Naona Israel na washirika wenzako (US and allies) wametoa wazo la ceasefire.
Ile habari ya jana ni kweli wameshaanza kuomba ceasefire kuanzia Lebanon pia wapate muda wa kujadili ceasefire of Gaza.
Ila Hizbollah na Iran wanaonekana hawana habari sana na hizo habari za ceasefire.
Ila haya yote yanayoendelea bado tu Israel inamlaumu Iran aisee!!
Hammaz
Ile habari ya jana ni kweli wameshaanza kuomba ceasefire kuanzia Lebanon pia wapate muda wa kujadili ceasefire of Gaza.
Ila Hizbollah na Iran wanaonekana hawana habari sana na hizo habari za ceasefire.
Ila haya yote yanayoendelea bado tu Israel inamlaumu Iran aisee!!
Hammaz