Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
- Thread starter
-
- #41
Kwa akili zako unadhani Aljazeera haina informers ndani ya Israel!??Nijuavyo Aljazeera hafanyi kazi ndani ya Israel, huko walipopewa 45 d notice ni West Bank
Israel kila leo inazidi kuwa na hali ngumu.Israel Wajanja Sanaπ Wana jua kila kitu ila wanakuachia udonoe donoe kidogo ili Kichapo Wanachokupa Dunia isone kuwa Unaonewa. Hizibora na Hamas wanajiona watashinda Vita na Wajukuu wa Mfalme Daudiπ€£ Kumbe anawamaliza ... Houtuz kwa sasa wanalea Mimba ya Wana wa Israel- kapata alichotaka katulia tuliiπ€£π€£.
Kaanza au anaendelea mkuu vita vya makombora havibagui ,Taarifa tunazo hizbo nae kasnza kuua raia ubaya ubwela
Sasa west bank na israel kuna umbali gani!...ukiwa unatrot,utaimaliza israel kwa saa saba kumaliza upana wake,ni nchi flan kichochoroNijuavyo Aljazeera hafanyi kazi ndani ya Israel, huko walipopewa 45 d notice ni West Bank
Jinga ni wewe na mihemuko ya kidiniWe kweli jinga sasa waue IDF na kupiga military base washindwe kuuwa raia ambao ni defenseless? Vita ina sheria zake ni Israel tu anahaingaika na watoto na kina mama akidhani atawatisha Hamas au Hezbollah waache kupigana .
Kwani Hamas na Hizbulah wana male malengo tofauti? Usiwapangie namna ya kupigana vita! Kama unajua adui yako ni kichaa anaua chochote kwa nini umchokoze? Acha wapambaneMwenzio kaandika hizbullah we unataja Hamas
Wapi nimetaja dini hapo kwenye comment yangu? Au wewe ndio unahemka na dini Yako?Jinga ni wewe na mihemuko ya kidini
Hizo sheria za vita Hamas alizingatia October 7? Kwa hiyo mateka wote walikuwa IDF? Ama kweli nyani haoni kundule!
Sasa ndio ujanja gani huo!?Israel Wajanja Sanaπ Wana jua kila kitu ila wanakuachia udonoe donoe kidogo ili Kichapo Wanachokupa Dunia isone kuwa Unaonewa. Hizibora na Hamas wanajiona watashinda Vita na Wajukuu wa Mfalme Daudiπ€£ Kumbe anawamaliza ... Houtuz kwa sasa wanalea Mimba ya Wana wa Israel- kapata alichotaka katulia tuliiπ€£π€£.
Zamwamwa hilo, achana naloSasa ndio ujanja gani huo!?
Unaruhusu raia wako 10 wauliwe ili wewe ukaue 50 wa taifa jingine!
Hivi wewe kama mzazi mwenye akili timamu unaweza kuruhusu watoto wako 2 wauliwe na adui yako ili upate sababu ya wewe kuua watoto wake 5!?
Wewe muabudu wa shetan allah jipe moyo tu, maana ndiyo mnaenda kupotea wewe na mashia wako hao wa Hezbollah ambao kwanza wao hudai huyo mke mpendwa wa Mohammad ni malaya tu na hawamtambuiHabari ya mjini ndio hio Israel kunawaka moto na wanazuia TV zisionyeshe wa Kwanza Al Jazeera kavamiwa office zake.
View: https://youtu.be/gge7jCaNeak?si=5UYU-0btNIMmIjBz
View: https://youtube.com/shorts/uXpvm4PoKA0?si=xuE4CotYcKnosYVrBase inawaka moto wanazuia wasionyeshe aibu zao. Base imesambaratishwa huko.
View: https://youtu.be/OikpzcPiu2U?si=sHT-YPsrMB0qQh1y
Panya wanakimbia kwenda kwenye. Mashimo.
View: https://youtu.be/94FkoTkzFbc?si=IgJm5IVrxgsx3Uh7Wameivamia Al Hazeera is itoe aibu zao hahaha π
Sio kila Shia anamini hivyo dogo ni sawa sawa na sio kila mkristo anamini Yesu ni Mungu. Pia wako wakristo wana mwamini Yesu ni Mungu na mama yake pia. Wako wanao amini yule shetani mtakatifu wa Paulo ni Mungu na mnamuita The Holy Ghost.Wewe muabudu wa shetan allah jipe moyo tu, maana ndiyo mnaenda kupotea wewe na mashia wako hao wa Hezbollah ambao kwanza wao hudai huyo mke mpendwa wa Mohammad ni malaya tu na hawamtambui
View: https://www.youtube.com/live/4pFFN68LRmw?si=dapiX3q1JFRPm7xY
Hawa ndio zao aibu zao wanaficha ili wasionekane nchi wanao ita ni yao ni dhaifu.Jibu lako hili hapa
View attachment 3102697
Dogo natunza hii thread usije ukajificha huko mwisho tunakoelekea pale mtakapokuwa mmevhapwa halafu mtakimbilia kwa msauzi akawashitakie kule ICJSio kila Shia anamini hivyo dogo ni sawa sawa na sio kila mkristo anamini Yesu ni Mungu. Pia wako wakristo wana mwamini Yesu ni Mungu na mama yake pia. Wako wanao amini yule shetani mtakatifu wa Paulo ni Mungu na mnamuita The Holy Ghost.
Rudi kwenye mada dini yenu haifahamiki mnafata mafunxo ya Paulo au Yesu?
Poleni kwa kipigo mwisho mtakosa sehemu za kurushia ndege afu Israel analalamika kule UN eti Al Houth kafika kwenye border yao. Kwani hio ni border yao, kwani wananchi hao π
Wewe punguani unadhani Gaza π€£Wewe jamaa mvaa makobazi jinga sana, badae usije ukaanza kulia lia na kuanza kuomba huruma ya kimataifa