Heri ya Siku ya Wanawake Duniani. Una zawadi kwa Wanawake uwapendao? Watumie hata salamu

Hili la kuunganishiwa nyuzi leo limenikuta, nimeboeka 😡 Mbona hizi nyuzi ya mipira wanaandika yale yale na hawaunganishiwi?
 
😂😂😂 Nomadix
Tatizo nyie mnakataa mimba kishenzi siku hizi.
Na hivo mna huo umoja wenu unawatia uchizi balaa.

Mwanamke kupenda mseleleko ipo tangu kale.
Unadhani mngekuwa mnaishi pekw yenu ingekuwaje?

Mie mrembo mpaka sasa, sema ile juzi nilitoka kuamka🤣🤣🤣, sura yangu yenye make up niliiacha kwenye mto pale hotelini. 😂
 
Hili la kuunganishiwa nyuzi leo limenikuta, nimeboeka 😡 Mbona hizi nyuzi ya mipira wanaandika yale yale na hawaunganishiwi?
Kuna comment uliandika hapo juu ukamention wadada wengi pamoja na mimi kuwatakia kheri ya sikukuu ya wanawake. Nimejaribu kuiquote mara ikapote, sijui what happened.

Happy women's day mshangazi wa jf!
 
Mnajivunia kupigwa Mkuuyege usisahau kumention hilo maana bila kupigwa mkuuyege hakuna mtakachokiongeza na hapo ndipo unapokua kuonekana umuhimu wa Wanaume
 
Mimi namtumia salamu mdogo wangu wa nguvu Mallerina your future is bright, keep going!
 
Kuna comment uliandika hapo juu ukamention wadada wengi pamoja na mimi kuwatakia kheri ya sikukuu ya wanawake. Nimejaribu kuiquote mara ikapote, sijui what happened.

Happy women's day mshangazi wa jf!
Happy women's day mami, ile nimeifuta, ilikuwa nyuzi ila wakaiunga huku 😔
 
Hahaha kwaio bila makeup sahivi hutoboi.

Chama kipo hadi hapo utapeli utakapothibitika kukoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…