We mimi siwezi kuwa kichaa kwanza sijawahi ita Mungu binadamu, sijawahi kushangilia nchi ikauwe watoto na wanawake wasio na hatia ni hesabu wanajeshi 😄 We ndio kapime akili zako vizuri.
Wenzako wanakimbia Gaza na vyombo vya habari vya Israel vinalalamika Hamasi Hamasi mpaa wanauliza hio Iron dome inafaida gani, we si Muisrael sikia basi wenzako wanavyo lalamika
View: https://youtu.be/1zifuCE-wzI?si=39hztvnk1Rct-l1Q
Hajakosea Yesu kuwaita Kondoo walio protea na wewe kondoo tu kama wao.
Vita si kuvunja majumba, na magari ya ambulance, kuwauwa watoto. Wanawake, wagonjwa et Israel anapeleka moto.
Hamasi wanaume mtaishia kuimba nyimbo tu kanisani wanaume wameshikilia matekwa hata mmoja mmeshindwa kuchukua afu mnajidai Hamasi tutaisafisha inataka wanaume kuisafisha Hamasi si mashoga hata wasaidiwe na US, UK, Ukraine, Canada, France, Italy, United Arab Emirates. Jordan, Germany afu mnajidai Israel super power labda super power wa kishoga.