Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Attachments

  • FB_IMG_1727106260795.jpg
    FB_IMG_1727106260795.jpg
    36.6 KB · Views: 2
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Bila Hezbollah zamani tu Lebanon ingekua chini ya Israel, na Lebanon mostly ni Serikali ya Kikristo. Huu ugomvi upo maelfu ya miaka, kifupi wakristo wa hayo maeneo huwa haziendi na west
 
Hezbollah pia wana uwezo kushambulia makazi ya watu, wana uwezo kupiga sehemu yeyote Israel kwenye makazi na kuua hata raia 3000, lakini huo ni unyama na ni ujinga kudhani Israel anavyoua raia kwamba ndio ushindi.
Acha unafiki hezbollah wanashambulia raia sema israel imewekeza kwenye kulinda raia wake kama mifumo ya ulinzi na shelters na inawahamisha raia sehemu hatarishi tofauti na nyie kobazi mnawatumia raia kama ngao na kutafuta huruma za dunia
 
Acha unafiki hezbollah wanashambulia raia sema israel imewekeza kwenye kulinda raia wake kama mifumo ya ulinzi na shelters na inawahamisha raia sehemu hatarishi tofauti na nyie kobazi mnawatumia raia kama ngao na kutafuta huruma za dunia
Huelewi mambo mengi kuhusu mifumo ya ulinzi wa anga inavyofanya kazi.

Hezbollah wakitaka kupiga sehemu za raia wanapiga.

Iron dome battery moja ina launchers 3 hadi 4 kila launcher ina interceptors 20, ina maana kama kama zote zina missiles na launchers ni 4 hapo ni interceptors 80.

Interceptors 80 tufanye zote zinaweza kuzuia missiles kwa usahihi japo si kweli, Hezbollah wanaweza kurusha Katyusha missiles hata 1000 kwenye eneo moja tu.
Unaelewa gharama ya missile moja ya interceptor ya iron dome? Ni usd 60,000 au zaidi..hapo hio missile moja ni sawa na Tshs 163 milioni piga mara 80...ni zaidi ya bilioni 13 Tshs.

Katysha missile moja gharama ni around $ 300 tu, Hezbollah wana Katyusha missile ambazo hazihesabiki, na hizi kwa hizi siku huwa wanazitumia ku confuse iron dome kabla ya kurusha missile zao zenye uwezo kupiga target wanazotaka.

Katusha zikirushwa 1000 Iron dome katika hilo eneo itakaukiwa interceptors kwa kutaka kuzuia kila missile, hapo ndipo zinatumwa missiles za ki stratejia kama fajr 3 au fajr 5 na kuangamiza makazi ya watu n.k


Licha ya hivyo iron dome imeshaonyesha mapungufu kwa kushindwa kuzuia baadhi ya miisiles za Iran na Hezbollah.

Hapo nimeeleza kwa ninavyofahamu mimi mvaa kobazi kutoka Kibondo, lakini ukweli Hezbollah wanaweza kushambulia makazi ya raia kwa wepesi zaidi na wanaweza pia kushambulia hizo iron dome kwa usahihi kwa mbinu zao na uelewa wao kuhusu air defense.

Kwenye vita na jeshi kama Hezbollah halafu unaanza kuleta story za air defense inaonyesha hujui chochote...
 
Raia wanaowalinda magaidi nao ni magaidi pia
Una ushahidi wanawalinda?
Unajua maana ya ugaidi!?
Nenda kasome halafu utajua baina ya Hizbollah na Israel nani gaidi.
Unaita watu wanaotetea sovereignty yao magaidi??
 
Huelewi mambo mengi kuhusu mifumo ya ulinzi wa anga inavyofanya kazi.

Hezbollah wakitaka kupiga sehemu za raia wanapiga.

Iron dome battery moja ina launchers 3 hadi 4 kila launcher ina interceptors 20, ina maana kama kama zote zina missiles na launchers ni 4 hapo ni interceptors 80.

Interceptors 80 tufanye zote zinaweza kuzuia missiles kwa usahihi japo si kweli, Hezbollah wanaweza kurusha Katyusha missiles hata 1000 kwenye eneo moja tu.
Unaelewa gharama ya missile moja ya interceptor ya iron dome? Ni usd 60,000 au zaidi..hapo hio missile moja ni sawa na Tshs 163 milioni piga mara 80...ni zaidi ya bilioni 13 Tshs.

Katysha missile moja gharama ni around $ 300 tu, Hezbollah wana Katyusha missile ambazo hazihesabiki, na hizi kwa hizi siku huwa wanazitumia ku confuse iron dome kabla ya kurusha missile zao zenye uwezo kupiga target wanazotaka.

Katusha zikirushwa 1000 Iron dome katika hilo eneo itakaukiwa interceptors kwa kutaka kuzuia kila missile, hapo ndipo zinatumwa missiles za ki stratejia kama fajr 3 au fajr 5 na kuangamiza makazi ya watu n.k


Licha ya hivyo iron dome imeshaonyesha mapungufu kwa kushindwa kuzuia baadhi ya miisiles za Iran na Hezbollah.

Hapo nimeeleza kwa ninavyofahamu mimi mvaa kobazi kutoka Kibondo, lakini ukweli Hezbollah wanaweza kushambulia makazi ya raia kwa wepesi zaidi na wanaweza pia kushambulia hizo iron dome kwa usahihi kwa mbinu zao na uelewa wao kuhusu air defense.

Kwenye vita na jeshi kama Hezbollah halafu unaanza kuleta story za air defense inaonyesha hujui chochote...
Mkuu ulivyoeleza kama upo Beirut duuh!
🙌🙌🙌
 
Tuliwaambia mapema sana kwamba soon mtakuja humu kulalama eti Wanawake na Watoto wanauliwa!!

Puumbavu
Unaropoka nini mwanahizaya wewe!?
Wewe huoni amelenga raia??
Kwanini asingelenga kambi za Hibzollah zilizopo mpakani!??
JF inapoteza ladha kujazana kwa mashudu na mazezeta kama wewe.
Apige kambi ya hizbollah kama hizbollah alivyopiga kambi zake jana.
KAma yeye mwanaume kweli anajiweza alenge wapiganaji sio kuua raia.
 
Mkuu ulivyoeleza kama upo Beirut duuh!
🙌🙌🙌
Hawa ni wajinga, hawana hoja za msingi kazi ni kusema kobazi, kobazi...

Ni weupe sana, ningefurahi sana mtu anakuja na hoja za msingi tunateremsha madini hapa...

Nikisema kuelezea migogoro ya mashariki ya kati naweza kukesha hapa... Lakini hao watu wako wpi sasa?
 
Hawa ni wajinga, hawana hoja za msingi kazi ni kusema kobazi, kobazi...

Ni weupe sana, ningefurahi sana mtu anakuja na hoja za msingi tunateremsha madini hapa...

Nikisema kuelezea migogoro ya mashariki ya kati naweza kukesha hapa... Lakini hao watu wako wpi sasa?
Mkuu nikunyooshee tu mikono🙌🙌🙌🙌.
Shida jukwaa limejaa ushabiki badala ya hoja.
Mtu akija anaropoka tu kulingana na ushabiki.
Ila ukimuuliza hoja za msingi hakuna atakalokupa.
Mfano kama huyo anakwambia hizbollah wanashindwa kushambulia raia,sasa ukimuuliza kama Hizbollah waliweza kulipua kambi ya jeshi ya Galilaya ikiwa na mifumo ya iron dome je watashindwaje kulipua raia??
Hoja hana atakuita kobaz.
 
Sio hizbollah hawajaua hata mmoja leo hao ni raia, leo bado hatujatangaziwa kifo cha hizbo wao hawafichi watatoa taarifa usiwe na haraka, N.B majina ya askari wahizbo ya halisi ni tofauti na wanayo tumia wakiwa front yaani kambini kwahio wana dabo names
We check ht BBC basi kabla hujapinga kitu
Angalia habari kutoka vyanzo tofauti
 
Israel akiendelea kupiga sehemu za raia, Hezbollah pia ana makombora kupiga sehemu yeyote ile Israel, tukiacha ushabiki nadhani Israel haiwezi kukabiliana na Hezbollah.
Unachosema kingekuwa kweli Israel isingekwepo hapo mashariki ya kati. Maana ndoto ya makundi yote hayo ni kuhakikisha Israel inafutika kwenye uso wa dunia.
 
Mkuu nikunyooshee tu mikono🙌🙌🙌🙌.
Shida jukwaa limejaa ushabiki badala ya hoja.
Mtu akija anaropoka tu kulingana na ushabiki.
Ila ukimuuliza hoja za msingi hakuna atakalokupa.
Mfano kama huyo anakwambia hizbollah wanashindwa kushambulia raia,sasa ukimuuliza kama Hizbollah waliweza kulipua kambi ya jeshi ya Galilaya ikiwa na mifumo ya iron dome je watashindwaje kulipua raia??
Hoja hana atakuita kobaz.
Kupiga raia hata M23 wakipelekwa mpakani pale Lebanon na rockets zao za kienyeji wanaweza kupiga makazi ya raia na kuua wengi.

Kama Iran iliweza kurusha drones na missiles mamia ya miles hadi Israel na kupiga kambi za jeshi, Je? Hezbollah itashindwa kupiga raia hapo karibu hivyo? Hali ya kuwa missiles na drones na training wanapewa na Iran.

Hezbollah ikiua raia 100 wa Israel utasikia Israle itakavyopiga kelele UN kwa kuwaita Hezbollah ni magaidi.
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Hezbollah ni kikundi cha wanamgambo ambacho hakiitambui serikali ya Lebanon.
Kikundi hiki kina nguvu za kijeshi pengine hata kushinda jeshi la serikali ya Lebanon.
Mwaka 2006 kikundi hiki kiliwapeleka mchakamchaka Israel zaidi ya miezi 6 mpaka Israel wakakubali kutii masherti ya Hezbollah ya kabadilishana wafungwa, ndipo vita vikaisha.
 
Unachosema kingekuwa kweli Israel isingekwepo hapo mashariki ya kati. Maana ndoto ya makundi yote hayo ni kuhakikisha Israel inafutika kwenye uso wa dunia.
Si kweli, we unaamini kipi?
1-Hezbollah haina uwezo kushambulia makazi ya raia wa Israel kwa sababu Israel ina uwezo kuzuia mashambulizi yeyote kutoka Hezbollah?

2-Hezbollah inaweza kushambulia lakini inaogopa majibu kutoka Israel yatakua makali na ya kutisha.

3-Hezbollah haina twchnology na uwezo kushambulia makazi ya raia wa Israel

Au labda una majibu yako binafsi nje ya hayo matatu hapo juu?
 
Back
Top Bottom