Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Kumbe ulikuwa ni wewe
 
Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uporoto let me tell u this, kuzaa its not a deal, kuachika inategemea kaachika katika mazingira yapi, cha msingi ni kuwaombea wawe na maisha mazuri yenye fanaka na waendelee na mapambano yao katika kulisaidia taifa, wote wapambanaji! God bless them!
Mwanamke design ya kiria ni ngumu kuishi na mume.
 
Makamanda watu mizuka, wanaleta mizuka mpaka kwenye ndoa,sijui yupo wapi kamanda Kilewo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…