Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Tayari washaingia mkuu nnataka nikuweke video inakataa tuone huo mwisho wa hezbollah usiku huu makombora 6 ya hezbollah yamepiga target israel iron dome zote zimeshindwa ku intercept kumbe iron dome ni kwa ajile ya katyusha rocket tu za hamas zile za kutengeneza uwani,ile hutuba majasusi wenye akili zao walishajua kinachofuata hila ww ndio unasema kaogopa tusubiri majibu ya idf kwa hezbollah.
Hizo habari unazo wewe na Ile radio yenu ya alqueda?
 
Back
Top Bottom