Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Naona ulijipa ujiko hapaWatu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.