Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]...ndio maana Bongo movie imekufa ikiwa mtu mzima kama Henry Kilewo anaweza kujiazishia uzi mwenyewe nani atanunua Movies [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
Namuona hapo pastor biyonge
Mbona nzuri sana ,naomba ongezea nyamanyama ilifanyikafanyikaje bila mc?Watu kila siku wanavyaa suti, wao wamekuja na mtazamo mpya, kiukweli ilikuwa ni harusi nzuri sana, kwa Tanzania ni harusi ya kwanza kuwa bila MC bila keki bila ndafu watu tumejifunza kitu mimi nimmoja wao.
Kuna watu mna unabiiHahahha...
Alianza DK Slaa kubeba mke wa mtu!
Amefuata huyu dogo!
Soon tutamuona Zitto..
Uzi wa mwaka 2011 huu, mtu kafunga ndoa kaja kujianzishia Uzi humu anasifu maharusi na harusi kumbe yeye ndio mhusika......JF inahifadhi kumbumbu.
au siyo?<br />
<br />
Dua la kuku halimpati mwewe
Kwahiyo wakiwa twitter wanaanzisha Uzi wenyewe na kucomment wenyewe kumtukana mh Rais ukiingilia kati kucoment anakubroke......halafu tumpe nchi... Ah ahUzi wa mwaka 2011 huu, mtu kafunga ndoa kaja kujianzishia Uzi humu anasifu maharusi na harusi kumbe yeye ndio mhusika......JF inahifadhi kumbumbu.
Ukiangalia kwenye quote zake kabla hajawa verified alikuwa anaitwa "kibacha" hii ndio ile mtu anasema ndugu yangu anataka ushauri kumbe yeye mwenyeweKumbe beans harusi alijianzishia uzi
Wachagga wamedandia umarioo kw kasi sanaNimeikumbuka party ya Joyce ya kupokea talaka ya Dj ili aolewe ndoa na kileo 🤣🤣🤣🤣🤣
JF wanajua kudhalilisha, possibly alikuwa na multiple IDs, zikaunganishwa.Kumbe beans harusi alijianzishia uzi
Uzi wa mwaka 2011 huu, mtu kafunga ndoa kaja kujianzishia Uzi humu anasifu maharusi na harusi kumbe yeye ndio mhusika......JF inahifadhi kum
ni suala la kujisahau mkuuUzi wa mwaka 2011 huu, mtu kafunga ndoa kaja kujianzishia Uzi humu anasifu maharusi na harusi kumbe yeye ndio mhusika......JF inahifadhi kumbumbu.
wote wako humu na lD tofauti tofauti. Kuna uzi mmoja alianzisha kisha akaja mtaraka wake wakaanza kuupa promo kwa kutumia ID mbili za pembeniJF wanajua kudhalilisha, possibly alikuwa na multiple IDs, zikaunganishwa.