Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 861
- 1,547
Yeah nawafahamu watu hao ambao akaunti zilibadilika na walikosameans hata account ikibasilika na kuwa Sipa unaweza kukosa mkopo duuh,🙉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah nawafahamu watu hao ambao akaunti zilibadilika na walikosameans hata account ikibasilika na kuwa Sipa unaweza kukosa mkopo duuh,🙉
Sasa kama hajapata..Yeah nawafahamu watu hao ambao akaunti zilibadilika na walikosa
Mfumo una kawaida ya kukuchukua kisha unakutema kwa hio ukiona imesoma kisha ukaona empty basi jua mfumo umekutemaSasa kama hajapata..
Mbona wanamuita beneficiary tayari?
Mnatuchanganya mjue wakuu
Usiwakatishe tamaa wenzio.kuna mambo bado hayajakaa sawa,ndio yanawekwa sawa,kila kitu kitawekwa wazi kesho jioni au keshokutwa.Mfumo una kawaida ya kukuchukua kisha unakutema kwa hio ukiona imesoma kisha ukaona empty basi jua mfumo umekutema
Sawa sawa mkuuUsiwakatishe tamaa wenzio.kuna mambo bado hayajakaa sawa,ndio yanawekwa sawa,kila kitu kitawekwa wazi kesho jioni au keshokutwa.
Una uhakika na hilo ama unaongea tuMfumo una kawaida ya kukuchukua kisha unakutema kwa hio ukiona imesoma kisha ukaona empty basi jua mfumo umekutema
Huyu kashapata ni changamoto ndogo tu zimejitokeza kila kitu kitakuwa up and running.Sasa kama hajapata..
Mbona wanamuita beneficiary tayari?
Mnatuchanganya mjue wakuu
waliwekewa allocation afu zikafutika ama allocatiom hawakuwekewaWakuu last year kuna watu akaunti zao zilibadilika kuwa SIPA na hawakupangiwa chochote mwaka huu wameomba tena so account yako ikibadilika bila kuona allocation endeleza maombi tu Mungu atabless
Ingia kwa sipa utakuta allocation yako imesharudi tayariHapana mwanzo ilikuwa No allocation
Hakuna mbonaIngia kwa sipa utakuta allocation yako imesharudi tayari
Pole Kuna wadau zimesharudiHakuna mbona
okPole Kuna wadau zimesharudi
Umeshapata
Hilo sijui mkuu ila nishawaona watu wa aina hiyo mwaka jana na miongoni mwao ni watu wangu wa karibu kabisa akaunti ilibadilika but nothingSasa kama hajapata..
Mbona wanamuita beneficiary tayari?
Mnatuchanganya mjue wakuu
Hawakuwekewa allocation kabisa ila ilibadilika kuwa SIPA ambazo zimepotea hizo zitarudi msiwe na wasiwasiwaliwekewa allocation afu zikafutika ama allocatiom hawakuwekewa
Wewe ndo mpumbavu huwezi kutoa Mkopo pasipo kutumia vigezoIla hii bodi ya mikopo ni wapumbavu sana! Hivi wameshindwa nini kuwapa wanafunzi wote japo kidogo kidogo? Let say angalau hata 2m kila mwanafunzi badala ya hivi vigezo vyao vya kijinga? Sasa mtu ada 5m unampa laki 2 inamfaa nini hiyo?
Acha upotoshaji dogo hujaona walichosema Bodi shida ujuajiMfumo una kawaida ya kukuchukua kisha unakutema kwa hio ukiona imesoma kisha ukaona empty basi jua mfumo umekutema
Mpumbavu mkubwa wewe! Kama wewe ndiye mkurugenzi wa hiyo bodi basi utakuwa kalio! Unaona hivyo vigezo viko sawa?Wewe ndo mpumbavu huwezi kutoa Mkopo pasipo kutumia vigezo