Hawa jamaa hawatumii akili. Kwanza silaha zikiwekwa kwenye makazi ya watu zikilipuliwa mlipuko wake unakuwa mkubwa sana kitu ambacho hakionekani kwa mashambulizi wanayoyafanya Israel.Hawawezi kamwe mufti.
Hata Gaza si walishindwa wakaunda video za kuedit!?
Zilichunguzwa zikagundulika ni staged videos.
Dunia hii ya sayansi na teknolojia unamuongopea nani kaka!?
Ndicho nachoshangaa mimi.Hawa jamaa hawatumii akili. Kwanza silaha zikiwekwa kwenye makazi ya watu zikilipuliwa mlipuko wake unakuwa mkubwa sana kitu ambacho hakionekani kwa mashambulizi wanayoyafanya Israel.
US na West wenzake ni walaghai na Hizbullah wanalifahamu hilo!Naona Israel na washirika wenzako (US and allies) wametoa wazo la ceasefire.
Ile habari ya jana ni kweli wameshaanza kuomba ceasefire kuanzia Lebanon pia wapate muda wa kujadili ceasefire of Gaza.
Ila Hizbollah na Iran wanaonekana hawana habari sana na hizo habari za ceasefire.
Ila haya yote yanayoendelea bado tu Israel inamlaumu Iran aisee!!
Hammaz View attachment 3107042View attachment 3107043View attachment 3107044View attachment 3107045
Waarabu wa buza bana. Yaani wapiganaji wa kiarabu huwa hawafi cha ajabu hawashindi vitaSio hizbollah hawajaua hata mmoja leo hao ni raia, leo bado hatujatangaziwa kifo cha hizbo wao hawafichi watatoa taarifa usiwe na haraka, N.B majina ya askari wahizbo ya halisi ni tofauti na wanayo tumia wakiwa front yaani kambini kwahio wana dabo names
Umeona hapo balozi wa Iran UN alivyomjibu balozi wa Israel UN!?US na West wenzake ni walaghai na Hizbullah wanalifahamu hilo!
Wanaomba cease-fire kumbe wanampa Israel muda wa kujipanga na kumpatia silaha zaidi. Hizbullah wamejifunza na hawawatilii maanani. Na kama wakituma mjumbe Lebanon hawatazungumza naye kama miezi kadhaa ya nyuma walivyofanya.
Na unaona mpaka cease-fire inaombwa ujue Israel ipo taabani.
Hawa dawa yao unawanyeshelezea mvua za makombora siku 3 mfululizo na hii ndiyo lugha wanayoielewa. Wametupiwa makombora siku 2 mfululizo wameanza kupiga mayowe kwa wakubwa zao.Umeona hapo balozi wa Iran UN alivyomjibu balozi wa Israel UN!?
Yani liwalo na liwe Iran haiwezi kuiacha Lebanon kivyovyote.
Israel ina askari zaidi ya elfu 70 walemavu wa kudumu.
Hilo ni pigo kubwa kwa jeshi.
Useme uendekeze vita na wapiganaji wenye kikosi cha watu zaidi ya laki moja ni kipengele.
Hezbollah ni kama CCM hapa Tanzania. Ni CCM ya huko inauwa watu inateka na kubambikia kesiAmani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani
Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani
Mbona wanawaumiza walebanon
Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi
Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa
LONDON BOY
Hujajibu swali la mtoa mada.Wanapigania nini na Kwa maslahi ya nani?*Mzozo wa Lebanon na Israel ni wa muda tangia 1990s.
Na tambua ya kuwa uimara wa Israel na ushawishi wa Marekani mashariki ya kati ni saratani kwa waarabu.
Unadhani Israel akiichukua Gaza na kuihodhi Palestina yote Lebanon itabaki salama!?
Israel ishawahi kunyakua ardhi ya Lebanon kabla.
*Hizbollah ni kundi la kishia lenye mlengwa wa kisiasa hapo Lebanon likifadhiliwa na Iran.Na lina viti vya wabunge kwenye serikali ya Lebanon.
Wanampigania Mungu wao aitwaye Allah, ndio maana wakiua utasikia wanasema Mungu mkubwaAmani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Hawa Hezbollah hupigana kwa masilahi ya Nani
Hamas hupigana kwa maslahi ya nchi yao ya Palestine na hawa Hezbollah kwa masilahi yapi na ya nani
Mbona wanawaumiza walebanon
Kwani Israel na Lebanon zina ugomvi
Je, Hezbollah pale Lebanon ni akina nani je ni chama cha siasa au watu gan hawa
LONDON BOY
Aondoke kwenda wapi wakati Judea na Samaria ndio kwaoIsrael ikiondoka amani itatawala mashariki ya Kati
Wayahudi walisambaa ulimwenguni kote kutokana na kushambuliwa na mataifa mbalimbali enzi za nyumaNetanyahu ni mpoland,jina lake halisi ni Benjamin benzion mileikowsky, babaake alijipa jina la netanyahu baada ya kuhamia palestine, waisrael wengi wanajua walikotoka, wengine walipima DNA na wakajikuta hawana DNA za hapo,yakifika kooni watarudi walikotoka
Sio kweli, itakuwa ni Vita kati ya Sunni na Shia Shia dhidi ya Wakristo Sunni Shia Alliance dhidi ya Druze.Israel ikiondoka amani itatawala mashariki ya Kati
Kobezi na vipedoHawa ni wajinga, hawana hoja za msingi kazi ni kusema kobazi, kobazi...
Ni weupe sana, ningefurahi sana mtu anakuja na hoja za msingi tunateremsha madini hapa...
Nikisema kuelezea migogoro ya mashariki ya kati naweza kukesha hapa... Lakini hao watu wako wpi sasa?
Shahidi ndio wale wanaenda kupewa 72 ?Hizbollah inatangaza members wake wanaouawa na kufanya mazishi na hiyo mi desturi yao mtu akifa vitani sawa kafa shahidi.Basi hutangazwa na kuzika.
Hapo kivipi kaka mtu anatafuta sympathy!??
Kuhusu hao raia wa Lebanon waliofariki aliyetangaza ni wizara ya afya ya Lebanon sio Hizbollah.
Na anastahili kutangaza huwezi ukaacha kupambana na wanamgambo ukaenda kulipua raia mkuu.
Somalia na Sudan pia failed statesHezbollah ndio wameharibu lebanon na kugeuza kuwa uwanja wa mapambano. Kifupi lebanon ni failed state