Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #181
dawa ya deni kulipa, kukop harusi kulipa matangatuoneeni huruma watoto wetu mishahara itaishia huko BODI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dawa ya deni kulipa, kukop harusi kulipa matangatuoneeni huruma watoto wetu mishahara itaishia huko BODI
ha ha ha, asante ametupa mbinu mpya namna watakwepa kulipa deni la HESLB, itabidi kosa la kutolipa Deni liingizwe kwenye uhujumu uchumi ila liwe na dhamana.Ama kweli wewe ni Son of the beach, case closed.
Hajaelewa, Passport ikiwa scanned tu, inaonyesha mikopo yako, ya Benki na HESLB, kama hujaanza kulipa inawasha taa nyekundu na inaonyesha WANTED!Nchini utaondokaje, wakati passport yako pia itahusika kukutambulisha kama mdaiwa?
una point nzuri sana, watoto wangu nimesomesha huko Moshi kwa milioni 3 kwanini nije kuwakopea milioni moja ambayo watalipa kwa riba?Kabisa kama wazazi wanalipa schools fees za hizi efeme akademia zaidi ya milioni 2 ni bora chuo wasiingie kwenye mizigo.
ujue sio poa kabisaHadi mi 5 kuisha, naamini kila kitu kitakua fyuuuuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vijana hawa wanachukulia kila kitu ni masihara tu, system ikiwa serious kama walivyoainisha kwenye tangazo lao ni dhahiri hakuna yeyote atakayeweza kukwepa tena kulipa hilo deni la HESLB.Hajaelewa, Passport ikiwa scanned tu, inaonyesha mikopo yako, ya Benki na HESLB, kama hujaanza kulipa inawasha taa nyekundu na inaonyesha WANTED!
Unazuiliwa safari na kukabidhiwa kwa askari husika ili ubananishwe vizuri.
Ndo kwanza safar inaanza, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ujue sio poa kabisa
System ipo serious na RAZZAQ BADRu anataka kupanda Cheo hata ateuliwe kuwa Balozi na JPM, wanatafuta kila mbinu watu walipe, am telling you hata ndoa kanisani ukienda andikisha utaambiwa utoe statement ya HESLB.Vijana hawa wanachukulia kila kitu ni masihara tu, system ikiwa serious kama walivyoainisha kwenye tangazo lao ni dhahiri hakuna yeyote atakayeweza kukwepa tena kulipa hilo deni la HESLB.
mpaka ifike 2025, jasho la meno lazma liwatoke watu flani, waliodhani ni ufahari kula hela ya bodi na ya mzazi kwa wakati mmoja.Ndo kwanza safar inaanza, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nacheka lakini si mazuri.Tutavaa gunia
Kweni kinacho fanyika ili watoto wengine nao wapate mikopo ni mbaya? Wabongo ni tatizo sana
Hapa hakuna mahali pa kutokea kwa kweli......na bado ukienda hospital in I utakujaambiwa ukinunua dawa na kulipa matibabu watakata pesa, serikali ikiamua kukunyonyoa kwa kweli ni kiasi cha siku tatu unakuwa kama smigo wa movies za kizungu
Mkuu tutanyoka mamaee [emoji23][emoji23][emoji23]Chato regime is here to stay
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Umeongeza chumviHajaelewa, Passport ikiwa scanned tu, inaonyesha mikopo yako, ya Benki na HESLB, kama hujaanza kulipa inawasha taa nyekundu na inaonyesha WANTED!
Unazuiliwa safari na kukabidhiwa kwa askari husika ili ubananishwe vizuri.
kuanzia lini?Sawa sasa hivi wana husika
Ndio ujuwe upo nchi ya uchumi wa katikuanzia lini?