Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hebu wambie Israel watuonyeshe basi wamefika Gaza na wameisha warudisha matekwa?

Yani kama si usenge hu ni kitu gani una jeshi karibu watu 350,000 una vifaru ambavyo vina cost kimoja zaid ya mamillion, air force za kila aina, Navy na support kutoka America, Europe na nchi za Kiarabu Egypt, Jordan, UAE na bado hata matekwa mmoja hamjamrudisha kwa kutumia ule mnauita u super power wenu 😄

Tunacho ona watoto wengine hata hawafiki siku 10 wameuliwa na boom lina cost mamillion kweli akili Mali afu wengine mnaona Hamasi wamejificha nyuma ya mtoto 😄 Ukristo kweli ni ujinga nyie na baniani hamna tofauti wale wanabudu ngombe nyie binadamu

Yesu kachukua dhambi zako au ✨
Wale ni wayahudi kijana sio wakristo.. Kingine maeneo yatachukuliwa huvyo hivyo...
 
We mimi siwezi kuwa kichaa kwanza sijawahi ita Mungu binadamu, sijawahi kushangilia nchi ikauwe watoto na wanawake wasio na hatia ni hesabu wanajeshi 😄 We ndio kapime akili zako vizuri.

Wenzako wanakimbia Gaza na vyombo vya habari vya Israel vinalalamika Hamasi Hamasi mpaa wanauliza hio Iron dome inafaida gani, we si Muisrael sikia basi wenzako wanavyo lalamika


View: https://youtu.be/1zifuCE-wzI?si=39hztvnk1Rct-l1Q

Hajakosea Yesu kuwaita Kondoo walio protea na wewe kondoo tu kama wao.

Vita si kuvunja majumba, na magari ya ambulance, kuwauwa watoto. Wanawake, wagonjwa et Israel anapeleka moto.

Hamasi wanaume mtaishia kuimba nyimbo tu kanisani wanaume wameshikilia matekwa hata mmoja mmeshindwa kuchukua afu mnajidai Hamasi tutaisafisha inataka wanaume kuisafisha Hamasi si mashoga hata wasaidiwe na US, UK, Ukraine, Canada, France, Italy, United Arab Emirates. Jordan, Germany afu mnajidai Israel super power labda super power wa kishoga.

Hamas walivyopiga israel ulifanya nn? Magaidi bwana. Ukifuga gaidi mm siwezi kukutetea kwa maana unafuga mtu anaeua wasio na hatia. Magaidi yakiuliwa ni jambo jema kwa usalama wa taifa husika na dunia kwa ujumla. Katika maandiko kuna vita mbali mbali lakini vita vile vilipiganiwa kwenye maeneo rasmi au vingine ndio hawa magaidi wa jihad kuua watu wasio na hatia. Alafu mje mtake huruma na kulialia free free panyestina ya konyo. Ukiwa gaidi hakuna namna utaliwa kichwa tu. Kuna kosa lolote hapo nimefanya. Mkuu fanya mishe zako kubishana na mimi utakesha na unajisumbua tu
 
Hebu wambie Israel watuonyeshe basi wamefika Gaza na wameisha warudisha matekwa?

Yani kama si usenge hu ni kitu gani una jeshi karibu watu 350,000 una vifaru ambavyo vina cost kimoja zaid ya mamillion, air force za kila aina, Navy na support kutoka America, Europe na nchi za Kiarabu Egypt, Jordan, UAE na bado hata matekwa mmoja hamjamrudisha kwa kutumia ule mnauita u super power wenu 😄

Tunacho ona watoto wengine hata hawafiki siku 10 wameuliwa na boom lina cost mamillion kweli akili Mali afu wengine mnaona Hamasi wamejificha nyuma ya mtoto 😄 Ukristo kweli ni ujinga nyie na baniani hamna tofauti wale wanabudu ngombe nyie binadamu

Yesu kachukua dhambi zako au ✨
Kwa akili yako unadhani israel ni mabumunda kuwa kila hatua wata expose mambo yao..? Akili muhimu upo vitani unatoa njia zako..? Hiyo al jaazera ni ya nyie nyie magaidi inachagua vya kupost ili kuitetea hamas na magaidi kuwa yanaonelewa au yanajitahidi. 😆😆😆😆 tulia usilie lie moto ukuingie vzr
 
Wale ni wayahudi kijana sio wakristo.. Kingine maeneo yatachukuliwa huvyo hivyo...
Kwani ukristo na uyahudi ni tofauti hao wanamini Yesu ni Mungu na Myahudi anamgojea Dijal the deceiving Messia ndio mungu wao 😄
 
Kwani ukristo na uyahudi ni tofauti hao wanamini Yesu ni Mungu na Myahudi anamgojea Dijal the deceiving Messia ndio mungu wao 😄
WACHA tuione Gaza ikiwa chini ya Wayahudi!
 
Kwa akili yako unadhani israel ni mabumunda kuwa kila hatua wata expose mambo yao..? Akili muhimu upo vitani unatoa njia zako..? Hiyo al jaazera ni ya nyie nyie magaidi inachagua vya kupost ili kuitetea hamas na magaidi kuwa yanaomelewa au yanajitahidi. 😆😆😆😆 tulia usilie lie moto ukuingie vzr
Wenzako wameisha rudi mpakani kama huna habari mtasikia wanakubali kurudisha matekwa kwa amri ya Super Power wa Middle East Al Qasam brugedies [ Hamasi]

Watu wakanisani lazima wawe wanapenda mchezo wao.
 
Iran mwenyewe kawa kimya wakati mstari ushavukwa
Sa vipi US si pia alisema atawapiga Hezbullah wakipiga Israel siku zote hizi Hezbullah anapiga Israel, mbona hujasema hili umeona la Iran tu.

Na vipi Israel si amepigwa na Yemen, alisema ataipiga Yemen mbona kaufyata.
 
Katika maisha yangu nilijua uislamu na unafiki ni adui, lakini kwa sasa naona tofauti sana.
Huyo muezbulah nimemsikia akisifu Hamas kwa kuishambulia Israel,kuua na kuteka watu, lakini akailaumu Israel kwa kuwapiga Hamas hata wakiwa ndani ya mashimo! Huu ndiyo uislamu? Au ni ulebanon.
" Imeandikwa waueni hata kama wakiwa wamejificha chini ya mawe"
Sasa wayahudi wao wamekuja na hili" waueni hata kama watakuwa wamejificha chini ya ardhi"
 
Ukwel uliopo Hezbollah huwez kumtetea Kwa chochote,mtu hawezi akawa anakuweza akakuacha wakati unamkera na kumzalilisha,NI kama mtu anapiga mke wako mangumi mbele yako afu ukae kimya uwanze kujitetea, hapana we sema Tu na Mimi nkijichanganya itakuwa noma
 
Sa vipi US si pia alisema atawapiga Hezbullah wakipiga Israel siku zote hizi Hezbullah anapiga Israel, mbona hujasema hili umeona la Iran tu.

Na vipi Israel si amepigwa na Yemen, alisema ataipiga Yemen mbona kaufyata.
kumbe hadi kilema Yemen kaipiga Israeli. Hivi ni nini maana ya kupiga.
 
Usichokijua israel hakuna wakristo na waislamu wapo 20% huku wakristo hata 2% hawafiki
Kwani watu hapa wanaongelea dini na idadi ya waumini shekhe?🤣🤣🤣🤣🤣
Nasrallah katoa hotuba akiwa shimoni kama nguchiro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kimsboy ndio yuko nje kwasababu alikimbilia Tanzania, naye sahivi angekuwa shimoni🤣🤣🤣🤣
 
Hezbollah leader amesema all possibilities still open in hostilities with Israel.

Kwanza lazima ufahamu Hezbullah huwa haingi tu total war sababu wao si kama Hamasi wapo wanawatu wao katika parlment ya Lebanin.

Saud Arabia, Qatar, UAE, Jordan na America wamewatia pressure serekali ya Lebanon wasimruhusu Hezbullah aingie vita kwa kuwapa guarantee 💯 America hataki vita iendelee na Natanyahau ataondoka kwenye kiti.

Lazima ufahamu Hezbullah pia huyu Rais aliyopa madarakani Lebanon kwa sasa ni mtu wao, hawataki kumkera, pili Saud Arabiana Qatar na UAE wemewambia serekali ya Lebanon watawapa pesa wahakikishe wanamtia pressure Hezbollah asingie hi vita.

Alicho wambia atasubiri aone kama Israel na America wanaendelea na hi vita kuwauwa watoto na wanawake basi hana guarantee ya kuwapa hata ingia hi total war.

Lazima ujuwe nyuma ya pazia America alikuwa anabembeleza nchi za kiarabu ziwasemeshe Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war na Israel sababu America hataki vita
Bado ujasema
 
kumbe hadi kilema Yemen kaipiga Israeli. Hivi ni nini maana ya kupiga.
Hakuna hata dron, sijui ballestic ya Yemen iliyotua ktk ardhi ya Israel ustaadh ok🤣🤣🤣🤣 kiongozi wenu alitoa hotuba akiwa wapi?🤣🤣🤣

Kwamba Hezbollah nao wako shimoni, binadamu wamegeuka panya aise Israel apunguze ubabe, wazee akina Nasrallah wanapata shida🤣🤣🤣🤣
 
Hebu wambie Israel watuonyeshe basi wamefika Gaza na wameisha warudisha matekwa?

Yani kama si usenge hu ni kitu gani una jeshi karibu watu 350,000 una vifaru ambavyo vina cost kimoja zaid ya mamillion, air force za kila aina, Navy na support kutoka America, Europe na nchi za Kiarabu Egypt, Jordan, UAE na bado hata matekwa mmoja hamjamrudisha kwa kutumia ule mnauita u super power wenu 😄

Tunacho ona watoto wengine hata hawafiki siku 10 wameuliwa na boom lina cost mamillion kweli akili Mali afu wengine mnaona Hamasi wamejificha nyuma ya mtoto 😄 Ukristo kweli ni ujinga nyie na baniani hamna tofauti wale wanabudu ngombe nyie binadamu

Yesu kachukua dhambi zako au ✨
Gaza wanaume tu ndio wako nje, wewe uko Gaza sehemu gani mwanamke we, wanawake wote wa Gaza wako shimoni toka 7 oktoba, jamani kumbe binadamu anaweza kuishi chini ya ardhi kama nguchiro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ustaadh wewe unabwabwaja ujinga hapa coz ulikimbilia Tanzania, but ungebaki kwenu huko sahivi ungekuwa chini ya ardhi kama Hassan Nasrallah kiongozi wenu ametoa mahubiri yake kwenu akiwa chini ardhi kama panya ubatwambia nini hapa🤣🤣🤣
 
😄 we jifurahishe tu lazima ufahamu Hezbullah hamuogopi Israel na merica, pili Hezbullah jana kampa warning Us na Israel kuwa hawapi guarantee 💯 hata ingia total war.

Unafahamu sababu gani? Kwanza America kawapa guarantee kuwa atawakataza Israel wasiuwe civilian, pili hataki vita kwakuwambia serekali ya Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war.

Kitu kingine Hezbullah wamesema hawataki kwa sasa kuingia total war na Israel sababu wanamini Israel hawezi kumshinda vita Hamasi na hawezi kurudisha hao matekwa hata afanye vipi.

Wataingia total war kama Israel ataendelea kuwapiga civilian wasio na hatia.

Hezbullah leader kauliza maswali mawili muhimu sana Je Israel kapata kitu gani katika hi vita.

Cha kwanza Hamasi bado wanamrushia missiles kama kawaida kwa hio kwenye mambo ya askari hakuna alichofanya.

PILI hao matekwa karudisha hata mmoja? Hakuna.

Gaza kaingia hajaingia sasa hi vita kapata nini zaidi ya kuwapiga watoto, wanawake na kuvunja majumba na magari hata ambulance huyu ndio super power 😄

Unateseka sana hadi huruma, kuandika andika hizi insha kwenye nyuzi, Israel wanatembeza kichapo, Hezbollah walishindwa kufanya chochote maana Lebanon ingepigwa kama mbwa, jana mlisema mtaandamana, bado mpo tu.
 
Back
Top Bottom