Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Aiseee noma yaudi anatisha km yangaDaaah naona wavaa kubazi walivyo pasuliwa mabusha n bawasili zao full damu tu.
All the best
Jibu lako hili hapaMshangao ni kuwa huwa video za mashambulizi ndani ya Israel hazionekani.
Habari ya mjini ndio hio Israel kunawaka moto na wanazuia TV zisionyeshe wa Kwanza Al Jazeera kavamiwa office zake.
View: https://youtu.be/gge7jCaNeak?si=5UYU-0btNIMmIjBz
View: https://youtube.com/shorts/uXpvm4PoKA0?si=xuE4CotYcKnosYVrBase inawaka moto wanazuia wasionyeshe aibu zao. Base imesambaratishwa huko.
View: https://youtu.be/OikpzcPiu2U?si=sHT-YPsrMB0qQh1y
Panya wanakimbia kwenda kwenye. Mashimo.
View: https://youtu.be/94FkoTkzFbc?si=IgJm5IVrxgsx3Uh7Wameivamia Al Hazeera is itoe aibu zao hahaha 😆
Asante sana kwa taarifa mkuu. Vipi uharibifu baada ya shambulio. Maana Yahudi hafai, ndani ya siku kama nne tu amefanya mauaji ya wanachama na viongozi kadhaa wa hizbolah.
Vitu vingine ni uongo wa wazi, yaani naangalia mtu anasema ni severe damage ila madaktari wanatibu wakulima 3!Jibu lako hili hapa
View attachment 3102697