Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Dota Heaven Sent nikupongeze tena kwa kuongeza mwaka zaidi katika umri wako, ni jambo la kumshukuru Mungu.
Hivi kui anakula kuruka? Kama anakula basi umkaribishe pia, ila kama hali asije kututia hasara.

Nimekuandalia nguruka na ugali mkuuuubwa, na kapilipili kwa pembeni bila kusahau tunda lako pendwa mang'ongo, leo ni kuvimbiwa tu.

atoto hiyo tena, ongeza idadi tu, tena usisahau na chachandu. [emoji485]
 
Way maker- Sinach

Way maker
Miracle worker
Promise keeper
Light in the darkness
My God
That is who you are.

You are here
Touching every heart
Healing every heart
Turning lives around
Mending every heart

You wipe away all tears
You mend the broken heart
You're the answer to it all (to it all) Jesus
I worship you
I worship"

It's my very own birthday I'm celebrating without my pops (May his gentle soul rest in perfect peace). And that has made me realise more that, everything is by God's grace only. Nothing is ordinary in your life, everything and every single day + that boring routine of yours is such a wonderful gift to you.

So I'm still grateful for many many things, that my darling Lord has and is still doing in my life .So again I'm like "He did it Again"

"He Did It Again"- by Sinach

It is coming from my heart, praise and thanks unto You Lord
All the things that You have done I'm grateful for Your love, I give You the praise (×2)

I'm counting my blessings I just can't keep it to myself when I thought that He had done too much oh oh oh Jesus did it again (×2)

I can't tell it enough oh oh oh oh I shout it loud from the mountain top (×2)

I dance and praise the Lord(×4)

I clap and praise the Lord (×4)

I shout and praise the Lord (×4)
And when I thought that He had done too much
oh oh oh Jesus did it again

Rejoice and praise the Lord (×4)

And when I thought that He had done too much
oh oh oh Jesus did it again

I can't tell it enough oh oh oh oh I shout it loud from the mountain top(×2)

I give Him praise


So stop thinking or complaining about your failures, the sufferings, the pains you have experienced; the dreams, wishes and fantasies you couldn't fulfil in this year ; instead just praise, be grateful for everything, Count your many blessings one by one. Wish you a merry Christmas and Happy New Year. It shall always be well with you all. Nawapendajee
 
Dota Heaven Sent nikupongeze tena kwa kuongeza mwaka zaidi katika umri wako, ni jambo la kumshukuru Mungu.
Hivi kui anakula kuruka? Kama anakula basi umkaribishe pia, ila kama hali asije kututia hasara.

Nimekuandalia nguruka na ugali mkuuuubwa, na kapilipili kwa pembeni bila kusahau tunda lako pendwa mang'ongo, leo ni kuvimbiwa tu.
Hahaha embe ng'ongo. Umenikumbusha enzi zile nikitoka shule Mafiga huyoo nafikia pale sabasaba kanisa la Roma kwenye ng'ongo, viazi, mihogo etc. Nakula wee then madaftari yangu, kidumu na mfagio naacha hapo hapo , nikifika home ndo nakumbushwa teh

Thanks a lot bi mkubwa. Be blessed always
 
Queens are born in December....HBD Heaven Sent mamaa wa maushauri JF....Mungu akuweke miaka mingi uzidi kukua katika hekima na akupe haja za moyo wako...[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
I'm the Queen lol. [emoji126] [emoji126] [emoji123] [emoji123]

Amen my dear, barikiwa sana
 
Heaven Sent sweetie Happy Birthday!
May God Bless you with a lot more of these..

Go shorty..it's your birthday!
We gonna party..it's your birthday!
We gonna sip..it's your birthday!
Galpal, yani leo Acha tu, shughuli yangu si unaijua eeh, nipo busy

"And when I thought that he has done too much
Ooh Jesus did it again"[emoji126] [emoji126] (sijui nikutumiepo ka clip[emoji12] [emoji12] )
 
Wow you have reached the age where all compliments will be starting with 'at your age' [emoji4] Happy birthday my dear cake wapi?
 
Wow you have reached the age where all compliments will be starting with 'at your age' [emoji4] Happy birthday my dear cake wapi?
Chinekeee "at my age" [emoji39] [emoji39]. Keki kwenye kupasua mbao
 
Back
Top Bottom