Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Kapata asubiri tu kupangiwa allocation batch inayofuata.nami kwa mdogo wangu hivi hiv
sasa hstuelewi kapata,au kakosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapata asubiri tu kupangiwa allocation batch inayofuata.nami kwa mdogo wangu hivi hiv
sasa hstuelewi kapata,au kakosa
Duuh Mimi hipo hivyo hivyo no allocation approved mpk nmeanza kukonda Kila nikiingia nakuta hivyo wezangu wote washapataKapata asubiri tu kupangiwa allocation batch inayofuata.
Atapata?? Kuna mdau kapost uzi yeye kaandikiwa tofauti, ngoja nicheki uzi wale kama ntaupataHuyu Bado hasubiri itabadilika akipata
Ndy atapataAtapata?? Kuna mdau kapost uzi yeye kaandikiwa tofauti, ngoja nicheki uzi wale kama ntaupata
Mwazon ulikuwa inasomekaje?LOANEE DETAIL FOR INDEX NUMBER X NOT FOUND
ndio inasema hivyo, vip kwako
Hapana mwanzo ilikuwa No allocationMwazon ulikuwa inasomekaje?
Ama umekuwa hivyo Toka mwanzo
means hata account ikibasilika na kuwa Sipa unaweza kukosa mkopo duuh,🙉Wakuu last year kuna watu akaunti zao zilibadilika kuwa SIPA na hawakupangiwa chochote mwaka huu wameomba tena so account yako ikibadilika bila kuona allocation endeleza maombi tu Mungu atabless
okKapata asubiri tu kupangiwa allocation batch inayofuata.
😂😂😂 Maisha mitihani mingi sana vumilieni tu vijanaIla hii bodi ya mikopo ni wapumbavu sana! Hivi wameshindwa nini kuwapa wanafunzi wote japo kidogo kidogo? Let say angalau hata 2m kila mwanafunzi badala ya hivi vigezo vyao vya kijinga? Sasa mtu ada 5m unampa laki 2 inamfaa nini hiyo?
Wanafanya upumbavu mkuu!😂😂😂 Maisha mitihani mingi sana vumilieni tu vijana
Kuna batch ya 3 na 4 kwa hio muwe wavumilivu hata ukipewa laki shukuru kuna wenzio hata 100 hawapewa mpaka leo na hawajui itakuajeWanafanya upumbavu mkuu!
Ndiyo hicho ninachosema! Kwa nini kuwe na watu wa kukosa?Kuna batch ya 3 na 4 kwa hio muwe wavumilivu hata ukipewa laki shukuru kuna wenzio hata 100 hawapewa mpaka leo na hawajui itakuaje
Kuna wanaojaziwa zaidi kuliko wengine hawawezi wote kupewa sawa we Isaack Mwigu apate sawa na wewe?Ndiyo hicho ninachosema! Kwa nini kuwe na watu wa kukosa?
Alikuambia na huu ujumbe una maana gani mkuu ?Niliwasiliana na mtu wa heslb juzi akasema! Mwanzoni kuna watu waliona allocations zao ila saiv hawazioni,Jibu lake ni kwamba board inafanya marekebisho kidogo kutokana na misallocations kuwa nyingi.So baada ya hapo kila kitu kitarudi kama kawaida na hakuna mtu ambaye alishaona amepata mkopo atakosa.
[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]Alikuambia na huu ujumbe una maana gani mkuu ?