fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Mzee haruhusiwi kuvunja sheria au hakwepi mabadiliko ya sheria lipa Deni Boss kitambo kuliko Mama Tanzania?Duh Mimi ni wa kitambo kidogo mkuu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee haruhusiwi kuvunja sheria au hakwepi mabadiliko ya sheria lipa Deni Boss kitambo kuliko Mama Tanzania?Duh Mimi ni wa kitambo kidogo mkuu,
Hahahaha jiwe mpaka mi5 iishe sijui tutakuwa na hali gani aisee
Na wanasahau kwamba the law does not apply retrospectively unless it is for procedural laws of which I believe sheria ya loan board sio procedural law.Kama nilivyosema awali kama mtu anarenew certificate it is presumed anafanya kazi. Na wao wanataka anaefanya kazi awalipe pesa yao. Kuna mawakili wanalipwa na deni hawalipi. Ukiacha mawakili wachache ambao ndio wanaanza their struggle story iko tofauti kidogo ni anaamua tu kurenew anaamini huenda atapata walau kumuandikia mtu affidavit au submissions apate hela ya mboga.
All in all ulipaji wa mkopo uko kandamizi na sheria haikua shirikishi. Waliamka asubuhi wakatunga sheria na ambayo waliamua pia ita act retrospective na kusahahu kuwa kuna watu waliosaini mkataba wa kulipa 8% ya take home yake.
HakikaNa wanasahau kwamba the law does not apply retrospectively unless it is for procedural laws of which I believe sheria ya loan board sio procedural law.
Tumevunjilia mbali sheria za madini hizo form zenu wakili wenu alikuwa nani? anaweza kamata mali gani ya Tanzania kama mzungu wa South Africa?Zile fomu za mkopo tulizozisaini tukiwa form 6 zinasema kuwa heslib wanaruhusiwa kubadili chochote ndani ya ule mkopo. Nenda kazisome tena.
Nina mpango nianze kutumia TIN ya wife.Na miamala yangu yote ya Benki,M-Pesa sijui Tigo pesa nitakuwa natumia accounts za Mrs.Sasa mkuu huoni ukitumia TIN yako watakuotea?
Vyeti vya ndoa vinavyo tambuliwa kwa sasa ni vya serekali wata kunasa tu usikate na bima ya AfyaNina mpango nianze kutumia TIN ya wife.Na miamala yangu yote ya Benki,M-Pesa sijui Tigo pesa nitakuwa natumia accounts za Mrs.
Tatizo wake zetu hawa nao hawaaminiki.Naomba mke wangu asije akageuka mume ndani ya nyumba yetu.
Kiufupi,nitajiondoa kwenye mifumo yote ya kifedha. Mbona kirusi cha Ukimwi kimekuwa na akili ya kukwepa dawa na tafiti zote dhidi yake. Mimi nitashindwa nini kuwakwepa hao 'kenge' wanaoitwa HESLB?
Vyeti vinavyotolewa na taasisi za dini huwa serikali haiusiki?!Vyeti vya ndoa vinavyo tambuliwa kwa sasa ni vya serekali wata kunasa tu usikate na bima ya Afya
Hata wewe Mkuu stroke umeshikwa pabaya? Mi nilidhani bodi inakula sahani moja na wale vijana wasomi wa Chadema tu, nyie hamguswi.Kumbe siyo aisee!Duh Mimi ni wa kitambo kidogo mkuu,
Nawasemea vijana wanaoathirika na hili mkuu au hautaki ??Hata wewe Mkuu stroke umeshikwa pabaya? Mi nilidhani bodi inakula sahani moja na wale vijana wasomi wa Chadema tu, nyie hamguswi.Kumbe siyo aisee!
unabima ya afya ya NHIF kwa tarifa yako hicho cheti cha ndoa cha dini kimesha kuwa kipande cha karatasi utaenda kanisani kwako watakupa cha serekali kwa elfu 40 Tu. Hicho atabima ya afya hawakitambuwiVyeti vinavyotolewa na taasisi za dini huwa serikali haiusiki?!
Aisehhhhhhh mbona kama tupo kwenye mitano tu lakini mambo yanonekana ni kama ni tutaishi maisha yetu yote chini ya hii regime [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Abdul Razaq Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira.
Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka.
Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi kwa mwezi.
Kwa sasa BODI ina wanufaika 14,021 wanaorejesha mikopo yao.
Baada ya marekebisho ya Bodi ya mwaka 2016, ni wazi sasa Bodi itaunganisha mishahara, TIN, Passport na kadi za benki ili wanufaika wote wapate kurejesha kwa wakati.
TLS na JUDICIARY wameshauriwa kuwabana mawakili binafsi ambao wengi ni wanufaika na hawalipi kabisa. Mawakili wakati wa ku-renew PRACTICING CERTIFICATES watapaswa kuambatanisha uthibitisho kwamba wameanza kulipa deni.
Law firms nyingi Dar es salaam zina hela sana lakini hawalipi.
Sawa sasa hivi wana husikaVyeti vinavyotolewa na taasisi za dini huwa serikali haiusiki?!
Chato regime is here to stayAisehhhhhhh mbona kama tupo kwenye mitano tu lakini mambo yanonekana ni kama ni tutaishi maisha yetu yote chini ya hii regime [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe si huwa unasema ni Boss na umepewa dereva huko kwenye kitengo chako? Boss gani analialia kurejesha pesa kidogo ya mkopo aliyolipia ada na mahitaji akiwa chuo? Vijana acheni kuishi maisha ya kuigiza humu mitandaoni, ishi maisha yako ya kiuhalisia. Pumbavu.yani ningejuaga kuna hiki kisanga haki ya mungu nisingechukuaga hii hela
Nchini utaondokaje, wakati passport yako pia itahusika kukutambulisha kama mdaiwa?Bodi bora wakate 60%.
Tujue moja tu kuwa tupo jehanamu.
Yaani ukiona waethiopia na waafrika wanakimbia nchi zao ndio ujinga kama huu hata mimi nitakimbia nitatudi botswana.
Maana huwezi kuniwekea deni lisilolipika. Unalipa laki 300k x 12 =3.6mil kwa mwaka.
Ila ukienda kucheki balance mwisho wa mwaka unakuta imeongezeka 4m.
Kwa hio sitalipA tena.
Tutakimbizana nikiona kina wamenibana kila sehemu naondoka nchini.
Chato oyeeee.
Yaani ubaya ubaya tu. Hatuwezi kutiana vidole wazi wazi.
Ama kweli wewe ni Son of the beach, case closed.Nina mpango nianze kutumia TIN ya wife.Na miamala yangu yote ya Benki,M-Pesa sijui Tigo pesa nitakuwa natumia accounts za Mrs.
Tatizo wake zetu hawa nao hawaaminiki.Naomba mke wangu asije akageuka mume ndani ya nyumba yetu.
Kiufupi,nitajiondoa kwenye mifumo yote ya kifedha. Mbona kirusi cha Ukimwi kimekuwa na akili ya kukwepa dawa na tafiti zote dhidi yake. Mimi nitashindwa nini kuwakwepa hao 'kenge' wanaoitwa HESLB?