssue ya kipatao kweney ndoa au mahusiano ya mapenzi -huo uhusianao au ndoa ni mfu(Haidumu)
 
Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Na Joyce alimpenda ili amlee! Leo malezi yameisha?. Mdada amejishusha sana! Anahaiba nzuri na muonekana mzuri-ni bora angeishia kusema Ndoa yake inamikwamo kwa sasa ! Lakini kuanza kuonyesshana nani anaweza lipi na hasa eneo la Kipatao huku nikupotoka. Iwe mwanaume au wanamke yeyote anayechanganya isssue ya kipatao kweney ndoa au mahusiano ya mapenzi -huo uhusianao au ndoa ni mfu(Haidumu)
Joyce amechoka kumlea ...mpaka boxer anataka anunuliwe hata siku moja hata kuleta mkate watoto wanywe chai hawezi.....Joyce amemvumilia sana uzalendo umemshinda
 
Yule katibu wa mkoa wa kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam na mwanadada joyce kiria mtangazaji wa EATV siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake bwa godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo, wengi wawashiriki walipongezasherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hawo.
mheshimiwa kamanda Kilewo nakusalimia tu
 
Joyce amechoka kumlea ...mpaka boxer anataka anunuliwe hata siku moja hata kuleta mkate watoto wanywe chai hawezi.....Joyce amemvumilia sana uzalendo umemshinda

Yawezekana 100%. Basi asingetumia hayo mapungufu ya jamaa yake kama silaha dhidi ya ugomvi wao. Mwanamke anyejiheshimu hawezi kukaa mbele ya mlango wa Nyumba yake akaanza kubwabwaja ovyo shida ndani ya Familia yake!
 
aisee huyu Henri Kilewo mbona anadhalilika hvi ..kwani alipokuwa mbunge hela alikuwa anazipeleka wapi ?? inamaana hakuwa amejipnga navitega uchumi vyovyote ..mbona mwanamke anampaka shombo la aibu kiasi hiki..maana naona sasa hvi hata kutembea kwa Jamaa itakuwa nikwa mwendo wakunyata ..ili watu wasipate kumuona huko mitaani...

wanawake wamjini nyoko aiseee ..Yaani mtu unampa bolo yang lakini bado anakuona kama ndezi tu aiseeee..NACHOKA KABISAAA
 
JF bhanaa yaani watu wamefukua makaburi sasa haya sijui yatakuwa niyakisutu au ya kinondoni muembe jini ..daahh

muoneeni huruma mwenzenu jamani anaweza akajinyonga aisee
 
Back
Top Bottom