Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Yule katibu wa mkoa wa Kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam CHADEMA, Henry Kileo na mwanadada Joyce Kiria ambaye ni mtangazaji wa EATV, siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake Godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo.

Wengi wa washiriki walipongeza sherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hao.
Kweli ni ya mfano wa kuigwa. Ingawa mimi sitakuiga bro....mama anaenda kwa luninga kushitaki baba hutimizi wajibu
 
<br />
<br />
Nilijua kuwa hali ya kashfa na maneno meengi yatakuwa hapa.Lakini ukweli unabaki pale pale Hendy Kilewo na Joyce Kiria wametimiza ndoto zao.Harusi ilikuwa nzuri sana tena sana.Ni moja kati ya Harusi chache zimeshawahi kufana na kuridhisha Waalikwa.BRAVO KILEWO ND KIRIA NEEMA ND GOD BLESS ALLBLESS.
Haya ss
Kileo anajionea
 
May be alitangaza harusi kwa ID nyingine, ID zimeunganishwa ndio hivyo ikatokea kumbe alitangaza ndoa yake mwenyewe. Just thinking, not sure if it is the case.
Angalia Post no 18 page ya kwanza aliye-qoute utakuta I'd ya 'Kibacha" ndio I'd aliyofungulia thread ndio akaja kubadilisha na kuwa Kilewo.

Hana tofauti na Yerico Nyerere ambaye ana I'd yake ya kujisifia na kuleta taarifa zake tu.
 
Tunawashukuru wote mliyotupongeza na kututakia maisha mema na vile vile waliyotuponda kwani huwezi kumfurahisha kila binadamu... mungu awabariki sana..... be postive
Now u can understand.......

Kumbe ulijiandikia post?!
 
Now u can understand.......

Kumbe ulijiandikia post?!
Wimbo mujarabu kabisa kwa kamanda Kileo

"It's Not Easy"


Lord have mercy
I remember the day I called mama on the telephone
I told her mama I'm getting married
I could hear her voice on the other side of the telephone she was smiling
And she asked me a question that I proudly answered
She said son did you take time to know her
I said mama she's the best
But today it hurts me so
To go back to mama and say mama I'm getting divorced
Oh I'm getting divorced

This choice I made didn't work out the way I thought it would
This choice I made
It hurts me so mama
This choice I made didn't work out the way I thought it would
This choice of mine Oh mama said to me

[Chorus x2:]
It's not easy to understand it son
But I hope you'll make it
You'll be happy again

I remember in church
When the preacherman read the scriptures
You look so beautiful so beautiful and so innocent
I did not know that behind that beauty
Lies the true colors that will destroy me in the near future

This choice I made didn't work out to be what I thought it would be
Oooh mama
This choice I made didn't work out the way I thought it would
Now I'm hurting

I remember when I held you
By the hand preacherman read the scriptures
Putting words in your mouth

Maybe what the preacherman said was not something that was within you
Now I know what they mean when they say

Beautiful woman is another man's plaything
Oh Lord I'm hurting now

This choice I made didn't work out the way I thought it would
This choice of mine Oh mama said to me

[Chorus]
It's not easy to understand it son
But I hope you'll make it
 
ndoa ya kwanza alifanya party ya kupokea Talaka sijui hii siku mambo yakipururuka itakuwaje atafanya kitu gani!!!!wanawake wa mjini bana teeeeh teeeeeeeh aaaaah aaaaaah, kwao wao ni fahari kubwa kuolewa tu teeeeh teeeeh aaaaahhhh aaaaahhhh
[emoji23] tunasubiri mkuu km ameweza kumuanika hivi sijui....
 
aisee huyu Henri Kilewo mbona anadhalilika hvi ..kwani alipokuwa mbunge hela alikuwa anazipeleka wapi ?? inamaana hakuwa amejipnga navitega uchumi vyovyote ..mbona mwanamke anampaka shombo la aibu kiasi hiki..maana naona sasa hvi hata kutembea kwa Jamaa itakuwa nikwa mwendo wakunyata ..ili watu wasipate kumuona huko mitaani...

wanawake wamjini nyoko aiseee ..Yaani mtu unampa bolo yang lakini bado anakuona kama ndezi tu aiseeee..NACHOKA KABISAAA
Hajawahi kuwa mbunge
 
Kosa la kileo kuoa aliyeachika kwa mbwembwe
nahiyo ndio dhambi inayomtafuna..yaani waoa mwanamke anayefnya part baada yakuachika tena nawewe unasaport kabisa kuona mwanaume mwenzako akidhalilishwa...tehe usikute yule Dj nely bado anamchapia kimya kimya ijapokuwa walishaachana ..wanawake mashangingi yamjini hayajawahi kuwa na akili nzuri
 
Wimbo mujarabu kabisa kwa kamanda Kileo

"It's Not Easy"


Lord have mercy
I remember the day I called mama on the telephone
I told her mama I'm getting married
I could hear her voice on the other side of the telephone she was smiling
And she asked me a question that I proudly answered
She said son did you take time to know her
I said mama she's the best
But today it hurts me so
To go back to mama and say mama I'm getting divorced
Oh I'm getting divorced

This choice I made didn't work out the way I thought it would
This choice I made
It hurts me so mama
This choice I made didn't work out the way I thought it would
This choice of mine Oh mama said to me

[Chorus x2:]
It's not easy to understand it son
But I hope you'll make it
You'll be happy again

I remember in church
When the preacherman read the scriptures
You look so beautiful so beautiful and so innocent
I did not know that behind that beauty
Lies the true colors that will destroy me in the near future

This choice I made didn't work out to be what I thought it would be
Oooh mama
This choice I made didn't work out the way I thought it would
Now I'm hurting

I remember when I held you
By the hand preacherman read the scriptures
Putting words in your mouth

Maybe what the preacherman said was not something that was within you
Now I know what they mean when they say

Beautiful woman is another man's plaything
Oh Lord I'm hurting now

This choice I made didn't work out the way I thought it would
This choice of mine Oh mama said to me

[Chorus]
It's not easy to understand it son
But I hope you'll make it
Duh umenikumbusha mbali,nilikuwa naupenda huu wimbo
Rip l.dube
 
Back
Top Bottom