Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Hujui lolote na hujui historia ya mashariki ya kati.
Kama hujui kaa kimya.
Crisis zote hizo ni Israel na washirika wake ndio chanzo.
Na hapo hadi wakristo wenzako wanakufa wewe unashadadia waislam waislam.
We nani kakwambia hii vita ya kidini!??
Mbona mnakua kama walevi na WAPUMBAVU msiotumia akili kutafakari!??
Wana wa shetani wa Ishmael mwana wa nje ya ndoa beki tatu Hajiri waachie ardhi ya wana wa ahadi wa Isaka huo mgogoro utaisha hapohapo, vinginevyo wana wa shetani wapalestina, na waarabu wengine wataendelea kuuwawa kama wanavyouwawa sasa, hivi washafika 41,000+ ehhh na lebanon washakufa wangapi vile 500 plus ehhh sasa waendelee kukaza fuvu tu wengi wataendelea kupelekwa kuzimu wakanywe mito ya pombe na kutolewa bikra na mashetani yaliyo kuzimu.
 
Wana wa shetani wa Ishmael mwana wa nje ya ndoa beki tatu Hajiri waachie ardhi ya wana wa ahadi wa Isaka huo mgogoro utaisha hapohapo, vinginevyo wana wa shetani wapalestina, na waarabu wengine wataendelea kuuwawa kama wanavyouwawa sasa, hivi washafika 41,000+ ehhh na lebanon washakufa wangapi vile 500 plus ehhh sasa waendelee kukaza fuvu tu wengi wataendelea kupelekwa kuzimu wakanywe mito ya pombe na kutolewa bikra na mashetani yaliyo kuzimu.
Wewe nakujua hukuwahi kuwa na akili.
Nani kakwambia waarabu uzao wa Ismail?
Huko huwa mnavutishwa bange kabla hamjalishwa uongo ama!?
Hiyo ardhi ya kila mtu na mwarabu alikuwepo hapo toka dunia inaundwa kijana.
Kama unasema kila mtu arudi kwa ardhi yake basi tambua AUSTRALIA,USA wote hapo wanapokaa sio kwao.
Australia ya mtu mweusi na USA ya red indies ila imejazana waingereza,Irish men na wayahudi.

No wonder ndio maana Hitler alitia risasi hao mabwana unaowashabikia.
Pole sana mzee wa Roman empire kufufuka.
 
Wewe nakujua hukuwahi kuwa na akili.
Nani kakwambia waarabu uzao wa Ismail?
Huko huwa mnavutishwa bange kabla hamjalishwa uongo ama!?
Hiyo ardhi ya kila mtu na mwarabu alikuwepo hapo toka dunia inaundwa kijana.
Kama unasema kila mtu arudi kwa ardhi yake basi tambua AUSTRALIA,USA wote hapo wanapokaa sio kwao.
Australia ya mtu mweusi na USA ya red indies ila imejazana waingereza,Irish men na wayahudi.

No wonder ndio maana Hitler alitia risasi hao mabwana unaowashabikia.
Pole sana mzee wa Roman empire kufufuka.
Maamuma katika ubora wako mwana wa ibilisi wewe hata uelimishwe vipi huwezi elimika wewe madrasa imekuharibu akili kabisaa kwa hongo za tende za waarabu hapo ulipo ukiambiwa jivike mabomu ukaue wayahudi upo tayari na kwa akili yako ya ibilisi unaamini kabisa kwa kufanya hivyo unaingia peponi kwenda kunywa mito ya pombe na kutafuta mabikra 72.
 
Kama hujui kitu kaa kimya.
Hayo mahandaki yapo mpakani na Israel katika milima ambako hakuna makazi ya watu.
Kuhusu Gaza Israel alipeleka video ICJ ikakaguliwa na kugundulika ni staged videos.
Ndio chanzo cha wazungu wengine kumgeuka kina Spain,Belgium na wengine.
Hamjui mnaropoka tu.
Mbona unahasira kushinda hata hao hizibo mkuu
 
Maamuma katika ubora wako mwana wa ibilisi wewe hata uelimishwe vipi huwezi elimika wewe madrasa imekuharibu akili kabisaa kwa hongo za tende za waarabu hapo ulipo ukiambiwa jivike mabomu ukaue wayahudi upo tayari na kwa akili yako ya ibilisi unaamini kabisa kwa kufanya hivyo unaingia peponi kwenda kunywa mito ya pombe na kutafuta mabikra 72.
😂😂😂😂😂😂😂Kawaida yako huwa ukikosa hoja unakuja na mihemko unahemka kama umetafuna msuba.
Hivi kwanini Germany kipindi cha Hitler iliwaua sana wayahudi!??
Unaweza ukanipa jibu!?
 
Wewe nakujua hukuwahi kuwa na akili.
Nani kakwambia waarabu uzao wa Ismail?
Huko huwa mnavutishwa bange kabla hamjalishwa uongo ama!?
Hiyo ardhi ya kila mtu na mwarabu alikuwepo hapo toka dunia inaundwa kijana.
Kama unasema kila mtu arudi kwa ardhi yake basi tambua AUSTRALIA,USA wote hapo wanapokaa sio kwao.
Australia ya mtu mweusi na USA ya red indies ila imejazana waingereza,Irish men na wayahudi.

No wonder ndio maana Hitler alitia risasi hao mabwana unaowashabikia.
Pole sana mzee wa Roman empire kufufuka.
Hitila alifanya la maana sana, aliwafanya wakitafute kile walikuwa wameacha kukitafuta, na tayari walishakipata

Na ndiyo maana kwa sasa ni wafalume wa ukanda huo na mpaka baadhi ya nchi za Ulaya na zenyewe kuna zile zinajawa na hofu dhidi ya hao mayahudi

Hata huyo Hitila akirudi leo, na yeye atashangaa kuona uwezo wa hao JEWS ulivyo sasa
 
Sehemu iliyoshambuliwa ni ya raia sio maghala ya silaha ya Hizbollah.
Hizbollah silaha zao huzificha chini ya tunnels.
Mtu ambaye unakazana kuambia watu wasitoa taarifa za uongo kumbe na wewe mwenyew muongo namba moja

PITIFUL
 
Hitila alifanya la maana sana, aliwafanya wakitafute kile walikuwa wameacha kukitafuta, na tayari walishakipata

Na ndiyo maana kwa sasa ni wafalume wa ukanda huo na mpaka baadhi ya nchi za Ulaya na zenyewe kuna zile zinajawa na hofu dhidi ya hao mayahudi

Hata huyo Hitila akirudi leo, na yeye atashangaa kuona uwezo wa hao JEWS ulivyo sasa
Mfalme wa middle east kiuchumi ni Qatar.
Mfalme wa middle east kwa sarafu yenye thamani ni Kuwait na Oman.
Mfalme wa middle east kijeshi ni Iran sio Israel.Hata katika rank za majeshi bora Iran iko juu ya Israel.

Israel ni mtoto anayedekezwa na USA na UK.Hakuna taifa la Ulaya linayoiogopa Israel sio kijeshi wala kiuchumi.
 
😂😂😂😂😂😂😂Kawaida yako huwa ukikosa hoja unakuja na mihemko unahemka kama umetafuna msuba.
Hivi kwanini Germany kipindi cha Hitler iliwaua sana wayahudi!??
Unaweza ukanipa jibu!?
Germany si wana wa Ibilisi tu kama wewe 😀😀😀😀😀😀😀 unategemea nini sasa??
 
😂😂🙌🙌🙌Aiseee uwe na wakati mwema mwana-Israel wa Kinondoni.
Sipo kinondoni Sheikh, ila usisahau hii Yesu Kristo alikufa msalabani ili kila aaminiye awe na uzima wa milele. Mwamini Yesu Kristo leo nawe utakuwa salama salimini. Vinginevyo jiandae maana yule mpinga kristo ambaye wewe unamuita mahdi soon anakuja na hakika atawapeleka wengi sanaaaa kuzimu.
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Lebanon and Palestine share a complex and multifaceted relationship shaped by historical, political, and social factors. Here are some key points:

  1. Historical Ties: The Palestinian presence in Lebanon dates back to the 1948 Arab-Israeli War, when many Palestinians fled to Lebanon. Since then, Palestinian refugees have formed a significant part of Lebanon's population.
  2. Political Dynamics: The Palestinian Liberation Organization (PLO) had a strong presence in Lebanon during the 1970s, especially during the Lebanese Civil War. This led to a complicated relationship, as some Lebanese factions supported the Palestinian cause, while others opposed it, seeing Palestinian groups as a threat to Lebanon's sovereignty.
  3. Refugee Camps: Many Palestinians in Lebanon live in refugee camps that often face dire conditions. These camps are often sites of tension and conflict, both among Palestinians and between Palestinian refugees and the Lebanese state.
  4. Lebanon’s Political Landscape: The presence of Palestinians influences Lebanese politics. The Lebanese government is cautious about integrating Palestinian refugees fully due to concerns about altering the delicate sectarian balance in the country.
  5. Solidarity and Support: Many Lebanese people express solidarity with the Palestinian cause, reflecting shared Arab identity and opposition to Israeli policies. Cultural and social exchanges between the two communities also exist, despite the challenges.
  6. Recent Developments: Political changes in the region, including the normalization of relations between Israel and some Arab states, have also impacted perceptions and relationships between Lebanon and Palestine.
Overall, the relationship is characterized by a mix of solidarity and tension, deeply influenced by regional politics and historical events.
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Hezbollah yupo Lebanon kwa maslahi ya Iran na ni "first line of defence" au "defencive asset" endapo Iran itashambuliwa huku ikisaidiwa kwa silaha kama makombora, vifaa vya kuongozea makombora hayo na kuunda mfumo wake wa kijeshi.

Pili, Hezbollah wamesema kwamba wao waunga mkono harakati za Hamas huko Gaza. Mashariki ya kati kuna kundi kubwa laitwa Axis of Resistance ambalo mfadhili wake mkuu ni Iran kwa makusudio ya kulinda maslahi yake popote pale yalipo kwenye ghuba ya uajemi.

Hawa AR wana makao Iraq, Syria, Lebanon, Yemen na Gaza.

Lebanon hawana "Say" kwani wale washia ambao wametokea Iran ndo watawala kwa sasa kwa kuwa na nguvu kijeshi na kiserikali, hivyo Lebanon pamoja na kuwa na jeshi lake lakini hawana nguvu yoyote dhidi ya Hezbollah.

Waliingia hapo Lebanon mwishoni mwa miaka ya 1980s na wakawa wajiita "the voice of Shiat Community" yaani wasemaji wakuu wa washia, na hapo Iran akapata mwanya wa kuwapa misaada ambayo baadae misaada hiyo ilizaa mwelekeo wa kisiasa na baadae kijeshi.

Hivyo Hezbollah pale Lebanon wameshika nafasi nyingi bungeni, serikalini na kwenye baraza la mawaziri na kwa kutumia nguvu yao kubwa ya kijeshi wamekuwa ni kama watemi fulani hivi na wao ndo watengenezaji sera ya mambo ya nje ya Lebanon ambayo ni pamoja na kutanganza vita!

Israeli shida yao na Lebanon ni kwa sababu Lebanon imewaruhusu hawa Hezbollah kuwa na eneo lote la kusini ambalo kwa Israeli ni tishio kiusalama khasa katika mji wake wa Haifa.

Nimekupa madini machache kidogo kukupa mwanga.
 
Hezbollah yupo Lebanon kwa maslahi ya Iran na ni "first line of defence" au "defencive asset" endapo Iran itashambuliwa huku ikisaidiwa kwa silaha kama makombora, vifaa vya kuongozea makombora hayo na kuunda mfumo wake wa kijeshi.

Pili, Hezbollah wamesema kwamba wao waunga mkono harakati za Hamas huko Gaza. Mashariki ya kati kuna kundi kubwa laitwa Axis of Resistance ambalo mfadhili wake mkuu ni Iran kwa makusudio ya kulinda maslahi yake popote pale yalipo kwenye ghuba ya uajemi.

Hawa AR wana makao Iraq, Syria, Lebanon, Yemen na Gaza.

Lebanon hawana "Say" kwani wale washia ambao wametokea Iran ndo watawala kwa sasa kwa kuwa na nguvu kijeshi na kiserikali, hivyo Lebanon pamoja na kuwa na jeshi lake lakini hawana nguvu yoyote dhidi ya Hezbollah.

Waliingia hapo Lebanon mwishoni mwa miaka ya 1980s na wakawa wajiita "the voice of Shiat Community" yaani wasemaji wakuu wa washia, na hapo Iran akapata mwanya wa kuwapa misaada ambayo baadae misaada hiyo ilizaa mwelekeo wa kisiasa na baadae kijeshi.

Hivyo Hezbollah pale Lebanon wameshika nafasi nyingi bungeni, serikalini na kwenye baraza la mawaziri na kwa kutumia nguvu yao kubwa ya kijeshi wamekuwa ni kama watemi fulani hivi na wao ndo watengenezaji sera ya mambo ya nje ya Lebanon ambayo ni pamoja na kutanganza vita!

Israeli shida yao na Lebanon ni kwa sababu Lebanon imewaruhusu hawa Hezbollah kuwa na eneo lote la kusini ambalo kwa Israeli ni tishio kiusalama khasa katika mji wake wa Haifa.

Nimekupa madini machache kidogo kukupa mwanga.
Hizi nondo nimezielewa mtumish Asante sana
 
*Mzozo wa Lebanon na Israel ni wa muda tangia 1990s.

Na tambua ya kuwa uimara wa Israel na ushawishi wa Marekani mashariki ya kati ni saratani kwa waarabu.
Unadhani Israel akiichukua Gaza na kuihodhi Palestina yote Lebanon itabaki salama!?

Israel ishawahi kunyakua ardhi ya Lebanon kabla.

*Hizbollah ni kundi la kishia lenye mlengwa wa kisiasa hapo Lebanon likifadhiliwa na Iran.Na lina viti vya wabunge kwenye serikali ya Lebanon.
Wacha blah blah. Kabla ya ujio wa Dini ya kikuresh, hapo Lebanon palikuwa sehemu salama na walebanon hawana shida na Muisrael ila lile pepo linalojiita allah ndio linalofarakanisha watu kwa ajili ya ibada ya damu.

Walebanon hawana shida na Waisraeli.
 
Wacha blah blah. Kabla ya ujio wa Dini ya kikuresh, hapo Lebanon palikuwa sehemu salama na walebanon hawana shida na Muisrael ila lile pepo linalojiita allah ndio linalofarakanisha watu kwa ajili ya ibada ya damu.

Walebanon hawana shida na Waisraeli.
Huna unalolijua wewe bolizozo poyoyo.
Kabla ya ujio wa taifa la kizayuni sio tu Lebanon yani mashariki ya kati nzima ilikua na amani ila baada ya kuundwa taifa la kizayuni karibuni mataifa yote ya mashariki ya kati yaliguswa na wazayuni.

Kama huna unalolijua funga bakuli usiropoke.
 
Hakuna huo ushahidi silaha za Hizbollah nzito sio za kuficha chini ya watu acheni utani ninyi.
Silaha za Hizbollah zipo maeneo ya mpakani sio hapo.
Watuambie na walete mfano wa hizo silaha ambazo zinawekwa chini ya watu.
 
Watuambie na walete mfano wa hizo silaha ambazo zinawekwa chini ya watu.
Hawawezi kamwe mufti.
Hata Gaza si walishindwa wakaunda video za kuedit!?
Zilichunguzwa zikagundulika ni staged videos.
Dunia hii ya sayansi na teknolojia unamuongopea nani kaka!?
 
Back
Top Bottom