Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili hi hapa hi channel ni jina tu inaitwa al arabiya, lakini iko against Hezbullah, Al houth na Iran ona ilivyo onyesha wanaficha nini? Nchi za kiarabu hawana sababu za kuficha unaficha nini na wakati wanaona kule kwenye control room wamepiga target 😄 Au wanaona aibu kuonyesha udhaifu wao vitu vinavyo tereza kiulaini kabisa kupiga taifa teule la Paulo.Kungekuwa kuna chochote cha maana kilichosababishwa na hayo madude dunia ingeshajua. Kawaida Israel anapiga kamoja ka nguvu wao vingi vya hovyo. Kimoja cha nusu saa bora kuliko kumi vya dakika mojamoja au mnasemaje wenyewe
Kwani media zinazoonyesha matukio haya mengine zimeshindwa kuonyesha na hili?Mwambie Israel awachie media wachukue sehemu zilizo pigwa, ndio utaelewa Israel kapokea kipigo we mwenyewe utabaki mdomo wazi. Israel kwanini hataki media ziseme ukweli au kuchukua maeneo yaluo pigwa. Anaogopa nini kama kweli anatungua hizo missiles, katika 50 anangusha 10 au 8 tu vitu vingine vinatereza kama kawaida. Kwenye taifa la vitu laini.
Unaliliwa weweSawasawa. Nisisikie vilio.When you want to badly hurt someone,hurt his/her beloved ones.
Hilo ndilo jambo tunalotaka kuhabarishwa; wamefanya uharibifu kiasi gani!?Wamepata mafanikio yoyote au wameishia kupoteza muda wao tu ?
Machache yamepiga au sio? Kwangu mimi kama wamerusha hamsini, arobaini yakaangushwa na kumi yakapiga sehemu lengwa basi ni mafanikio.Mengi yametunguliwa!
Swali zuri, tusubiri majibu.Wamepata mafanikio yoyote au wameishia kupoteza muda wao tu ?
waislam hii kwao ndo solution ila ubao ukigeuka wanaanza kulia CEASEFIREHezbollah kutoka Lebanon imeishambulia Israel Jana usiku Kwa makombora takribani 50 apo Jana usiku.
Hezbollah IMESEMA kwamba imeishambulia Israel Kwa makombora apo Jana usiku huku ikidaiwq kuwa uenda ikaendelea KUISHAMBULIA zaidi Israel kama kulipa kisasi Kwa kuuliwa Kwa kiongozi wao apo juzi na Israel.
Hali ni mbaya Huko Israel kwani makombora hayo ya Hezbollah japo mengi yaliangushwa na mfumo wa iron dome wa Israel ILa Kuna mengine yameleta madhara zaidi.
Marekani nayo tayari imetoa taarifa Kwa wananchi wake waliopo Lebanon kuondoka mara moja ndani ya nchi hiyo.
Na pia iran IMESEMA itaishambulia Israel leo usiku Kwa mashambulizi makali ambayo yataacha historia.
Dalili hi hapa hi channel ni jina tu inaitwa al arabiya, lakini iko against Hezbullah, Al houth na Iran ona ilivyo onyesha wanaficha nini? Nchi za kiarabu hawana sababu za kuficha unaficha nini na wakati wanaona kule kwenye control room wamepiga target 😄 Au wanaona aibu kuonyesha udhaifu wao vitu vinavyo tereza kiulaini kabisa kupiga taifa teule la Paulo.
View: https://youtu.be/4EFsuXv8ZF4?si=Ki1R5oXlThWqLT77
Israel wanatukosesha raha watazamaji kuona vitu vya Hezbullah vinavyo land na kuchakaza Israel.
Habari za kamachumuWewe upo Kimara Bonyokwa huko ila mentally umejipa uisrael, bwashee hizo sio dalili nzuri kiafya.
Ha ha ha humu Kuna wagonjwa wa akili wengi tu. Wengine Waajemi wengine wayahudi. Hayawani wakubwaWewe upo Kimara Bonyokwa huko ila mentally umejipa uisrael, bwashee hizo sio dalili nzuri kiafya.
Mbona kama hiyo ya kiingereza imebumbwa?Wadau hamjamboni nyote?
Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru
Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini
We will keep you updated
Mengi ya maroketi hayo yameangushwa na Ironed Dome
Well keep you updated
Taarifa kamili hapo chini:
===
Rocket barrage fired from Lebanon at north; Iron Dome intercepts many
The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)
The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)
Numerous Iron Dome interceptions are seen over the Galilee Panhandle amid a rocket barrage from Lebanon.
Wanatafuta DOOM'DWadau hamjamboni nyote?
Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru
Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini
We will keep you updated
Mengi ya maroketi hayo yameangushwa na Ironed Dome
Well keep you updated
Taarifa kamili hapo chini:
===
Rocket barrage fired from Lebanon at north; Iron Dome intercepts many
The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)
The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)
Numerous Iron Dome interceptions are seen over the Galilee Panhandle amid a rocket barrage from Lebanon.
WANATAFUTA DOOMS'DAY!Ww aliekwambia ni mashambulizi ya kulipa kisasi nani?wenyewe wanakwambia hayo ni mashambulizi ya kawaida km wanayoshambulia kila siku la kulipiza kisasi bado linapikwaaa
Waisrael weusi pamoja walokole wanajiliwaza Waisrael wenyewe hawa hapa wanakimbia taifa teule😀
View: https://x.com/suppressednws/status/1819472870998728996?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Israel ikiibu wasije anza kulia liaWadau hamjamboni nyote?
Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru
Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini
We will keep you updated
Mengi ya maroketi hayo yameangushwa na Ironed Dome
Well keep you updated
Taarifa kamili hapo chini:
===
Rocket barrage fired from Lebanon at north; Iron Dome intercepts many
The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)
The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)
Numerous Iron Dome interceptions are seen over the Galilee Panhandle amid a rocket barrage from Lebanon.
Israel imefungia hadi vyombo vyake vya habari kuripoti habari yoyote inayohusiana na vita.Kwani media zinazoonyesha matukio haya mengine zimeshindwa kuonyesha na hili?
Hat media iliyotoa hii taarifa nayo umeshindwa?
Hakuna mtu aliyelilia ceasefire.waislam hii kwao ndo solution ila ubao ukigeuka wanaanza kulia CEASEFIRE
Yataacha historia.Hezbollah kutoka Lebanon imeishambulia Israel Jana usiku Kwa makombora takribani 50 apo Jana usiku.
Hezbollah IMESEMA kwamba imeishambulia Israel Kwa makombora apo Jana usiku huku ikidaiwq kuwa uenda ikaendelea KUISHAMBULIA zaidi Israel kama kulipa kisasi Kwa kuuliwa Kwa kiongozi wao apo juzi na Israel.
Hali ni mbaya Huko Israel kwani makombora hayo ya Hezbollah japo mengi yaliangushwa na mfumo wa iron dome wa Israel ILa Kuna mengine yameleta madhara zaidi.
Marekani nayo tayari imetoa taarifa Kwa wananchi wake waliopo Lebanon kuondoka mara moja ndani ya nchi hiyo.
Na pia iran IMESEMA itaishambulia Israel leo usiku Kwa mashambulizi makali ambayo yataacha historia.
Jidanganye.Yote yamemezwa na Iron Dome
Israel ishajibu sana na kuua sana hivyo hakuna jipya vita iendelee.Israel ikiibu wasije anza kulia lia