Hezbollah yafanya shambulizi kubwa Jiji la bandari la haifa Israel kwa kurusha maroketi 90, yasababisha uharibifu mkubwa

“Allah’s Messenger said, “The Hour will not be established until you fight with the Jews, and the stone behind which a Jew will be hiding will say. ‘O Muslim! There is a Jew hiding behind me, so kill him.’”
Wanapenda kujitoa akili kweli kweli. Mistari iko wazi but watakavyobisha sasa! Mgaidi wanaitumia hivyo hivyo ilivyo. Kuficha aibu utasikia wale hawafuati deen!
 
Haya hizbo kapewa tanks

The Syrian Arab army just gifted Hezbollah T-72 tanks to assist in combating Israeli aggression
 
Hatugombani tunaelezana.
Hiyo kwanza ni dalili moja wapo ya kiyama kwa mujibu wa uislam,waislam kupigana na wayahudi na kuwashinda.
Ha ha ha! Kiyama (ya wafu) inakuja lini Mkuu? Haitabiriwi Mkuu wangu. Yaja kama mwivi ajavyo.
 
Hatugombani tunaelezana.
Hiyo kwanza ni dalili moja wapo ya kiyama kwa mujibu wa uislam,waislam kupigana na wayahudi na kuwashinda.
Kwahiyo safar hii kwakuwa mna uhakika wa kuwashinda wayahudi basi ndio itakuwa kiama sio?

Dunia nzima Ina watu wangapi mpaka nyinyi kumshinda myahudi ndio iwe kiama?

Doesn't make sense.
 
Kwahiyo safar hii kwakuwa mna uhakika wa kuwashinda wayahudi basi ndio itakuwa kiama sio?

Dunia nzima Ina watu wangapi mpaka nyinyi kumshinda myahudi ndio iwe kiama?

Doesn't make sense.
Umeambiwa dalili ya ujio wa siku ya kiama.
Sio kiyama exactly hapana.
 
Kwenye Kingereza hakuna neno "magaidi" umelitowa wapi? Au uzushi wako tu?
 
Huu ni kwa mujibu wa Qur'an na uislam.
Unaniulizaje swali la kipuuzi kama hilo?
Ni sawa nikuulize aliyekuambia Yesu ni Mungu ni nani!?
Weka aya acha maneno matupu! Ni aya zipi zinasema hizo ndio dalili za kiyama?
 
Weka aya acha maneno matupu! Ni aya zipi zinasema hizo ndio dalili za kiyama?
Heee we ni punguani!!
😆😆😆😆😆😆😆😆 unabishana na mimi niliyesoma hiyo Qur'an!?
Umeleta ayah ya Qur'an mimi nakufafanulia unasema nilete ayah nyingine kusadikisha kama ni dalili ya kiyama.
Huna hoja kama kawaida yako uwe na asubuhi njema.
 
Aya ipi hiyo umefafanua? Haipo hiyo aya usitake kuleta uzushi hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…