Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Kwa hiyo hii mada inahusu kile ulichoandika?
Ninyi adui zenu ni Wayahudi sasa sijajua kwa nini mnawaingiza Wakristo.

Kama mayahudi hamuwawezi Wakristo ndio mtawaweza?

Kwa nini vita hii unaingiza Udini?
Ilhali hata mkitumia huo Udini bado vita inawashinda.
we uliwahi kuona mkristo hai support Israel, hata kama yuko wrong.

Dalili hapa wakristo wote wanafurahi kuona watoto/wanawake wa Gaza wameuliwa eti kuna kambi ya Hamadi Hospital au misikitini 😄


View: https://youtube.com/shorts/zQs9hcsIzjE?si=0Q4OcJ8aR0OjBja6

Kampeni pesa Rais wa Lebanon kwa kuwazuia Hezbullah wasingie na Israel total war 😄
 

Attachments

  • Screenshot_20231104_170823_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20231104_170823_Samsung Internet.jpg
    165.4 KB · Views: 1
Tofauti vita ya nchi na nchi.
Na vita ya kupambana na magaidi yanayojifichia kwenye makazi ya Watu. Ni mambo mawili tofauti na ambayo ni mbali mno.

Nimekuambia Wapalestina na wàshirika wao hawana uwezo wowote na mbinu yoyote ikiwemo kutumia miungu yao ili wawashinde Wazungu.

Wangekuwa na namna yoyote ya kushinda Waisraeli wasingekuwa hapo walipo.

Ni kujifariji kwa Watu wajinga kama unavyofanya wewe.
Lebanon, Iran, Yemen na hao Palestina ni Watu walioshindwa tangu 1947 kwa sasa wanatapatapa tuu. Ili maeneo mengine yasibebwe.
Tumeanza kuitana wajinga tena?

Nimesha kwambia tatizo la Palestina ni la wapalestina na sio waarabu wote,kama ambavyo matatizo ya Congo na Sudan ni ya wao wenyewe na sio wa waafrika wote, unatakiwa uelewe hivyo.

Acheni kurazimisha mambo nchi nyingine za Kiarabu zikiamua kuisaidia palestina zitaisaidia kwa mapenzi ya na kwa maslahi yao na sio kurazimisha iwe wajibu wao eti wasipo wasaidia basi basi wanaiogopa Israel.

Kuhusu kupigana vita ,vita yeyote inayo piganiwa mjini huwa ni razima ipiganiwe katikati ya watu haijalishi una pigana na jeshi au kikundi.
Kwa hiyo Ukraine na Urusi huwa wakifika mjini huwa wanapigania angani na siyo kwenye majumba ya watu?

Au sisi kipindi tuna pigana na majeshi ya Uganda na kuiteka Kampala tulikuwa tunapigania angani?
 
we uliwahi kuona mkristo hai support Israel, hata kama yuko wrong.

Dalili hapa wakristo wote wanafurahi kuona watoto/wanawake wa Gaza wameuliwa eti kuna kambi ya Hamadi Hospital au misikitini 😄


View: https://youtube.com/shorts/zQs9hcsIzjE?si=0Q4OcJ8aR0OjBja6

Kampeni pesa Rais wa Lebanon kwa kuwazuia Hezbullah wasingie na Israel total war 😄


Swali lako ni sawa useme, uliwahi ona muislamu haisapoti Palestina?

Wapo kibao.
Mimi mwenyewe siisapoti hiyo Israel na ni mkristo.
Ila siwezi kaa upande wa Watu wajinga ambao ni Palestina. Mimi na ujinga ni maadui.
Mimi na udhalimu ni maadui.

Kwa mfano, Palestina na wewe unayeisapoti hamjui hata kwa nini mnapigana hiyo vita. Hamna malengo.
Mñajua kabisa mkianzisha vita mtapigwa na mtasababisha kushindwa zaidi na zaidi. Lakini kwa vile ni wapumbavu na wajinga mnaanzisha vîta, siwezi kaa upande wa mtu mjinga.

Angalia China anavyoshughulikia ishu ya Taiwan. Anatumia Akili. Lakini kijiti mijinga haina tofauti na nyumbu. Inajipeleka mdomoni mwa Mamba alafu unategemea nini hapo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dah! Yani unaongea kama vile upo WH na hizo Ikulu zote za Nchi ulizozitaja.Wewe ni mtu hatari sana kujua Intel info za Nchi zote hizo kuhusu hii vita.Mkuu kubali tu kile mlichokitegemea jana kutoka kwa kiongozi wa Hizbollah hakikuwa,hizi nyingine unatueleza ni blah blah tu.
Unadhani mimi naongea uwongo kama nyie, Hezbullah wanawatu wao kwenye Parliament ya Lebanon sa wapi nimeongea uwongo, Rais wa Lebanon yuko karibu na Hezbullah savwapi nimeongea uwongo

INFORMATION
Hezbollah has been a fixture of the Lebanese government since 1992, when eight of its members were elected to Parliament, and the party has held cabinet positions since

14, 2023


Hezbollah-backed Najib Mikati appointed Lebanese PM
Published
25 January 2011
 
Tumeanza kuitana wajinga tena?

Nimesha kwambia tatizo la Palestina ni la wapalestina na sio waarabu wote,kama ambavyo matatizo ya Congo na Sudan ni ya wao wenyewe na sio wa waafrika wote, unatakiwa uelewe hivyo.

Acheni kurazimisha mambo nchi nyingine za Kiarabu zikiamua kuisaidia palestina zitaisaidia kwa mapenzi ya na kwa maslahi yao na sio kurazimisha iwe wajibu wao eti wasipo wasaidia basi basi wanaiogopa Israel.

Kuhusu kupigana vita ,vita yeyote inayo piganiwa mjini huwa ni razima ipiganiwe katikati ya watu haijalishi una pigana na jeshi au kikundi.
Kwa hiyo Ukraine na Urusi huwa wakifika mjini huwa wanapigania angani na siyo kwenye majumba ya watu?

Au sisi kipindi tuna pigana na majeshi ya Uganda na kuiteka Kampala tulikuwa tunapigania angani?

Wapalestina sio Waarabu?

Wakongo sio Waafrika?

Unakataa sio wajinga alafu dakika tatu zijazo wanafanya ujinga na wewe unasopoti ujinga. Sasa wote hapo si wajinga tuu.

Ni sawa na wanaoisapoti Israel inayofanya dhulma, wote ni wadhulumati tuu. Anayesapotu na anayefanya kazi moja.
 
Wapalestina sio Waarabu?

Wakongo sio Waafrika?

Unakataa sio wajinga alafu dakika tatu zijazo wanafanya ujinga na wewe unasopoti ujinga. Sasa wote hapo si wajinga tuu.

Ni sawa na wanaoisapoti Israel inayofanya dhulma, wote ni wadhulumati tuu. Anayesapotu na anayefanya kazi moja.
Duu basi umeshinda kwaheli.
 
Itakua kuna mtu kamtonya kiongozi wa Hezbollah kwamba kwa sasa Israel wana hasira isiyo na kifani na kujaribu ugomvi nao ni kujitakia kipigo cha mbwa, walisubiriwa watangaze vita, nyuzi zikaanzishwa humu, mzee wa watu alipopewa mic atangaze vita, akabwatuka mikwara kisha muda wa kulala ulipofika akaenda zake.

Ifahamike kwa sasa hakuna taifa au kundi lolote linalotaka kujiingiza kwenye huu ugomvi, hata kubwa la magaidi ya dini, Iran, limeogopa na kukaa pembeni, kwa sasa HAMAS wako wenyewe na picha za satellite zinaonyeshwa Gaza imezingirwa kote.....

Hivi waarabu wa Bongo waliandamana jana?

ai2html-graphic-mobile375.11af033c.png



For weeks, Lebanon was preparing for war. People spoke about their backup plans in hushed tones. The government said it was putting together contingency supplies for the public’s basic necessities.

It all hinged on Hezbollah Secretary General Hassan Nasrallah’s thinking about the Hamas-Israel war, which he kept close to his chest before breaking his nearly month-long silence about October 7 on Friday.

In a fiery speech from an undisclosed location, the reclusive head of the Iran-backed Lebanese militant group heaped praise on Hamas and hailed the war as a “turning point” in the Arab-Israeli conflict. He extolled the virtues of the weekslong cross-fire with Israel on Lebanon’s southern border, which he described as an “unprecedented battle.”

He also said Hezbollah would be "prepared for all scenarios,” and that any escalation by the Israeli army at the border would be a "historic folly" that would prompt a major response.

Yet for all the tough talk, Nasrallah was not banging war drums. He said Hezbollah’s “primary goal” was to achieve a ceasefire in Gaza, and said it was incumbent on the US — which he held directly responsible for the bloodshed in the Palestinian enclave — to implement the cessation of hostilities.

What this tells us is that Nasrallah’s immediate plans do not include a broader conflict.

This may come as a disappointment to many in the Arab street. When the pro-Palestinian demonstrations washed over much of the region in recent weeks, many of the chants called on Nasrallah to go to war.

But it will be a relief to Israel’s Western allies, who fear a wider regional conflict and have repeatedly warned Nasrallah not to enter the fray. Two US aircraft carriers — including the nuclear-power USS Gerald Ford — were dispatched to the Mediterranean in an apparent bid to deter Hezbollah.

That relief will be shared by many in Lebanon. The tiny eastern Mediterranean country has barely recovered from the devastating economic crisis of 2019, and much of the population — while horrified by the soaring death toll and widespread destruction wrought by Israel’s offensive in Gaza — has been worn down by decades of war and crises.

Nasrallah may have been restrained by that popular sentiment, or he may have concluded, after weeks of deliberation, that his powerful paramilitary has too much to lose in a war with Israel.

Hawezi kuingilia sababu jamii nzima ya Lebanon imesema imechoka vita na Israel maana kichapo cha 2006 watu wa Lebanon wanakikumbuka kilikuwa sio cha kitoto.

Hezbula imepoteza Askari zaidi ya 50 katika hii rasharasha ya siku chache tu na sio vita nyenyewe na Hilo imewashitua wakuu wa Hezbula .

Jambo lingine usa 🇺🇸 amekataza kikundi au nchi yoyote kuingilia ugomvi wa Gaza .
 
Hawezi kuingilia sababu jamii nzima ya Lebanon imesema imechoka vita na Israel maana kichapo cha 2006 watu wa Lebanon wanakikumbuka kilikuwa sio cha kitoto.

Hezbula imepoteza Askari zaidi ya 50 katika hii rasharasha ya siku chache tu na sio vita nyenyewe na Hilo imewashitua wakuu wa Hezbula .

Jambo lingine usa 🇺🇸 amekataza kikundi au nchi yoyote kuingilia ugomvi wa Gaza .
Na Israel imepoteza wanajeshi wangapi?
 
Hawezi kuingilia sababu jamii nzima ya Lebanon imesema imechoka vita na Israel maana kichapo cha 2006 watu wa Lebanon wanakikumbuka kilikuwa sio cha kitoto.

Hezbula imepoteza Askari zaidi ya 50 katika hii rasharasha ya siku chache tu na sio vita nyenyewe na Hilo imewashitua wakuu wa Hezbula .

Jambo lingine usa 🇺🇸 amekataza kikundi au nchi yoyote kuingilia ugomvi wa Gaza .

Nafikiri pia Wapalesina wamejifunza vya kutosha, siku wakirudi Gaza wataishi kwa kutulia, hivi vikundi kama HAMA na Hebollah na Iran yao vitakosa umaarufu kabisa.
 
Hezbollah leader amesema all possibilities still open in hostilities with Israel.

Kwanza lazima ufahamu Hezbullah huwa haingi tu total war sababu wao si kama Hamasi wapo wanawatu wao katika parlment ya Lebanin.

Saud Arabia, Qatar, UAE, Jordan na America wamewatia pressure serekali ya Lebanon wasimruhusu Hezbullah aingie vita kwa kuwapa guarantee 💯 America hataki vita iendelee na Natanyahau ataondoka kwenye kiti.

Lazima ufahamu Hezbullah pia huyu Rais aliyopa madarakani Lebanon kwa sasa ni mtu wao, hawataki kumkera, pili Saud Arabiana Qatar na UAE wemewambia serekali ya Lebanon watawapa pesa wahakikishe wanamtia pressure Hezbollah asingie hi vita.

Alicho wambia atasubiri aone kama Israel na America wanaendelea na hi vita kuwauwa watoto na wanawake basi hana guarantee ya kuwapa hata ingia hi total war.

Lazima ujuwe nyuma ya pazia America alikuwa anabembeleza nchi za kiarabu ziwasemeshe Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war na Israel sababu America hataki vita
wewe jifariji tuu, ukweli kamili gaza sasa hivi ipo kama mburahati ya 1967! kila ukienda pembeni utakuta maiti!
 
Usichokijua israel hakuna wakristo na waislamu wapo 20% huku wakristo hata 2% hawafiki
ila si mlivamia Israel wenyewe ? ss maswala ya dini ya nini? malizien mlichoanzisha
 
Hezbollah leader amesema all possibilities still open in hostilities with Israel.

Kwanza lazima ufahamu Hezbullah huwa haingi tu total war sababu wao si kama Hamasi wapo wanawatu wao katika parlment ya Lebanin.

Saud Arabia, Qatar, UAE, Jordan na America wamewatia pressure serekali ya Lebanon wasimruhusu Hezbullah aingie vita kwa kuwapa guarantee [emoji817] America hataki vita iendelee na Natanyahau ataondoka kwenye kiti.

Lazima ufahamu Hezbullah pia huyu Rais aliyopa madarakani Lebanon kwa sasa ni mtu wao, hawataki kumkera, pili Saud Arabiana Qatar na UAE wemewambia serekali ya Lebanon watawapa pesa wahakikishe wanamtia pressure Hezbollah asingie hi vita.

Alicho wambia atasubiri aone kama Israel na America wanaendelea na hi vita kuwauwa watoto na wanawake basi hana guarantee ya kuwapa hata ingia hi total war.

Lazima ujuwe nyuma ya pazia America alikuwa anabembeleza nchi za kiarabu ziwasemeshe Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war na Israel sababu America hataki vita
mnaanza tafuta sababu ?
 
Wenzako wameisha rudi mpakani kama huna habari mtasikia wanakubali kurudisha matekwa kwa amri ya Super Power wa Middle East Al Qasam brugedies [ Hamasi]

Watu wakanisani lazima wawe wanapenda mchezo wao.
Aliyekuwambia hii Vita ni ya kidini kakujaza ujinga.
 
Hezbollah leader amesema all possibilities still open in hostilities with Israel.

Kwanza lazima ufahamu Hezbullah huwa haingi tu total war sababu wao si kama Hamasi wapo wanawatu wao katika parlment ya Lebanin.

Saud Arabia, Qatar, UAE, Jordan na America wamewatia pressure serekali ya Lebanon wasimruhusu Hezbullah aingie vita kwa kuwapa guarantee [emoji817] America hataki vita iendelee na Natanyahau ataondoka kwenye kiti.

Lazima ufahamu Hezbullah pia huyu Rais aliyopa madarakani Lebanon kwa sasa ni mtu wao, hawataki kumkera, pili Saud Arabiana Qatar na UAE wemewambia serekali ya Lebanon watawapa pesa wahakikishe wanamtia pressure Hezbollah asingie hi vita.

Alicho wambia atasubiri aone kama Israel na America wanaendelea na hi vita kuwauwa watoto na wanawake basi hana guarantee ya kuwapa hata ingia hi total war.

Lazima ujuwe nyuma ya pazia America alikuwa anabembeleza nchi za kiarabu ziwasemeshe Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war na Israel sababu America hataki vita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

View: https://youtu.be/NWQbnn0OaIM?si=S-lQJGi4Xnd0_F84


Hata huyu bint wa kiyahudi anawaona jamaa zake ni vichaa tu kuwauwa watoto, wagonjwa na wanawake na ambulance eti wako Hamasi mle 😄

Israel policy na silaha nipige tu napo taka hata kama Hamasi wako kwingine, wanadhani Hamasi watasimamisha vita wanaota hao. Hawajayfahamu uislamu bado. Uislam ni Mungu tu ndio anaye chukua roho yangu si Jey fighter au vifaru, Allah Akbar



View: https://youtu.be/RRueO6UgbHY?si=HofZDZYRq1kGhYyS

Wengine wanza kuufahamu Uislam sasa.
 
Back
Top Bottom