TANZIA Hermann Odemba afariki dunia

TANZIA Hermann Odemba afariki dunia

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
1674624956300.png

Sijui wangapi walikuwa wanamfahamu Odemba, kifo kimetokea siku nne zilizopita.

Alikuwa anasafiri ndani ya basi kwenda Arusha, alipofika Mombo akaugua, akapata low blood pressure, akapelekwa hospitali Mombo, hali yake ikazidi kuwa mbaya and he passed away.

Mwili wake ukasafirishwa na ambulance ukaletwa Dar es Salaam hospitali ya Lugalo. Kesho asubuhi itafanyika service pale Lugalo ya kuuaga mwili, na kesho utapelekwa Musoma kwa mazishi.
 
Sijui wangapi walikuwa wanamfahamu Odemba, kifo kimetokea siku nne zilizopita.

Alikuwa anasafiri ndani ya basi kwenda Arusha, alipofika Mombo akaugua, akapata low blood pressure, akapelekwa hospitali Mombo, hali yake ikazidi kuwa mbaya and he passed away.

Mwili wake ukasafirishwa na ambulance ukaletwa Dar Es Salaam hospitali ya Lugalo. Kesho asubuhi itafanyika service pale Lugalo ya kuuaga mwili, na kesho utapelekwa Musoma kwa mazishi.
Odemba wapo wawili tu wanaofahamika.

Odemba Miriam na Chief Odemba wa Star TV.
 
Back
Top Bottom