and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Mara ya mwisho 2006 Israel alidundwa, ngoja tuone hivi sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel akiendelea kupiga sehemu za raia, Hezbollah pia ana makombora kupiga sehemu yeyote ile Israel, tukiacha ushabiki nadhani Israel haiwezi kukabiliana na Hezbollah.Eneo lililolopuliwa sio eneo la kambi ya Hizbollah.
Tushawazoea Israel wakishindwa mapigano wanahamisha hasira kwa raia.
Ndio huko huko mnakofichaga silaha kwenye makaz ya watu kwan nan hajui..si gaza mlikua mnaficha mpaka chini ya mahospitali na kwenye shule za watotoSehemu iliyoshambuliwa ni ya raia sio maghala ya silaha ya Hizbollah.
Hizbollah silaha zao huzificha chini ya tunnels.
kuripuka kwa zile pager na walkie-talkie ilikiwa ni kuwapelekea ujumbe kwamba wameshakusanya taarifa za kutosha kupitia viifaa hivyoNimeangalia kwenye mtandao x wa mossad daah!! Israel anashambulia kwa nguvu kubwa maghala ya silaha ya hezbollah na maeneo mbalimbali yaani ni moto wa kutisha kiukweli lebanon itageuka kama gaza
Kama hujui kitu kaa kimya.Ndio huko huko mnakofichaga silaha kwenye makaz ya watu kwan nan hajui..si gaza mlikua mnaficha mpaka chini ya mahospitali na kwenye shule za watoto
Sasa hapa umeandika nini?Sio hizbollah hawajaua hata mmoja leo hao ni raia, leo bado hatujatangaziwa kifo cha hizbo wao hawafichi watatoa taarifa usiwe na haraka, N.B majina ya askari wahizbo ya halisi ni tofauti na wanayo tumia wakiwa front yaani kambini kwahio wana dabo names
Hilo katikati ni sanamu la bikira maria, fafanua kauli yako kuhusu matatizo ya akili ya waislamWaislamu wana matatizo ya akili
Anajua biden yupo,atamteteaIsrael akiendelea kupiga sehemu za raia, Hezbollah pia ana makombora kupiga sehemu yeyote ile Israel, tukiacha ushabiki nadhani Israel haiwezi kukabiliana na Hezbollah.
Israel ikiondoka amani itatawala mashariki ya KatiHezbola wanapigana kwa maslahi ya Ayatolah, na siku Utawala wa Ayatolah utakapo ondolewa Amani itatejea katika hilo eneo.
72 virgins.Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani
Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani
Mbona wanawaumiza walebanon
Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi
Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa
LONDON BOY
Kwa maslahi ya iranAmani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani
Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani
Mbona wanawaumiza walebanon
Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi
Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa
LONDON BOY
Kipigo kikianza Hezbollah hawatomsikiliza Biden.Anajua biden yupo,atamtetea
Hizbullah watafute dawa ya hizo ndege, ndiyo silaha pekee anayotegemea israelKipigo kikianza Hezbollah hawatomsikiliza Biden.
Israel silaha anayotumia ni kushambulia makazi ya raia kuishinikiza Hezbollah aache kuanzisha vita kwa uoga wa kuogopa kushambuliwa.
Mkuu na wewe umekuwa Aljazeera wa Hezbollah.. maana Gaza Hamas wakifa wanageuka raia wema wakiwa maiti... hahaha hadi leo Aljzeera hawajawahi ona Hamas wakifa.... Sasa na Lebanon kwani nao wameenza kujiita Raia? kumbuka Lebanon ni Chriatian Country na asili yao sio waarabu.. Arab ni wavamizi hadi wameguza jina wanajiita Arab country Lebanon wakati sio... Christian wamekasirika how come Hezbollah wanaanzisha state ndani ya state and wanajiamulia kuanzisha Vita tu wenyewe.. and wana jeshi kubwa na silah kuliko Jeshi la serikali.. viti vya ubunge wamechukua kibabe.. Kumbuka Chadema walitaka kuanzisha jeshi lao wakapingwa na kila mtu Red guard ndio matokeo ya Hezbollah kukua na jeshi lao kukua..Usiseme Hizbollah sema raia wa Lebanon.
Msipotoshe habari,kama hamjui kheri mnyamaze.
Kumbuka hili ni jukwaa la mambo ya kimataifa hivyo mtoa mada ana Hali ya kutaka kujua...ishu ya matundu ya vyoo zipo Huko kwenye jukwaa la siasa huku waache watu wajadili ishu za njeMAMBO YAO WAACHIE WENYEWE, PAMBANA NA MATUNDU YA VYOO HUKO MADIBIRA
Utetezi wa kipuuzi hizi akili za kobazi zimejaa ubishi na ulalamishiKama hujui kitu kaa kimya.
Hayo mahandaki yapo mpakani na Israel katika milima ambako hakuna makazi ya watu.
Kuhusu Gaza Israel alipeleka video ICJ ikakaguliwa na kugundulika ni staged videos.
Ndio chanzo cha wazungu wengine kumgeuka kina Spain,Belgium na wengine.
Hamjui mnaropoka tu.
Kobazi mnajitahidi kuandika raia wanashambuliwa ili kuonyesha israel hawawashambuli hezbollah wako vizuri yaani raia wamekuwa kichaka chenu ya kulia na kutafuta visingizio vya kushindwa vitaKipigo kikianza Hezbollah hawatomsikiliza Biden.
Israel silaha anayotumia ni kushambulia makazi ya raia kuishinikiza Hezbollah aache kuanzisha vita kwa uoga wa kuogopa kushambuliwa.