HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

Sasa mfano mtu hajaajiriwa hiyo laki moja anatoa wapi?? Hiki kiwango sidhani kama kinalipika kwa mtu ambaye hana ajira, mfano kuna mtu baada ya kuhitimu kakaa more than 3 years hana ajira atalipaje??

Na jambo jingine hapa naona kama vile mawakili wamekuwa victimized tu sio kweli kwamba kila wakili anapesa, kuwadai loan board payments wakati wa kurenew certificates huo ni ukandamizaji uliopitiliza.

Wakati mwingine tusitumie mamlaka yetu kuonea wengine simply because we are in better positions than them.
Leo umenena vema!
 
Hatari unanunua umeme wa elfu 5000/= unapokea sms ya HELSB asante Kwa kulipa deni lako.
Hahahahha yani nimecheka kikuma man 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😋😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hhhhhhhhhhhhhhh kmmmk walai....eti "Asante kwa kulipa deni lako"
 
Babu kama unadaiwa jiandae kuishi kama shetani humu nchini.[emoji13]
Hata South Africa tu hutakanyaga mpaka ulipe madeni ya serikali.

Hujaajiriwa ndio ila una biashara yenye tin, baada ya kodi kulipa unalipa na deni kwa asilimia kadhaa. Salama yako ni kuwa mmachinga tu [emoji23]
Awe kama mimi mkuu nina ka kiosk kangu ni mwendo wa kitambulisho cha mjasiriamali, sijui watanipatia wapi hawa hslb, na kesho naenda kufungua acc ya kakijana kangu kachanga nahamishia kampunga kangu kote kalikopo kwenye acc yangu hko.
 
Ndio mana hata wanalazimisha mabasi yote tiketi zote ziwe za electronic.
Maana yake ukikata tiketi heslib wanakula chao kwannza.
Yaani ubaya ubaya tu.
Wanataka kama ukinunua umeme kuna makato ya rea, vat, heslib. Yaani heslib iwe kila sehemu hata ukinunua pipi.
Wanakuambia weka tin numba yako kwenye risiti.
Ukiweka heslib wanakula chao.

Ne meko haondoki leo wala kesho.
Hii ngoma hadi ishindwe kutembea kama Mugabe
Wadau ni kujiandaa tu kisaikolojia. Asante kwa kulipa deni lako 😂😂😂😂😂😂😂 hapo chuma ya "New Force" inakuacha bila huruma. Wauza ticket bana huku naona Ticket imetoka risit ya shukrani 😂😂😂
 
Ndio mana hata wanalazimisha mabasi yote tiketi zote ziwe za electronic.
Maana yake ukikata tiketi heslib wanakula chao kwannza.
Yaani ubaya ubaya tu.
Wanataka kama ukinunua umeme kuna makato ya rea, vat, heslib. Yaani heslib iwe kila sehemu hata ukinunua pipi.
Wanakuambia weka tin numba yako kwenye risiti.
Ukiweka heslib wanakula chao.

Ne meko haondoki leo wala kesho.
Hii ngoma hadi ishindwe kutembea kama Mugabe
😂😂😂anajitahidi sana kuweka akili za wale wa ndioooo zikae sawa
 
Apo lazima akili zikae sawa tu wafanye kila linalo wezekana kila mtu alipe anacho daiwa ata kwa viboko 😂
Hii ushikiwi viboko mbona, yani ikiingizwa kwenye MPESA tu lazma vilio visikike kila upande wa Nchi. Kwenye kadi za benki huko si watu watakwepa.
 
hata hivyo wamechelewa sana mimi mwenyewe ni mdaiwa tuwaunge mkono kwenye hili jamani, kweli huko vyuoni watu wanateseka sana, ifikie hatua kila anaeyeomba mkopo apate, turejeshe tulichokopeshwa!
Ni kweli,inafikia mtu anasema bora nisingechukua mkopo,lakini unasahau kuwa hiyo elimu ulionayo usingeipata bila huo mkopo,dawa ya deni ni kulipa ili wengine nao wasomeshwe,tuache kukufuru na hata hivyo lengo la mkopo ni kwa wale wasioweza kujilipia wewe kama unaweza jilipie tu...
 
Awe kama mimi mkuu nina ka kiosk kangu ni mwendo wa kitambulisho cha mjasiriamali, sijui watanipatia wapi hawa hslb, na kesho naenda kufungua acc ya kakijana kangu kachanga nahamishia kampunga kangu kote kalikopo kwenye acc yangu hko.
Na mimi nitafanya hivi hivi.
Yaani ubaya ubaya tu.
 
Ni kweli,inafikia mtu anasema bora nisingechukua mkopo,lakini unasahau kuwa hiyo elimu ulionayo usingeipata bila huo mkopo,dawa ya deni ni kulipa ili wengine nao wasomeshwe,tuache kukufuru na hata hivyo lengo la mkopo ni kwa wale wasioweza kujilipia wewe kama unaweza jilipie tu...
Wewe ulikopa?
 
Hahahahahaha aah, nimewaza nimejikuta nacheka tu yan badala ya kusikitika. 😂😂😂

Nikiwaza jinsi wanvyofyekaga kahela ka mkopo ukitia vocha tu imagine umepigika una njaa ramani hazisomi umetumiwa kahela tu ka kula, "Asante kwa kulipa deni lako la HESLB" na hapo ulikuwa hujui kama kuna mfumo huo..Sijui utalia 😂😂😂
Ndio tunakokwenda msg za asante kwa kuwa mzalendo kwa maelezo zaidi muone anaye kudai (TRA) (HESLB)........ 😂
 
[emoji3] Ndio wameanza hivyo watakuja hadi kwenye Tigo Pesa, M-Pesa, Airtel Money, T-Pesa, Halopesa na mitandao mingine kibao, Tutakuwa atuweki Pesa, Pesa imeingia tu mtu umetumiwa. Ndugu mteja kiasi cha 100, 000. Kimerejeshwa kwenye mkopo wako wa Heslb Ahsante kwa kutumia Tigo Pesa.
Hahahahahah kmmmk, kila nikiwaza hio scenario naishia kucheka tu 😂😂😂!
Yani wanafyeka laki nzima 😂
 
Hii ushikiwi viboko mbona, yani ikiingizwa kwenye MPESA tu lazma vilio visikike kila upande wa Nchi. Kwenye kadi za benki huko si watu watakwepa.
Nani atapeleka pesa benk?
Tutahama nchi kama waethiopia mandege kibao Na uchumi n 8% ila watu wanahama nchi yao
 
Sasa mfano mtu hajaajiriwa hiyo laki moja anatoa wapi?? Hiki kiwango sidhani kama kinalipika kwa mtu ambaye hana ajira, mfano kuna mtu baada ya kuhitimu kakaa more than 3 years hana ajira atalipaje??

Na jambo jingine hapa naona kama vile mawakili wamekuwa victimized tu sio kweli kwamba kila wakili anapesa, kuwadai loan board payments wakati wa kurenew certificates huo ni ukandamizaji uliopitiliza.

Wakati mwingine tusitumie mamlaka yetu kuonea wengine simply because we are in better positions than them.
Uwe na hela uwe hauna hela unatakiwa ulipe hilo deni.
Wanaamini unafanya kazi kama utakua unarenew practicing certificate yako na ndio maana unalazimishwa kulipa.

Ambao wana ajira lakini sio sekta rasmi ndio wanatakiwa kulipa hiyo laki moja. Kama hujapata kazi bado unatakiwa kwenda bodi kuwaambia wasimamishe kukuwekea ile riba ya kutokulipa baada ya miaka miwili mpaka hapo utakapopata kazi.
 
Back
Top Bottom