The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Swali mhimu..majibu hakuna anayejua nadhaniNa kama hauon institute wala course code na Lyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali mhimu..majibu hakuna anayejua nadhaniNa kama hauon institute wala course code na Lyo
Asuburi Chuo kitume taarifa ,ama kiwasilishe detail zake HESLBSwali mhimu..majibu hakuna anayejua nadhani
Acha kudanganya watu ukweli ni mzuri ila unauma huyo bado hajapata ..........na ninauzoefu kozi mm ni continueKapata tayari asubiri tu kupangiwa mkopo.
Kwaivo mwanafunzi akiwa hatapata mkopo wanaandika au anaendelea kusubiri hewa?Acha kudanganya watu ukweli ni mzuri ila unauma huyo bado hajapata ..........na ninauzoefu kozi mm ni continue
Nilijua mimi tu..sijui kuna tatizo gani.Toka jana inasoma connection error
Nilijua mimi tu..sijui kuna tatizo gani.
Tayari mtandao heslb umesettle nowToka jana inasoma connection error
Ww dogo ungekuwa jiran yangu ningekulawitiMpumbavu mkubwa wewe! Kama wewe ndiye mkurugenzi wa hiyo bodi basi utakuwa kalio! Unaona hivyo vigezo viko sawa?
Mimi babako wewe!Ww dogo ungekuwa jiran yangu ningekulawiti
Inabaki ivo ivoo ukishapangia hayo maneno ya no approved allocation yanatoka na kama hutapata yanabaki ivo ivo siku zotee ...we kama ni continue na umeomba mkopo kupata uhakika subr batch ya continue ipooo special nasema coz na evidence asilimia 10000Kwaivo mwanafunzi akiwa hatapata mkopo wanaandika au anaendelea kusubiri hewa?
Hapo penye kwemdelea kusubiri No approved allocation..ukidhani itabadirika ndio mtihani..mzazi aanzage kujiongeza tu....tatizo wanachukulia aliyesima private basi alikuwa na uwezo kumbe madeni hadi basi..au kwasasa mzazi husika uchumi hauko vema..yani kama mtu haiwezekani kupata walitakiwa kuonyesha REJECT mapema kabisa ajipange..sio kila siku anafatilia SIPAInabaki ivo ivoo ukishapangia hayo maneno ya no approved allocation yanatoka na kama hutapata yanabaki ivo ivo siku zotee ...we kama ni continue na umeomba mkopo kupata uhakika subr batch ya continue ipooo special nasema coz na evidence asilimia 10000
Hapo penye kwemdelea kusubiri No approved allocation..ukidhani itabadirika ndio mtihani..mzazi aanzage kujiongeza tu....tatizo wanachukulia aliyesima private basi alikuwa na uwezo kumbe madeni hadi basi..au kwasasa mzazi husika uchumi hauko vema..yani kama mtu haiwezekani kupata walitakiwa kuonyesha REJECT mapema kabisa ajipange..sio kila siku anafatilia SIPA
EeeeHivi mkopo unaweza ukapata boom tuuuh
Kampala hio 😂VIP kwa AMBAO wapepangiwa kiasi kidogo kwa Ada Ada ya Chuo kwa MWAKA Ni millioni 7+ ila kapangiwa Ada ya mkopo 400000 itakuwaje ama ataongeewa lakin appeal inagoma kufunguka
Vipi ilifanikiwa kuingia? Maana hiyo ndiyo hali ninayokumbana nayo na mimiMimi kila nikijaribu kuingia kwenye account ni kama inanitoa..., nazunguka tu hapo hapo, kila mara inaniridisha kwenye login page
Ukifanikiwa nitagMimi kila nikijaribu kuingia kwenye account ni kama inanitoa..., nazunguka tu hapo hapo, kila mara inaniridisha kwenye login page
Vipi ilifanikiwa kuingia? Maana hiyo ndiyo hali ninayokumbana nayo na mimiMimi kila nikijaribu kuingia kwenye account ni kama inanitoa..., nazunguka tu hapo hapo, kila mara inaniridisha kwenye login page
Ukifanikiwa nitagMimi kila nikijaribu kuingia kwenye account ni kama inanitoa..., nazunguka tu hapo hapo, kila mara inaniridisha kwenye login page
Nilifanikiwa aisee, ilikuwa tu nakosea password nahisiVipi ilifanikiwa kuingia? Maana hiyo ndiyo hali ninayokumbana nayo na mimi
Ukifanikiwa nitag