HESLB yatangaza orodha ya pili wanufaika 2024/2025

HESLB yatangaza orodha ya pili wanufaika 2024/2025

VYUMBA.jpg
 
Kwaivo mwanafunzi akiwa hatapata mkopo wanaandika au anaendelea kusubiri hewa?
Inabaki ivo ivoo ukishapangia hayo maneno ya no approved allocation yanatoka na kama hutapata yanabaki ivo ivo siku zotee ...we kama ni continue na umeomba mkopo kupata uhakika subr batch ya continue ipooo special nasema coz na evidence asilimia 10000
 
Inabaki ivo ivoo ukishapangia hayo maneno ya no approved allocation yanatoka na kama hutapata yanabaki ivo ivo siku zotee ...we kama ni continue na umeomba mkopo kupata uhakika subr batch ya continue ipooo special nasema coz na evidence asilimia 10000
Hapo penye kwemdelea kusubiri No approved allocation..ukidhani itabadirika ndio mtihani..mzazi aanzage kujiongeza tu....tatizo wanachukulia aliyesima private basi alikuwa na uwezo kumbe madeni hadi basi..au kwasasa mzazi husika uchumi hauko vema..yani kama mtu haiwezekani kupata walitakiwa kuonyesha REJECT mapema kabisa ajipange..sio kila siku anafatilia SIPA
 
Hapo penye kwemdelea kusubiri No approved allocation..ukidhani itabadirika ndio mtihani..mzazi aanzage kujiongeza tu....tatizo wanachukulia aliyesima private basi alikuwa na uwezo kumbe madeni hadi basi..au kwasasa mzazi husika uchumi hauko vema..yani kama mtu haiwezekani kupata walitakiwa kuonyesha REJECT mapema kabisa ajipange..sio kila siku anafatilia SIPA
 
Mimi kila nikijaribu kuingia kwenye account ni kama inanitoa..., nazunguka tu hapo hapo, kila mara inaniridisha kwenye login page
Vipi ilifanikiwa kuingia? Maana hiyo ndiyo hali ninayokumbana nayo na mimi
Mimi kila nikijaribu kuingia kwenye account ni kama inanitoa..., nazunguka tu hapo hapo, kila mara inaniridisha kwenye login page
Ukifanikiwa nitag
 
Mimi kila nikijaribu kuingia kwenye account ni kama inanitoa..., nazunguka tu hapo hapo, kila mara inaniridisha kwenye login page
Vipi ilifanikiwa kuingia? Maana hiyo ndiyo hali ninayokumbana nayo na mimi
Mimi kila nikijaribu kuingia kwenye account ni kama inanitoa..., nazunguka tu hapo hapo, kila mara inaniridisha kwenye login page
Ukifanikiwa nitag
 
Back
Top Bottom