imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Israel ndio kwao hapo unataka waende wapi?!Israel ikiondoka amani itatawala mashariki ya Kati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel ndio kwao hapo unataka waende wapi?!Israel ikiondoka amani itatawala mashariki ya Kati
Halafu kobazi hatutaki vilio vyenu vya kinafiki kuwataja taja watoto na wanawake kama kichaka cha kutafuta huruma ya dunia ili hali israel ilishatuma meseji raia waondoke maeneo ya hezbollah na silaha zaoKipigo kikianza Hezbollah hawatomsikiliza Biden.
Israel silaha anayotumia ni kushambulia makazi ya raia kuishinikiza Hezbollah aache kuanzisha vita kwa uoga wa kuogopa kushambuliwa.
Hujui kitu kaa kimya.Utetezi wa kipuuzi hizi akili za kobazi zimejaa ubishi na ulalamishi
Netanyahu ni mpoland,jina lake halisi ni Benjamin benzion mileikowsky, babaake alijipa jina la netanyahu baada ya kuhamia palestine, waisrael wengi wanajua walikotoka, wengine walipima DNA na wakajikuta hawana DNA za hapo,yakifika kooni watarudi walikotokaIsrael ndio kwao hapo unataka waende wapi?!
Anasaidia waislam wenziwe wa PalestinaAmani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani
Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani
Mbona wanawaumiza walebanon
Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi
Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa
LONDON BOY
Benzion NetanyahuIsrael ndio kwao hapo unataka waende wapi?!
Walokole bana eti anawaonea huruma Lebanon😀😀Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani
Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani
Mbona wanawaumiza walebanon
Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi
Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa
LONDON BOY
Hujui lolote kuhusiana na kinachoendelea.Kobazi mnajitahidi kuandika raia wanashambuliwa ili kuonyesha israel hawawashambuli hezbollah wako vizuri yaani raia wamekuwa kichaka chenu ya kulia na kutafuta visingizio vya kushindwa vita
Wanaweza kuwa converts kweni dna ya waisilamu ni ipi?Netanyahu ni mpoland,jina lake halisi ni Benjamin benzion mileikowsky, babaake alijipa jina la netanyahu baada ya kuhamia palestine, waisrael wengi wanajua walikotoka, wengine walipima DNA na wakajikuta hawana DNA za hapo,yakifika kooni watarudi walikotoka
Hezbollah pia wana uwezo kushambulia makazi ya watu, wana uwezo kupiga sehemu yeyote Israel kwenye makazi na kuua hata raia 3000, lakini huo ni unyama na ni ujinga kudhani Israel anavyoua raia kwamba ndio ushindi.Halafu kobazi hatutaki vilio vyenu vya kinafiki kuwataja taja watoto na wanawake kama kichaka cha kutafuta huruma ya dunia ili hali israel ilishatuma meseji raia waondoke maeneo ya hezbollah na silaha zao
Hizbullah iliundwa kwa lengo la kuiondoa Israel kwenye ardhi ya Lebanon ambayo iliteka miaka ya 1980 baada ya kuona jeshi la Lebanon limeshindwa, kwa kiasi fulani walifanikiwa kwenye vita ya mwaka 2006 japo sio sana.Kwahiyo wanapambania nchi yao?
Tuliwaambia mapema sana kwamba soon mtakuja humu kulalama eti Wanawake na Watoto wanauliwa!!Eneo lililolopuliwa sio eneo la kambi ya Hizbollah.
Tushawazoea Israel wakishindwa mapigano wanahamisha hasira kwa raia.
Ona Kobaz jingine hili hapa. Hii dini inawaroga akiliIsrael akiendelea kupiga sehemu za raia, Hezbollah pia ana makombora kupiga sehemu yeyote ile Israel, tukiacha ushabiki nadhani Israel haiwezi kukabiliana na Hezbollah.
Waislam wanna kwao tofauti tofauti,mimi nipo ikwiriri,mbs yupo saudia, ice cube marekaniWanaweza kuwa converts kweni dna ya waisilamu ni ipi?
Mkuu umejuaje mie ni kobazi?Ona Kobaz jingine hili hapa. Hii dini inawaroga akili
Asante sana sasa huon kwamba leo inaleta mateso kwa watuHizbullah iliundwa kwa lengo la kuiondoa Israel kwenye ardhi ya Lebanon ambayo iliteka miaka ya 1980 baada ya kuona jeshi la Lebanon limeshindwa, kwa kiasi fulani walifanikiwa kwenye vita ya mwaka 2006 japo sio sana.