Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mrembo yupo ndoa ya ngapi?
Ye ni mwendo wa kuolewa tu
Jamani watu kumbe wanajifagiliaga wenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaona wivu?Huyo mrembo yupo ndoa ya ngapi?
Ye ni mwendo wa kuolewa tu
Ndio,nami nataka nioeUnaona wivu?
Alimfilisi bibie na cheating za kijinga juuMsela alikua anategemea pesa za ubunge alipokosa bibie akaona hawezi kuendelea kufuga marioo. Fukuzia mbali
Mambo yao tuwaachie wenyewe 🤣Cha kusikitisha zaidi hapa ni CHADEMA kujihusisha na huyu mtu. Afya yake kichwani ina walakini, his character stinks, na mengineyo mengi. Kina Mbowe waliona nini kwa huyu jamaa hadi kuwa karibu naye?
Mpe hongera sanaaa huyo katibu wa mkoa wa kinondoni🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yule katibu wa mkoa wa Kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam CHADEMA, Henry Kileo na mwanadada Joyce Kiria ambaye ni mtangazaji wa EATV, siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake Godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo.
Wengi wa washiriki walipongeza sherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hao.
huo ni uchawaYule katibu wa mkoa wa Kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam CHADEMA, Henry Kileo na mwanadada Joyce Kiria ambaye ni mtangazaji wa EATV, siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake Godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo.
Wengi wa washiriki walipongeza sherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hao.
Kaka ulijitekenya ukacheka mwenyeweWatu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
Daah 🤣🤣🤣😆Cha kusikitisha zaidi hapa ni CHADEMA kujihusisha na huyu mtu. Afya yake kichwani ina walakini, his character stinks, na mengineyo mengi. Kina Mbowe waliona nini kwa huyu jamaa hadi kuwa karibu naye?