Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio maana Bongo movie imekufa ikiwa mtu mzima kama Henry Kilewo anaweza kujiazishia uzi mwenyewe nani atanunua Movies [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kajianzishia uzi na kujisifia kamanda wako
Dj uko anachekea pembeni tu hahahanahiyo ndio dhambi inayomtafuna..yaani waoa mwanamke anayefnya part baada yakuachika tena nawewe unasaport kabisa kuona mwanaume mwenzako akidhalilishwa...tehe usikute yule Dj nely bado anamchapia kimya kimya ijapokuwa walishaachana ..wanawake mashangingi yamjini hayajawahi kuwa na akili nzuri
.Hahaha mambo ya multiple Id's
Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
limeanza taratibu kumnyemelea muda utaongea tuendelee kusubiri<br />
<br />
Dua la kuku halimpati mwewe
Dj Nelly
hahaaa Dj na wapambe wake wote wanakenua meno..mkuu mfupa uliomshinda fisi binaadamu utauweza wapi ....bora yalivyomfika haya ndio akili itamkaa sawa..Dj uko anachekea pembeni tu hahaha
Mmmh,nahisi hapo vyuma vilikaza tangu zamani sana.vyeo vya bongo shidah!!mfukoni holla.!!![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
<br />
<br />
Siyo KILEO ni KILEWO ile ya marangu kiukweli kaka yetu anajua kuchagua na mtoto wao tulimuona
Hahaha mambo ya multiple Id's
Napata sana mashaka na haya matusi tunayomwagiwa humu jamvini unaweza kuta ni ID ya mheshimiwa sana na anaporomosha matusi kama mpiga debe
Hahaha ....Fake IDs hizi .....mtu anajifungulia uzi alafu anaanza fujo za comments ....wapi Kibachaaa ....hahaha
Huu uzi unanichkesha sn kila nikiingia na kuona aliyeanzisha ndo mhusika
Yaaan we kwa kuibua nyuziiHongera sana kwao
Ndoa ilishakufa wewe unatoa hongera, au hongera kwa kuachana?Hongera sana kwao