Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Let wait and see... .njia pekee Serikali itusamehe.....well, that would be something new, inawezekana lakini sasa ni mpaka iwezekane!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Let wait and see... .njia pekee Serikali itusamehe.....well, that would be something new, inawezekana lakini sasa ni mpaka iwezekane!
Mkuu na wewe Kudge unalia lia?mtusamehe jamani, duuh mpaka hiyo 5 iishe tutakuwa tunavaa mashuka badala ya sketi
Wanatoa mikopo halafu hawatoi ajira wwnategemea nini?hata hivyo wamechelewa sana mimi mwenyewe ni mdaiwa tuwaunge mkono kwenye hili jamani, kweli huko vyuoni watu wanateseka sana, ifikie hatua kila anaeyeomba mkopo apate, turejeshe tulichokopeshwa!
sio lazima kuajiriwa na serikaliWanatoa mikopo halafu hawatoi ajira wwnategemea nini?
🤣 🤣 🤣 wewe itakua ni wale wa 30M+Let wait and see... .njia pekee Serikali itusamehe.....
Nitashangaa kama wewe sio mchawi maana una vigezo vyote.Abdul Razaq Badru Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira.
Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka.
Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi kwa mwezi.
Kwa sasa BODI ina wanufaika 14,021 wanaorejesha mikopo yao.
Baada ya marekebisho ya Bodi ya mwaka 2016, ni wazi sasa Bodi itaunganisha mishahara, TIN, Passport na kadi za benki ili wanufaika wote wapate kurejesha kwa wakati.
[Binafsi nashauri Bodi iyatake makanisa yote, watu wanaofunga ndoa pia waangaliwe kama wameanza kulipa deni, mtu anafunga ndoa kwa gharama ya sherehe milioni 50 ila halipi 100 ya Bodi, hii ni dharau kwa Magufuli]
TLS na JUDICIARY wameshauriwa kuwabana mawakili binafsi ambao wengi ni wanufaika na hawalipi kabisa. Mawakili wakati wa ku-renew PRACTICING CERTIFICATES watapaswa kuambatanisha uthibitisho kwamba wameanza kulipa deni.
Law firms nyingi Dar es salaam zina hela sana lakini hawalipi.
Kwa wale wote ambao ni professions , vyama vyao vihakikishe haviwapi leseni mpaka wawe wameanza kulipa deni la BODI, mfano TLS, WAKANDARASI, MADAKTARI, WAHASIBU CPA, MAREFARII, BOXING, TFF
ila imedhamiria kuwang'oa mandekesema serikali kwenye suala la urejeshaji haijajipanga kivile kwakweli ndo inazinduka usingizini saivi
Binafsi nashukuru sana unaa na umbea wa waziri wa mikopo maana nilikuwa under MOF afu nina vigezo vya Helsb,ile nataka kuvuta meals,accomodation na stationary tola Helsb pia jamaa likatuchoma tukakosa.Kweli nimeamini Mungu ana sababu katika kila jambo. Sikuwahi kupata mkopo na wala sikuwahi kuwa na nyege nao kabisa japo wanangu waliomba omba wakanyimwa wengine. Asante Mungu maana kwa hali niliyonayo sasa ni gefedheeka.
iko iviii 🤣 🤣 🤣 ni wajibu wetu kulipa, imelegeza sana alafu inakuja kubana ghafla alafu watu wanaona kama wanaonewaila imedhamiria kuwang'oa mandeke
Wabongo si mmezoea mkikopa hela za watu huwa hamrudishagi matokeo yake mnamuona anayewadai adui au msumbufu😂😂😂!!!iko iviii 🤣 🤣 🤣 ni wajibu wetu kulipa, imelegeza sana alafu inakuja kubana ghafla alafu watu wanaona kama wanaonewa
mnunulie balimi lite baridiBinafsi nashukuru sana unaa na umbea wa waziri wa mikopo maana niikuwa under MOF afu nina vigezo vya Helsb,ile nataka kuvuta meals,accomodation na stationary tola Helsb pia jamaa likatuchoma tukakosa.
Ningekuwa nalialia muda huu dah,asante sana waziri mnoko kwa kuniokoa!!
Atakufa na deniHapa nafikiria yule mwanajamiiforum anayedaiwa bilioni 47 atalipaje huu mkopo!
Utaenda Kenya kwa passport ipi, maana lazma ukabidhiwe uraia.Lazima kutakuwa Na loopholes.
Wakizina kila sehemu tunaondoka.
Tunaenda hata Kenya tu hapo maisha yanasonga
Wasomi bwana! Kipindi mnasoma mkipewa mikopo mnatanuka kama The Rock...wakati wa kulipa madeni yenu umefika mnalialia humu Jukwaani eboo!tuoneeni huruma watoto wetu mishahara itaishia huko BODI
Si utumie majina ya mtoto wako na account umfungulie yeye 😂😂😂 mwanao hawezi kukudhulumu.Nina mpango nianze kutumia TIN ya wife.Na miamala yangu yote ya Benki,M-Pesa sijui Tigo pesa nitakuwa natumia accounts za Mrs.
Tatizo wake zetu hawa nao hawaaminiki.Naomba mke wangu asije akageuka mume ndani ya nyumba yetu.
Kiufupi,nitajiondoa kwenye mifumo yote ya kifedha. Mbona kirusi cha Ukimwi kimekuwa na akili ya kukwepa dawa na tafiti zote dhidi yake. Mimi nitashindwa nini kuwakwepa hao 'kenge' wanaoitwa HESLB?
na wapitie maombi yote ya mikopo benki, siku unapewa inakatwa juu kwa juu kwanza alafu ndo mengine yaendelee 🤣 🤣Wabongo si mmezoea mkikopa hela za watu huwa hamrudishagi matokeo yake mnamuona anayewadai adui au msumbufu😂😂😂!!!
HESLB imechukua sura mpya katika kukabiliana na wadaiwa sugu!
Hahahah wanaruka naww kama mwewe, usiombe hizo penalty😂😂😂 unaenza jikuta unadaiwa budget ya wizara 1Siku ukiajiriwa serikalin tu wako na wewe.