Hersi hizo pesa ambazo unatumia kuwasaidia waandishi wa Habari si tungewekeza kwa Wachezaji wetu?

Hersi hizo pesa ambazo unatumia kuwasaidia waandishi wa Habari si tungewekeza kwa Wachezaji wetu?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ni ujinga unaofanya. Waandishi wa habari hawachezi mpira. Hata kama wataisifia team sana mwisho wa siku wachezaji ndo hucheza.

Unawekeza pesa nyingi kwa vyombo vya habari wakuzungumzie wewe na team vizuri. Wanashindwa ikosoa tunaona ipo perfect. Kumbe kuna sehemu tunapaswa kujiweka sawa.tuambiwe ukweli tufanye vizuri.

Wenzetu na kile kibetina chao wamekuwa wajeuri hawahangaiki na vyombo vya habari. Wanapondwa wana kebehiwa kila siku ila wao wameamua kucheza mpira.

Wewe unawekeza hadi kwa wachezaji wa team pinzani na mkia wakicheza nao wakaze. Kumbe hatujui tunawakomaza sana Simba. Ni sawa na kumhonga mwalimu atunge mtihani mwepesi kwa mtoto wako na mgumu kwa mwingine. Unamsaidia yule mbaya wako. Na unamwaribu mtoto wako.

Ndo maana utashangaa mkia wanaonekana kufanya vibaya matches za hapa lakini za nje wanafanya vizuri. Hii tabia inatudumaza sisi yanga. Tunapocheza kwenye ligi na teams ambazo zimeshalainishwa tunawapiga nyingi matches za nje zinatupa changamoto sana.

Mimi nimeona niseme potelea pote mkiniita nani sijali. Hii team tunaijua sisi. Haiwezi endelea kwa kuhujumu wengine na kufanya fitna.
 
20221009_084215.jpg
 
Team Majungu and mbumbumbu fc at work.

Leo timu yao inacheza! Ila wao wako busy na Yanga, Herci, nk. Halafu timu ikifungwa, wanaanzisha zogo la kumkataa Matola! Wakiotea ushindi, unakuta tena wamo kimya!
Mkuu uliapa kuwa washabiki wa Yanga ni wavumilivu wakifungwa hawaropoki, niambie hawa ni kina nani?
 
Eng Hersi kwa approach yake ya kuhonga wapiga domo kwa jina la wachambuzi wa soka,ataumizwa sana kimataifa kwa kuwa wamemdanganya timu yake imesajili wachezaji bora Afrika na hivyo watafika fainali.
 
Simba akicheza na timu za hapa kwetu mara nyingi timu hizo zina ahidiwa zawadi ya pesa zikiifunga au kudroo na Simba.
Sijawahi kusikia hata mara moja timu pinzani kwa Yanga ina ahidiwa pesa ikiifunga au kudroo na Yanga.

Wanaotoa ahadi ni wadau wa Yanga ili tu Yanga ichukue ubingwa wa ligi mifano ya timu hizo iko mingi sana.

Bila kujua kitendo hicho kina iimarisha timu ya Simba zaidi.
 
Team Majungu and mbumbumbu fc at work.

Leo timu yao inacheza! Ila wao wako busy na Yanga, Herci, nk. Halafu timu ikifungwa, wanaanzisha zogo la kumkataa Matola! Wakiotea ushindi, unakuta tena wamo kimya!
Kama unaamini hivyo kuwa ni mashabiki wa Simba kwa kivuli cha kuwa wao ni Yanga wapo kazini.

Kwanini basi usiamini kuwa hata wale wanaomkataa CEO na Matola ni ni Yanga kwa kivuli cha Simba?

Al Hilal imewachanganya sana yaani
 
Ni ujinga unaofanya. Waandishi wa habari hawachezi mpira. Hata kama wataisifia team sana mwisho wa siku wachezaji ndo hucheza.

Unawekeza pesa nyingi kwa vyombo vya habari wakuzungumzie wewe na team vizuri. Wanashindwa ikosoa tunaona ipo perfect. Kumbe kuna sehemu tunapaswa kujiweka sawa.tuambiwe ukweli tufanye vizuri.

Wenzetu na kile kibetina chao wamekuwa wajeuri hawahangaiki na vyombo vya habari. Wanapondwa wana kebehiwa kila siku ila wao wameamua kucheza mpira.

Wewe unawekeza hadi kwa wachezaji wa team pinzani na mkia wakicheza nao wakaze. Kumbe hatujui tunawakomaza sana Simba. Ni sawa na kumhonga mwalimu atunge mtihani mwepesi kwa mtoto wako na mgumu kwa mwingine. Unamsaidia yule mbaya wako. Na unamwaribu mtoto wako.

Ndo maana utashangaa mkia wanaonekana kufanya vibaya matches za hapa lakini za nje wanafanya vizuri. Hii tabia inatudumaza sisi yanga. Tunapocheza kwenye ligi na teams ambazo zimeshalainishwa tunawapiga nyingi matches za nje zinatupa changamoto sana.

Mimi nimeona niseme potelea pote mkiniita nani sijali. Hii team tunaijua sisi. Haiwezi endelea kwa kuhujumu wengine na kufanya fitna.
Uzi bora sana
 
Ni ujinga unaofanya. Waandishi wa habari hawachezi mpira. Hata kama wataisifia team sana mwisho wa siku wachezaji ndo hucheza.

Unawekeza pesa nyingi kwa vyombo vya habari wakuzungumzie wewe na team vizuri. Wanashindwa ikosoa tunaona ipo perfect. Kumbe kuna sehemu tunapaswa kujiweka sawa.tuambiwe ukweli tufanye vizuri.

Wenzetu na kile kibetina chao wamekuwa wajeuri hawahangaiki na vyombo vya habari. Wanapondwa wana kebehiwa kila siku ila wao wameamua kucheza mpira.

Wewe unawekeza hadi kwa wachezaji wa team pinzani na mkia wakicheza nao wakaze. Kumbe hatujui tunawakomaza sana Simba. Ni sawa na kumhonga mwalimu atunge mtihani mwepesi kwa mtoto wako na mgumu kwa mwingine. Unamsaidia yule mbaya wako. Na unamwaribu mtoto wako.

Ndo maana utashangaa mkia wanaonekana kufanya vibaya matches za hapa lakini za nje wanafanya vizuri. Hii tabia inatudumaza sisi yanga. Tunapocheza kwenye ligi na teams ambazo zimeshalainishwa tunawapiga nyingi matches za nje zinatupa changamoto sana.

Mimi nimeona niseme potelea pote mkiniita nani sijali. Hii team tunaijua sisi. Haiwezi endelea kwa kuhujumu wengine na kufanya fitna.
Mmeamua kumwaga ugali baada ya wasudan kumwaga mboga🤣🤣🤣🤣
 
Team Majungu and mbumbumbu fc at work.

Leo timu yao inacheza! Ila wao wako busy na Yanga, Herci, nk. Halafu timu ikifungwa, wanaanzisha zogo la kumkataa Matola! Wakiotea ushindi, unakuta tena wamo kimya!
Hujui kitu we bwege. Yanga huwezi ukaja na kichwa chako kizima unataka nawe upewe tiketi za bure kuingia uwanjani. Nlikuona huna maana kabisa. Badala uchangie team unakuja kupanga foleni upewe tiketi za bure. Na huku JF unasifia hata ujinga....shabiki kitumbua wewe.
 
Back
Top Bottom