Hezbollah yaanza kuishambulia Israel kwa roketi nzito za angani na ardhini, kulipa kisasi mauaji ya makamanda wake

Hezbollah yaanza kuishambulia Israel kwa roketi nzito za angani na ardhini, kulipa kisasi mauaji ya makamanda wake

Kungekuwa kuna chochote cha maana kilichosababishwa na hayo madude dunia ingeshajua. Kawaida Israel anapiga kamoja ka nguvu wao vingi vya hovyo. Kimoja cha nusu saa bora kuliko kumi vya dakika mojamoja au mnasemaje wenyewe
Dalili hi hapa hi channel ni jina tu inaitwa al arabiya, lakini iko against Hezbullah, Al houth na Iran ona ilivyo onyesha wanaficha nini? Nchi za kiarabu hawana sababu za kuficha unaficha nini na wakati wanaona kule kwenye control room wamepiga target 😄 Au wanaona aibu kuonyesha udhaifu wao vitu vinavyo tereza kiulaini kabisa kupiga taifa teule la Paulo.


View: https://youtu.be/4EFsuXv8ZF4?si=Ki1R5oXlThWqLT77

Israel wanatukosesha raha watazamaji kuona vitu vya Hezbullah vinavyo land na kuchakaza Israel.
 
Mwambie Israel awachie media wachukue sehemu zilizo pigwa, ndio utaelewa Israel kapokea kipigo we mwenyewe utabaki mdomo wazi. Israel kwanini hataki media ziseme ukweli au kuchukua maeneo yaluo pigwa. Anaogopa nini kama kweli anatungua hizo missiles, katika 50 anangusha 10 au 8 tu vitu vingine vinatereza kama kawaida. Kwenye taifa la vitu laini.
Kwani media zinazoonyesha matukio haya mengine zimeshindwa kuonyesha na hili?
Hat media iliyotoa hii taarifa nayo imeshindwa?
 
Hezbollah kutoka Lebanon imeishambulia Israel Jana usiku Kwa makombora takribani 50 apo Jana usiku.

Hezbollah IMESEMA kwamba imeishambulia Israel Kwa makombora apo Jana usiku huku ikidaiwq kuwa uenda ikaendelea KUISHAMBULIA zaidi Israel kama kulipa kisasi Kwa kuuliwa Kwa kiongozi wao apo juzi na Israel.

Hali ni mbaya Huko Israel kwani makombora hayo ya Hezbollah japo mengi yaliangushwa na mfumo wa iron dome wa Israel ILa Kuna mengine yameleta madhara zaidi.

Marekani nayo tayari imetoa taarifa Kwa wananchi wake waliopo Lebanon kuondoka mara moja ndani ya nchi hiyo.
Na pia iran IMESEMA itaishambulia Israel leo usiku Kwa mashambulizi makali ambayo yataacha historia.
waislam hii kwao ndo solution ila ubao ukigeuka wanaanza kulia CEASEFIRE
 
Dalili hi hapa hi channel ni jina tu inaitwa al arabiya, lakini iko against Hezbullah, Al houth na Iran ona ilivyo onyesha wanaficha nini? Nchi za kiarabu hawana sababu za kuficha unaficha nini na wakati wanaona kule kwenye control room wamepiga target 😄 Au wanaona aibu kuonyesha udhaifu wao vitu vinavyo tereza kiulaini kabisa kupiga taifa teule la Paulo.


View: https://youtu.be/4EFsuXv8ZF4?si=Ki1R5oXlThWqLT77

Israel wanatukosesha raha watazamaji kuona vitu vya Hezbullah vinavyo land na kuchakaza Israel.

Ila naona kama vile madude yanadunguliwa huko hewani
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru

Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini

We will keep you updated

Mengi ya maroketi hayo yameangushwa na Ironed Dome

Well keep you updated

Taarifa kamili hapo chini:

===

Rocket barrage fired from Lebanon at north; Iron Dome intercepts many

The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)

The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)

Numerous Iron Dome interceptions are seen over the Galilee Panhandle amid a rocket barrage from Lebanon.
Mbona kama hiyo ya kiingereza imebumbwa?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru

Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini

We will keep you updated

Mengi ya maroketi hayo yameangushwa na Ironed Dome

Well keep you updated

Taarifa kamili hapo chini:

===

Rocket barrage fired from Lebanon at north; Iron Dome intercepts many

The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)

The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)

Numerous Iron Dome interceptions are seen over the Galilee Panhandle amid a rocket barrage from Lebanon.
Wanatafuta DOOM'D
Ww aliekwambia ni mashambulizi ya kulipa kisasi nani?wenyewe wanakwambia hayo ni mashambulizi ya kawaida km wanayoshambulia kila siku la kulipiza kisasi bado linapikwaaa
WANATAFUTA DOOMS'DAY!
MUDA UTASEMA!
Nilimwambia sasirallah akunje miguu shuka ALIYO NAYO ni fupi Tena imechakaa! Yahudi Si mchezo mchezo! Walimsulubu na kumuwa hata Mwana wa Mungu YESU!
Kama sio wachawi basi ni MKONO WA MUNGU WAO ALIYE WASGIZA!;
👇👇
Torati.19:20-21
[19]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru

Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini

We will keep you updated

Mengi ya maroketi hayo yameangushwa na Ironed Dome

Well keep you updated

Taarifa kamili hapo chini:

===

Rocket barrage fired from Lebanon at north; Iron Dome intercepts many

The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)

The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)

Numerous Iron Dome interceptions are seen over the Galilee Panhandle amid a rocket barrage from Lebanon.
Israel ikiibu wasije anza kulia lia
 
Kwani media zinazoonyesha matukio haya mengine zimeshindwa kuonyesha na hili?
Hat media iliyotoa hii taarifa nayo umeshindwa?
Israel imefungia hadi vyombo vyake vya habari kuripoti habari yoyote inayohusiana na vita.
Chombo angalau kinachojitahidi ni Haaretz cha Jews,na hata hiyo Haaretz huwa wanasumbuliwa na IDF.
Kaa ukilijua hilo.
Israel ilidanganya Gaza wamekufa askari 200 kumbe wamekufa 900 Haaretz ndio ilitoa habari.
Israel ilidanganya injured soldiers with minimum injuries ni 3000 kumbe crippled soldiers mentally and physically ni 70,000.
Wameifungia hadi Al-Jazeera isitoe ripoti.
 
Hezbollah kutoka Lebanon imeishambulia Israel Jana usiku Kwa makombora takribani 50 apo Jana usiku.

Hezbollah IMESEMA kwamba imeishambulia Israel Kwa makombora apo Jana usiku huku ikidaiwq kuwa uenda ikaendelea KUISHAMBULIA zaidi Israel kama kulipa kisasi Kwa kuuliwa Kwa kiongozi wao apo juzi na Israel.

Hali ni mbaya Huko Israel kwani makombora hayo ya Hezbollah japo mengi yaliangushwa na mfumo wa iron dome wa Israel ILa Kuna mengine yameleta madhara zaidi.

Marekani nayo tayari imetoa taarifa Kwa wananchi wake waliopo Lebanon kuondoka mara moja ndani ya nchi hiyo.
Na pia iran IMESEMA itaishambulia Israel leo usiku Kwa mashambulizi makali ambayo yataacha historia.
Yataacha historia.
 
Back
Top Bottom