Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Hezbolla wame advance sana ki siraha na maarifa.
Ina maana Israeli yenyewe haija advance since 2006?

Halafu vita inategemea na lengo husika, hii ya sasa unaona Israeli hasikii lolote kwa vile hao wapatanishi hawakabiliwi na hatari anayokabiana nayo. Kuhusu US, UK na Germany wataioiga mkwara tu ili kuilidhisha jamii ya kimataifa, but kiuhalisia wanampa Go ahead na siraha, fedha wanampa unconditionally.
Ndio maana nilisema mabwana wakubwa wanam favor sana huyu jamaa.
Ndio maana nikasema kama ingetokea wameachwa mtu bee aisee nyani angetema bungo muda sana.
It's true Israel ime advance tena sana tuu.
Ila Hizbollah ya 2006 si sawa na ya sasa.
 
Wanamgambo wanaiishi mji wa peke yao? Hawachamgamani na raia?
Hao waliopigwa leo waliambia waondoke kwa kuwa hezbollah wanaficha siraha kwenye makazi ya raia. Na hii ni strategic wanayotumia middle east kufanya raia ngao yao.
Mkuu haya madai ya Israel ni uongo.
Na mwaka huu ICJ yalimuumbua alipodai kuwa Hamas inatumia hospitali kuficha silaha.
Video alizowasilisha zilikua za kuundwa na zote zilichambuliwa zinaonekana fake videos.
Aisee huwezi ficha makombora chini ya makazi ya watu huu uongo.
Hizbollah ila kambi yao milima ya mpakani na Israel. Na ndiko mashambulizi wanayatekeleza huko.
Askari wa hizbollah ni raia wa Lebanon hivyo kuchangamana na raia kama raia wa kawaida sio vibaya.
Kwani wanajeshi JWTZ huwa hawabadili nguo na kupumzika na familia zao!??
 
Mkuu haya madai ya Israel ni uongo.
Na mwaka huu ICJ yalimuumbua alipodai kuwa Hamas inatumia hospitali kuficha silaha.
Video alizowasilisha zilikua za kuundwa na zote zilichambuliwa zinaonekana fake videos.
Aisee huwezi ficha makombora chini ya makazi ya watu huu uongo.
Hizbollah ila kambi yao milima ya mpakani na Israel. Na ndiko mashambulizi wanayatekeleza huko.
Askari wa hizbollah ni raia wa Lebanon hivyo kuchangamana na raia kama raia wa kawaida sio vibaya.
Kwani wanajeshi JWTZ huwa hawabadili nguo na kupumzika na familia zao!??
PM Benjamin Netanyahu clearly delivers a message to the Lebanon people.

“Israel’s war is not with you, it’s with Hezbollah. For too long, Hezbollah has been using you as a human shields. It placed rockets in your living rooms and missiles in your garage.

Those rockets and missiles are aimed directly at our cities, directly at our citizens. To defend our people against Hezbollah’s strikes, we must take out these weapons.

Starting this morning, the IDF has warned you to get out of harm’s way. I urge you take this warning seriously. Don’t let Hezbollah endanger your lives and the life your loved ones. Don’t let Hezbollah endanger Lebanon, please get out of harm’s way now.

Once our operation is finished, you can come back safely to your homes.” — PM Benjamin Netanyahu.
 
Kwa kinachoendelea Lebanon Israel ina haki ya kushambulia, muda mrefu Hezibolah amekuwa akimchokoza Israel
Nma aliwaonnya
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Paying two when given one, hulipa mara Mbili ya wanachofanyiwa, ukiwafanyia wema wanalipa mara mbili yake na ubaya vivyo hivyo. Ukiua muisrael mmoja kesho kijiji kizima kinalipa
 
Sio hizbollah hawajaua hata mmoja leo hao ni raia, leo bado hatujatangaziwa kifo cha hizbo wao hawafichi watatoa taarifa usiwe na haraka, N.B majina ya askari wahizbo ya halisi ni tofauti na wanayo tumia wakiwa front yaani kambini kwahio wana dabo names
Hao raia walikua wanatafuta nini katikati ya magaidi?!
 
Mabikra peponi wamebaki wachache nasikia
Ndio maana wanatafuta tiketi ya haraka iwezekanavyo
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Lebanon, ilikuwa majority Christian country, kwa figisu za shia Muslim fundamentalist wa Iran, wakalianzisha na kutengeneza Hezbollah, ili ipambane na Israel,
Lebanon ilikuwa France of middle East, walipoingia wavaa kubaz na don't touch my shoes, wakaharibu kila kitu, Hezbollah iliibuka ili kupambana na wanamgambo wa kikristo waliokuwa wanaungwa mkono na Israel, America, Ulaya,
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Makobazi akili zao wazijua wenyewe.
 
Usiseme Hizbollah sema raia wa Lebanon.
Msipotoshe habari,kama hamjui kheri mnyamaze.

Bila Hezbollah zamani tu Lebanon ingekua chini ya Israel, na Lebanon mostly ni Serikali ya Kikristo. Huu ugomvi upo maelfu ya miaka, kifupi wakristo wa hayo maeneo huwa haziendi na west
Hezbollah ndio wameharibu lebanon na kugeuza kuwa uwanja wa mapambano. Kifupi lebanon ni failed state
 
Hezbollah ndio wameharibu lebanon na kugeuza kuwa uwanja wa mapambano. Kifupi lebanon ni failed state
No kabla ya Hezbollah hapo Lebanon ilikuwa ni Israel play Ground. baada ya Hezbollah kuja wakapa respectisha mpaka sasa unaona IDF wanawagwaya. "Nchi zote za middle East Wakristo wanafurushwa na West kasoro tu lebanon ambapo wabaongezeka thanks to hao Hezbollah" - maneno ya Raisi wa zamani wa Lebanon.
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Vita ni biashara, wakubwa wanapewa pesa, maskini kwa mgongo wa dini wanapelekwa vitani na wanapigana kwa moyo kweli kweli wanakufa bure..
Dunia hii wenye akili wanaifaidi sanaa
 
Huelewi mambo mengi kuhusu mifumo ya ulinzi wa anga inavyofanya kazi.

Hezbollah wakitaka kupiga sehemu za raia wanapiga.

Iron dome battery moja ina launchers 3 hadi 4 kila launcher ina interceptors 20, ina maana kama kama zote zina missiles na launchers ni 4 hapo ni interceptors 80.

Interceptors 80 tufanye zote zinaweza kuzuia missiles kwa usahihi japo si kweli, Hezbollah wanaweza kurusha Katyusha missiles hata 1000 kwenye eneo moja tu.
Unaelewa gharama ya missile moja ya interceptor ya iron dome? Ni usd 60,000 au zaidi..hapo hio missile moja ni sawa na Tshs 163 milioni piga mara 80...ni zaidi ya bilioni 13 Tshs.

Katysha missile moja gharama ni around $ 300 tu, Hezbollah wana Katyusha missile ambazo hazihesabiki, na hizi kwa hizi siku huwa wanazitumia ku confuse iron dome kabla ya kurusha missile zao zenye uwezo kupiga target wanazotaka.

Katusha zikirushwa 1000 Iron dome katika hilo eneo itakaukiwa interceptors kwa kutaka kuzuia kila missile, hapo ndipo zinatumwa missiles za ki stratejia kama fajr 3 au fajr 5 na kuangamiza makazi ya watu n.k


Licha ya hivyo iron dome imeshaonyesha mapungufu kwa kushindwa kuzuia baadhi ya miisiles za Iran na Hezbollah.

Hapo nimeeleza kwa ninavyofahamu mimi mvaa kobazi kutoka Kibondo, lakini ukweli Hezbollah wanaweza kushambulia makazi ya raia kwa wepesi zaidi na wanaweza pia kushambulia hizo iron dome kwa usahihi kwa mbinu zao na uelewa wao kuhusu air defense.

Kwenye vita na jeshi kama Hezbollah halafu unaanza kuleta story za air defense inaonyesha hujui chochote...
We hujiulizi kwa nn Wana huo uwezo wa kushambulia makaz ya watu ila hawathubutu kurusha kombora?wanajia majibu yake ni Nini kutafuta...Sasa we wa kazulamimba ndo unajiona msemaji wa magaidi wa hezbo kwa ngonjera zako za kujifariji
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Usituulize sisi kwa ujumla hatujui wewe wataje kwa majina magaidi uchwara wa humu( webabufaiza foxy,rits na wengine) wakupe majibu. Mimi nachojua ni ishu ya wale dada zao bikira 72 ndo inawasumbua. Ukumbuke mfadhili wa vikundi vyote vyenye mlengo wa bikira 72 ni nchi kubwa la magaidi inayoitwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
 
Back
Top Bottom