Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulijifunza nnWatu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitaka kucheka hizi ni moja ya nyuzi za kuzitembelea.
Hahahahah jamaa hawezi kurudi tena hapa 😂😂😂 hii kweli ni next revo😂 😂 😂 😂 😂
Hii self promotion ni next level.
Kumbe ulikuwa ni weweYule katibu wa mkoa wa Kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam CHADEMA, Henry Kileo na mwanadada Joyce Kiria ambaye ni mtangazaji wa EATV, siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake Godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo.
Wengi wa washiriki walipongeza sherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hao.
😇😇😇😁😄Tunangojea ya tatu.....na ya nne
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Siyo KILEO ni KILEWO ile ya marangu kiukweli kaka yetu anajua kuchagua na mtoto wao tulimuona
Mwanamke design ya kiria ni ngumu kuishi na mume.Uporoto let me tell u this, kuzaa its not a deal, kuachika inategemea kaachika katika mazingira yapi, cha msingi ni kuwaombea wawe na maisha mazuri yenye fanaka na waendelee na mapambano yao katika kulisaidia taifa, wote wapambanaji! God bless them!
Alijianzishia hii thread wakati anatumia jina fake. Jamaa ni Nunda kweli.Ulijifunza nn