Hezbullah Kashambulia Base na Airport ya Haifa na Miji Mingine ndani y Israel

Hezbullah Kashambulia Base na Airport ya Haifa na Miji Mingine ndani y Israel

Wewe jamaa mvaa makobazi jinga sana, badae usije ukaanza kulia lia na kuanza kuomba huruma ya kimataifa
Israel Wajanja Sana😁 Wana jua kila kitu ila wanakuachia udonoe donoe kidogo ili Kichapo Wanachokupa Dunia isone kuwa Unaonewa. Hizibora na Hamas wanajiona watashinda Vita na Wajukuu wa Mfalme Daudi🤣 Kumbe anawamaliza ... Houtuz kwa sasa wanalea Mimba ya Wana wa Israel- kapata alichotaka katulia tulii🤣🤣.
 
BBC wao wanavyo tuhabarisha nikama magazeti ya yanga au simba wao kuwasifia wazayuni. Tu kuwa wanamaguvu mossad ni noma usichezee, lkn wakidudwa nawapinzaniwao awatupi habari wanajidai awana iyo taharifa. Lkn zayuni akipiga wakwanza wao kutuhabarisha!!! Km simba mwiko kusifia yanga nawao ndio mfumo wao.l
Usijali Yupo YESU anaponya VIPOFU ata hawa Hizbora walipata kichapo cha mbwa koko🤣
 

Attachments

  • IMG_7036.jpeg
    IMG_7036.jpeg
    25.6 KB · Views: 2
  • IMG_7037.jpeg
    IMG_7037.jpeg
    73.7 KB · Views: 3
Tangu nimeanza kufuatilia sijaona Hezbollah wakiua raia itokee tu kwa bahati mbaya. Wao target Yao ni wanajeshi , military base na industries
Si mpaka wawe na uwezo huo?
Wewe hukuona October 7 Hamas walipopata upenyo wa kuwafikia raia wa Israel wakamalizia hasira zao kwa kuwaua na kuteka wengine
 
Israel Wajanja Sana😁 Wana jua kila kitu ila wanakuachia udonoe donoe kidogo ili Kichapo Wanachokupa Dunia isone kuwa Unaonewa. Hizibora na Hamas wanajiona watashinda Vita na Wajukuu wa Mfalme Daudi🤣 Kumbe anawamaliza ... Houtuz kwa sasa wanalea Mimba ya Wana wa Israel- kapata alichotaka katulia tulii🤣🤣.
Waisrael wa manyoni bana.
 
Aljazeera wamejaribu wameishia kuvamiwa na wanajeshi ofisini. Vita hivi vinasiasa kali kila kitu kikionyeshwa raia watavunjwa moyo na Serikali inaweza kuangushwa. Ila Tech inavyozidi kukua kuficha itakuwa ngumu.
Nijuavyo Aljazeera hafanyi kazi ndani ya Israel, huko walipopewa 45 d notice ni West Bank
 
Aljazeera wamejaribu wameishia kuvamiwa na wanajeshi ofisini. Vita hivi vinasiasa kali kila kitu kikionyeshwa raia watavunjwa moyo na Serikali inaweza kuangushwa. Ila Tech inavyozidi kukua kuficha itakuwa ngumu.
Ndio apoo na wazayuni w mwakareli wanataka ushaidi usio na shaka km kweli wabarikiwa wanachezea kichapo
 
Si mpaka wawe na uwezo huo?
Wewe hukuona October 7 Hamas walipopata upenyo wa kuwafikia raia wa Israel wakamalizia hasira zao kwa kuwaua na kuteka wengine
We kweli jinga sasa waue IDF na kupiga military base washindwe kuuwa raia ambao ni defenseless? Vita ina sheria zake ni Israel tu anahaingaika na watoto na kina mama akidhani atawatisha Hamas au Hezbollah waache kupigana .
 
Iyo kamati inayosimamia habari vita upande wao azitoki wala makovu yasionekane jamaaa wanaogopwa hatari kwasasa ukijichanganya na kapicha ukatuma wakikufikia awakutazami ww mzawa OG au wakuja. Wanakushusha tu ktk bus!!!!
 
BBC wao wanavyo tuhabarisha nikama magazeti ya yanga au simba wao kuwasifia wazayuni. Tu kuwa wanamaguvu mossad ni noma usichezee, lkn wakidudwa nawapinzaniwao awatupi habari wanajidai awana iyo taharifa. Lkn zayuni akipiga wakwanza wao kutuhabarisha!!! Km simba mwiko kusifia yanga nawao ndio mfumo wao.l
Whacha walie zimefungwa shule kule Haifa na balaa zaidi hizo missiles ni Amad 1 na Amad 2 zina kichwa cha mlipuko sio wa kawaida, na bado sana. Mpaa mda hu Hezbullah wamepiga target za jeshi tu kuonyeshesha jeshi sio kupiga civilian.
 
Back
Top Bottom