beberu_mzalendo
Senior Member
- Dec 11, 2020
- 129
- 103
ππ ndio maana wakasema huruhusiwi kuwa na number 2 kwenye mtandao mmoja ila apo kwenye TN juzi kati nimeenda kununua kitu jamaa akaniuliza kama unadai watakata chao upo salama hudaiwi nikamwambia labda Mungu tu! Wamefika pabaya hawa TRAHii ushikiwi viboko mbona, yani ikiingizwa kwenye MPESA tu lazma vilio visikike kila upande wa Nchi. Kwenye kadi za benki huko si watu watakwepa.
Hisani wakati kuna miradi ya chato inabidi ikamilike?Hiyo mikopo ingefanywa Kama hisani au zawadi KWA wote walio fika CHUO KIKUU
Na wote wanao daiwa wasamehewe....
Tubuni NJIA nzuri za kimapato hii nchi Ni tajiri Sana.......
Serikali ya Tanzania iki jipanga tutasomesha bure watoto wetu mpk chuo Kikuu.....
Ulienda kununua nini na TIN number mkuu?ππ ndio maana wakasema huruhusiwi kuwa na number 2 kwenye mtandao mmoja ila apo kwenye TN juzi kati nimeenda kununua kitu jamaa akaniuliza kama unadai watakata chao upo salama hudaiwi nikamwambia labda Mungu tu! Wamefika pabaya hawa TRA
Ili upate passport lazima uwasilishe kitambulisho ya Nida,vyeti vya elimu so hapo hapo ndio unashikiwa chini pay the loan and come to apply your passportSasa Passport inahusiana vipi na mkopo? Alaf mbona wanaolipa ni wachache hivyo kulinganisha na waajiriwa.
Bora iwe hivyo mkuu maana washa anza adi kuwachapa watu viboko mtaani!Hahahahahaha, Tanzania yangu hii dah tunapoelekea watu akili za uoga zitatuishia sasa π
Hivi Ethiopia wanaikimbia nchi yao eeh? Sema huku hukimbii utatokaje bila passport. Wanakudaka mpakani tu.Nani atapeleka pesa benk?
Tutahama nchi kama waethiopia mandege kibao Na uchumi n 8% ila watu wanahama nchi yao
Ili upate passport lazima uwasilishe kitambulisho ya Nida,vyeti vya elimu so hapo hapo ndio unashikiwa chini pay the loan and come to apply your passport
Beberu hudaiwi nini?πLipeni madeni acheni kelele na visingizio visivyokuwa na tija ili na wadogo zenu wanufaike, sasa mnataka msomeshwe bure halafu msilipe. Ile inaitwa bodi ya mikopo, sio bodi ya kugawa hela bure. Sasa mtu unasomeshwa elimu ya juu bora kabisa harafu unashindwa kurudisha hela inamaana huaelimika chuo ulikuwa unacheza tu.
Vuta picha ndio zamu yako kununua umeme Nyumba ya kupanga utawaeleza nini raia, na msimu wa joto Mjini Daslamu.Hahahahha yani nimecheka kikuma man πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ hhhhhhhhhhhhhhh kmmmk walai....eti "Asante kwa kulipa deni lako"
Unaondoka kama mtalii.Hivi Ethiopia wanaikimbia nchi yao eeh? Sema huku hukimbii utatokaje bila passport. Wanakudaka mpakani tu.
Raia lazma waruke na wewe, yani umechangisha 30K af umeme usiwake??? πVuta picha ndio zamu yako kununua umeme Nyumba ya kupanga utawaeleza nini raia, na msimu wa joto Mjini Daslamu.
Raia wamekusubiri ununue umeme wa buku 3. Heslib wamekula yoteVuta picha ndio zamu yako kununua umeme Nyumba ya kupanga utawaeleza nini raia, na msimu wa joto Mjini Daslamu.
Apo Morocco kwa wale wa Pakistan wanao uza baiskeli za miguu minne wakaniambia kama TRA wana kudai watakata pesa yao na card hutapata adi umalizie deni πUlienda kununua nini na TIN number mkuu?
Wata kuachia wa jeroRaia wamekusubiri ununue umeme wa buku 3. Heslib wamekula yote
Dah babu hio si noma sana,π yani na kadi wanakunyang'anya?Apo Morocco kwa wale wa Pakistan wanao uza baiskeli za miguu minne wakaniambia kama TRA wana kudai watakata pesa yao na card hutapata adi umalizie deni π
HatulipiLipeni madeni acheni kelele na visingizio visivyokuwa na tija ili na wadogo zenu wanufaike, sasa mnataka msomeshwe bure halafu msilipe. Ile inaitwa bodi ya mikopo, sio bodi ya kugawa hela bure. Sasa mtu unasomeshwa elimu ya juu bora kabisa harafu unashindwa kurudisha hela inamaana huaelimika chuo ulikuwa unacheza tu.
Usijaribu kama una daiwa wanakuwa wameshikilia mali ya mdaiwa sugu unaenda fanya manunuzi wakati unadaiwa na Jamuhuri πDah babu hio si noma sana,π yani na kadi wanakunyang'anya?
Hahahah this is interestingUsijaribu kama una daiwa wanakuwa wameshikilia mali ya mdaiwa sugu unaenda fanya manunuzi wakati unadaiwa na Jamuhuri π
Sasa kauli ya huyo boss wa loan board iliishia tu kwamba wasiokuwa na ajira rasmi wanapaswa kulipa laki moja Kila mwezi, meaning kila asiyekuwepo kwenye mfumo rasmi wa ajira, mwisho wa mwezi unapeleka laki pale.Uwe na hela uwe hauna hela unatakiwa ulipe hilo deni.
Wanaamini unafanya kazi kama utakua unarenew practicing certificate yako na ndio maana unalazimishwa kulipa.
Ambao wana ajira lakini sio sekta rasmi ndio wanatakiwa kulipa hiyo laki moja. Kama hujapata kazi bado unatakiwa kwenda bodi kuwaambia wasimamishe kukuwekea ile riba ya kutokulipa baada ya miaka miwili mpaka hapo utakapopata kazi.