Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Sehemu iliyoshambuliwa ni ya raia sio maghala ya silaha ya Hizbollah.
Hizbollah silaha zao huzificha chini ya tunnels.
Ndio huko huko mnakofichaga silaha kwenye makaz ya watu kwan nan hajui..si gaza mlikua mnaficha mpaka chini ya mahospitali na kwenye shule za watoto
 
Nimeangalia kwenye mtandao x wa mossad daah!! Israel anashambulia kwa nguvu kubwa maghala ya silaha ya hezbollah na maeneo mbalimbali yaani ni moto wa kutisha kiukweli lebanon itageuka kama gaza
kuripuka kwa zile pager na walkie-talkie ilikiwa ni kuwapelekea ujumbe kwamba wameshakusanya taarifa za kutosha kupitia viifaa hivyo
 
Ndio huko huko mnakofichaga silaha kwenye makaz ya watu kwan nan hajui..si gaza mlikua mnaficha mpaka chini ya mahospitali na kwenye shule za watoto
Kama hujui kitu kaa kimya.
Hayo mahandaki yapo mpakani na Israel katika milima ambako hakuna makazi ya watu.
Kuhusu Gaza Israel alipeleka video ICJ ikakaguliwa na kugundulika ni staged videos.
Ndio chanzo cha wazungu wengine kumgeuka kina Spain,Belgium na wengine.
Hamjui mnaropoka tu.
 
Sio hizbollah hawajaua hata mmoja leo hao ni raia, leo bado hatujatangaziwa kifo cha hizbo wao hawafichi watatoa taarifa usiwe na haraka, N.B majina ya askari wahizbo ya halisi ni tofauti na wanayo tumia wakiwa front yaani kambini kwahio wana dabo names
Sasa hapa umeandika nini?
 
Waislamu wana matatizo ya akili
Hilo katikati ni sanamu la bikira maria, fafanua kauli yako kuhusu matatizo ya akili ya waislam
 

Attachments

  • FB_IMG_1727106260795.jpg
    FB_IMG_1727106260795.jpg
    36.6 KB · Views: 4
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
72 virgins.
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani

Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani

Mbona wanawaumiza walebanon

Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi

Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa

LONDON BOY
Kwa maslahi ya iran
 
Kipigo kikianza Hezbollah hawatomsikiliza Biden.
Israel silaha anayotumia ni kushambulia makazi ya raia kuishinikiza Hezbollah aache kuanzisha vita kwa uoga wa kuogopa kushambuliwa.
Hizbullah watafute dawa ya hizo ndege, ndiyo silaha pekee anayotegemea israel
 
Usiseme Hizbollah sema raia wa Lebanon.
Msipotoshe habari,kama hamjui kheri mnyamaze.
Mkuu na wewe umekuwa Aljazeera wa Hezbollah.. maana Gaza Hamas wakifa wanageuka raia wema wakiwa maiti... hahaha hadi leo Aljzeera hawajawahi ona Hamas wakifa.... Sasa na Lebanon kwani nao wameenza kujiita Raia? kumbuka Lebanon ni Chriatian Country na asili yao sio waarabu.. Arab ni wavamizi hadi wameguza jina wanajiita Arab country Lebanon wakati sio... Christian wamekasirika how come Hezbollah wanaanzisha state ndani ya state and wanajiamulia kuanzisha Vita tu wenyewe.. and wana jeshi kubwa na silah kuliko Jeshi la serikali.. viti vya ubunge wamechukua kibabe.. Kumbuka Chadema walitaka kuanzisha jeshi lao wakapingwa na kila mtu Red guard ndio matokeo ya Hezbollah kukua na jeshi lao kukua..

Majuzi Iran wamesema wanaiwakilisha Lebanon UN wakati lebaon wana muwakilishi wao ni dharau kubwa inaonesha Irani ndio inataka iwe jimbo lake it matter of time tu watawafurusha christian na Sunni lebanon yote.. kwani washawaambia kuwa Christian wamebaki wachache kama vipi waanze kuondoka wakati muda upo maana watakuja kosa hata boti kwani njia itabakia baharini tu.. see mashetani hayo yanavyopanga mioyoni mwao..

Thanks to Isrel watawasaidia..

Lebanon wengi wanahitaji uhusiano na Israel
 
Kama hujui kitu kaa kimya.
Hayo mahandaki yapo mpakani na Israel katika milima ambako hakuna makazi ya watu.
Kuhusu Gaza Israel alipeleka video ICJ ikakaguliwa na kugundulika ni staged videos.
Ndio chanzo cha wazungu wengine kumgeuka kina Spain,Belgium na wengine.
Hamjui mnaropoka tu.
Utetezi wa kipuuzi hizi akili za kobazi zimejaa ubishi na ulalamishi
 
Kipigo kikianza Hezbollah hawatomsikiliza Biden.
Israel silaha anayotumia ni kushambulia makazi ya raia kuishinikiza Hezbollah aache kuanzisha vita kwa uoga wa kuogopa kushambuliwa.
Kobazi mnajitahidi kuandika raia wanashambuliwa ili kuonyesha israel hawawashambuli hezbollah wako vizuri yaani raia wamekuwa kichaka chenu ya kulia na kutafuta visingizio vya kushindwa vita
 
Back
Top Bottom