Uwafahamu Hezbollah wewe dogo mabasha zako wameishachezea kichapo sana fuatilia history siyo hamas hao ambao hawana silaha.Dogo natunza hii thread usije ukajificha huko mwisho tunakoelekea pale mtakapokuwa mmevhapwa halafu mtakimbilia kwa msauzi akawashitakie kule ICJ
We jinga kweli yaani unataka kuniambia kulipua kambi ya jeshi ni rahis ila kulipua makazi ya raia ni ngumuSi mpaka wawe na uwezo huo?
Wewe hukuona October 7 Hamas walipopata upenyo wa kuwafikia raia wa Israel wakamalizia hasira zao kwa kuwaua na kuteka wengine
Mateka ..hii inamaana wako salama,ila Israel ye anaua raia asa hapo tumia akili yako kujua wapi wako sahihi ila ukitumia mafuta ya upako lazima utawaza kama kondooJinga ni wewe na mihemuko ya kidini
Hizo sheria za vita Hamas alizingatia October 7? Kwa hiyo mateka wote walikuwa IDF? Ama kweli nyani haoni kundule!
Mimi nakuzaa wewe unadhani mimi wa miaka 30 au 40 heshimu wakubwa zako.Dogo natunza hii thread usije ukajificha huko mwisho tunakoelekea pale mtakapokuwa mmevhapwa halafu mtakimbilia kwa msauzi akawashitakie kule ICJ
Hawa ndio magaidi wanaonea vitoto vidogo wapi zile nyimbo za kanisani wanazo ita Democracy 😄
Hahaha mapunguani sana hawa jamaa angalia maskari wote wanamkimbiza mtoto mdogo kisa kabeba bendera ya Palestina walokole waimba kwaya watakuambia Ulaya inaongoza kwa haki za binadamu😀Hawa ndio magaidi wanaonea vitoto vidogo wapi zile nyimbo za kanisani wanazo ita Democracy 😄
Dogo natunza hii thread usije ukajificha huko mwisho tunakoelekea pale mtakapokuwa mmevhapwa halafu mtakimbilia kwa msauzi akawashitakie kule ICJ
Acha unafiki wewe mlokole .vita sio za kushabikia kwasababu wanadamu wenzetu wanakufa. lakini, kwa bahati mbaya, tayari vifaru vingi vimeanza kuhamishwa toka maeneo ya GAZA vinapelekwa mpakani mwa lebanon tayari kwa kuvamia. soon tutaanza kusikia genocide in lebanon, na tutasikia israel wauwaji.
Wapo salama? Au ni ransom! Hapo wote hakuna anaye heshimu sheria za vita usitudanganye .....Mateka ..hii inamaana wako salama,ila Israel ye anaua raia asa hapo tumia akili yako kujua wapi wako sahihi ila ukitumia mafuta ya upako lazima utawaza kama kondoo
Hakuna mijutu mijinga kama hi ingekuwa kabeba bendera ya Israel wangenda piga naye picture 😄Hahaha mapunguani sana hawa jamaa angalia maskari wote wanamkimbiza mtoto mdogo kisa kabeba bendera ya Palestina walokole waimba kwaya watakuambia Ulaya inaongoza kwa haki za binadamu😀
Hii ya kushtaki un wayemen wapo mlangoni ni kweli?Mimi nakuzaa wewe unadhani mimi wa miaka 30 au 40 heshimu wakubwa zako.
Nyie simmeisha kwenda UN kushitaki kuhusu wa Yemen wanataka kuwangilia kwa miguu 😄
View: https://youtu.be/hD4UXuGXC5s?si=IueHk-p8U1SlkpNF
Tazama kichapo hicho kwenye kiwanda cha kutengeneza hizo Iron Dome
Wameficha mnajua Media Stream zote wamiliki ni Mayahudi ila yamepigwa sana kwao huko Al jazeera na yenyewe manafiki tu majingaMshangao ni kuwa huwa video za mashambulizi ndani ya Israel hazionekani.
Hongereni kobazi, tukutane kwenye maombi ya pray for lebaneseHabari ya mjini ndio hio Israel kunawaka moto na wanazuia TV zisionyeshe wa Kwanza Al Jazeera kavamiwa office zake.
View: https://youtu.be/gge7jCaNeak?si=5UYU-0btNIMmIjBz
View: https://youtube.com/shorts/uXpvm4PoKA0?si=xuE4CotYcKnosYVrBase inawaka moto wanazuia wasionyeshe aibu zao. Base imesambaratishwa huko.
View: https://youtu.be/OikpzcPiu2U?si=sHT-YPsrMB0qQh1y
Panya wanakimbia kwenda kwenye. Mashimo.
View: https://youtu.be/94FkoTkzFbc?si=IgJm5IVrxgsx3Uh7Wameivamia Al Hazeera is itoe aibu zao hahaha 😆
Si kila anaye kwenda kusali ana sali wengine ni show off. Uislam ulisha yaongea hayo zamani kwenye Qur'an, we ndio leo unayaona.
hezbollah wamerusha rocket zaidi ya 100 na nyingi zimedondokea makazi ya watu na kuleta uharibifu mkubwa. sasa hilo linawafanya wayahudi wapate sababu nzuri zaidi kuingia vitani moja kwa moja, wameshaanza kupeleka vifaru soon beirut itakuwa kama gaza. icho ndo kitu kibaya.Acha unafiki wewe mlokole .
View: https://x.com/qudsnen/status/1837880643377615358?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw