HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

Abdul Razaq Badru Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira.
Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka.

Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi kwa mwezi.

Kwa sasa BODI ina wanufaika 14,021 wanaorejesha mikopo yao.

Baada ya marekebisho ya Bodi ya mwaka 2016, ni wazi sasa Bodi itaunganisha mishahara, TIN, Passport na kadi za benki ili wanufaika wote wapate kurejesha kwa wakati.
[Binafsi nashauri Bodi iyatake makanisa yote, watu wanaofunga ndoa pia waangaliwe kama wameanza kulipa deni, mtu anafunga ndoa kwa gharama ya sherehe milioni 50 ila halipi 100 ya Bodi, hii ni dharau kwa Magufuli]

TLS na JUDICIARY wameshauriwa kuwabana mawakili binafsi ambao wengi ni wanufaika na hawalipi kabisa. Mawakili wakati wa ku-renew PRACTICING CERTIFICATES watapaswa kuambatanisha uthibitisho kwamba wameanza kulipa deni.

Law firms nyingi Dar es salaam zina hela sana lakini hawalipi.
Kwa wale wote ambao ni professions , vyama vyao vihakikishe haviwapi leseni mpaka wawe wameanza kulipa deni la BODI, mfano TLS, WAKANDARASI, MADAKTARI, WAHASIBU CPA, MAREFARII, BOXING, TFF
Nitashangaa kama wewe sio mchawi maana una vigezo vyote.
 
Kweli nimeamini Mungu ana sababu katika kila jambo. Sikuwahi kupata mkopo na wala sikuwahi kuwa na nyege nao kabisa japo wanangu waliomba omba wakanyimwa wengine. Asante Mungu maana kwa hali niliyonayo sasa ni gefedheeka.
Binafsi nashukuru sana unaa na umbea wa waziri wa mikopo maana nilikuwa under MOF afu nina vigezo vya Helsb,ile nataka kuvuta meals,accomodation na stationary tola Helsb pia jamaa likatuchoma tukakosa.

Ningekuwa nalialia muda huu dah,asante sana waziri mnoko kwa kuniokoa!!
 
Binafsi nashukuru sana unaa na umbea wa waziri wa mikopo maana niikuwa under MOF afu nina vigezo vya Helsb,ile nataka kuvuta meals,accomodation na stationary tola Helsb pia jamaa likatuchoma tukakosa.

Ningekuwa nalialia muda huu dah,asante sana waziri mnoko kwa kuniokoa!!
mnunulie balimi lite baridi
 
tuoneeni huruma watoto wetu mishahara itaishia huko BODI
Wasomi bwana! Kipindi mnasoma mkipewa mikopo mnatanuka kama The Rock...wakati wa kulipa madeni yenu umefika mnalialia humu Jukwaani eboo!
Ajira unayo, mshahara unapata kwanini usilipe ulichokopa ili na wengine nao wakopeshwe?
Hivi huu utamaduni wa kukimbia madeni hata nyie wasomi pia mnao?
Mnatia aibu kila kukicha mnalialia! Sasa mlikopa ili iweje kama hamtaki bugudha? Kwahiyo mlitaka mpewe mikopo iwasomeshe halafu mkimaliza kusoma muajiriwe halafu mikopo yenu msamehewe? Au mlitaka serikali ndio iwalipie?
Lipeni madeni acheni kupenda Kitonga nyie vipi!
Niwakumbushe tu kuwa "Mnatoa kile Mlichochukua"
HAKUNA CHA KUPEWA BURE DUNIANI.
Hata mzazi wako pia anakusaidia ila moyoni mwake ana imani utakuja kumsaidia hapo baadae.
 
Nina mpango nianze kutumia TIN ya wife.Na miamala yangu yote ya Benki,M-Pesa sijui Tigo pesa nitakuwa natumia accounts za Mrs.

Tatizo wake zetu hawa nao hawaaminiki.Naomba mke wangu asije akageuka mume ndani ya nyumba yetu.

Kiufupi,nitajiondoa kwenye mifumo yote ya kifedha. Mbona kirusi cha Ukimwi kimekuwa na akili ya kukwepa dawa na tafiti zote dhidi yake. Mimi nitashindwa nini kuwakwepa hao 'kenge' wanaoitwa HESLB?
Si utumie majina ya mtoto wako na account umfungulie yeye 😂😂😂 mwanao hawezi kukudhulumu.

Mkeo ukimfanyia hivyo atazidi kukupenda ila asiwe mhasibu tu kama wangu maana kila senti atataka kujua umetumia kufanya nini😂
 
Wabongo si mmezoea mkikopa hela za watu huwa hamrudishagi matokeo yake mnamuona anayewadai adui au msumbufu😂😂😂!!!

HESLB imechukua sura mpya katika kukabiliana na wadaiwa sugu!
na wapitie maombi yote ya mikopo benki, siku unapewa inakatwa juu kwa juu kwanza alafu ndo mengine yaendelee 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom