Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
- Thread starter
-
- #21
Hezbullah mpaa USA kamsaidia atauweza mziki wa Iran ikiwa Hezbullah kaushindwa ๐Kweli akili zimewaruka, Israel wanatungua viongozi wakuu wa Hamas hadi rais wa Iran alitunguliwa juu kwa juu wakaapa kulipa kisasi ambacho hadi leo wanaogopa kulipiza, Hao wanajisifu kumuua Brigedia Jenerali ambae hafikii ranks anapitwa na luteni jenerali na Meja jenerali achilia mbali...
Iran walishakazwa, Rais alitunguliwa juu kwa juu kwenye helikopta, kilichofuata baada ya hapo wakamla kichwa kiongozi wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran kwenye sehemu yenye ulinzi mkali.Hezbullah mpaa USA kamsaidia atauweza mziki wa Iran ikiwa Hezbullah kaushindwa ๐
View: https://youtu.be/QnWTl6LztQU?si=-ck3mg1TcLsq9Vsh
Nacheka kwasababu mkuu.Kosugi naona leo unacheeeeka.
Hahaha poleni sana kuku, US pia kamsaidia lakini anakwepa kusema anajidai, katoa tu intelligence surveillance interms of tracking incoming missiles. Waongo sana US na wao wanapiga Lebanon wanajidai Israel. Hezbullah ni moto Israel hawezi uvumilia moto wao.Iran walishakazwa, Rais alitunguliwa juu kwa juu kwenye helikopta, kilichofuata baada ya hapo wakamla kichwa kiongozi wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran kwenye sehemu yenye ulinzi mkali.
Hata Rais wa Iran mpya anamuomba Ayatollah asianzishe vita we huogopi ?? Makamu wa Rais aliachia madaraka fasta, Mziki wa Israel huo
Kama Israel kweli kwa nia njema anataka vita na Iran amuondoe Ayatollah na akili kamuondoa yeye openly muone muajemi akichafukwa, alisambaza kambi ya mmarekani pale Iraq kaua mia na wengine kubaki viziwi lakini Marekani hakuthubutu kurusha hata jiwe na ni kipindi cha TrumpIran walishakazwa, Rais alitunguliwa juu kwa juu kwenye helikopta, kilichofuata baada ya hapo wakamla kichwa kiongozi wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran kwenye sehemu yenye ulinzi mkali.
Hata Rais wa Iran mpya anamuomba Ayatollah asianzishe vita we huogopi ?? Makamu wa Rais aliachia madaraka fasta, Mziki wa Israel huo
Hakuna kosa baya kulifanya kama uwaulie kiongozi wao wa dini mashia.Kama Israel kweli kwa nia njema anataka vita na Iran amuondoe Ayatollah na akili kamuondoa yeye openly
Endelea maneno, Israel anatwanga tu, pale pale kwenye mshono, Rais juu kwa juu Kaboom !! Kiongozi wa Hamas kitandani Kaboom !!!Hahaha poleni sana kuku, US pia kamsaidia lakini anakwepa kusema anajidai, katoa tu intelligence surveillance interms of tracking incoming missiles. Waongo sana US na wao wanapiga Lebanon wanajidai Israel. Hezbullah ni moto Israel hawezi uvumilia moto wao.
Iran imo kwenye banda la intelejensia za Israel, Hakuna papara ni step by step, Kama rais wa Iran na Kiongozi wa Hamas waliweza kuwatungua kwa kuminya kitufe wakiwa na ulinzi wa special forces za Iran, Israel wawe na haraka ya wapi ? just chill, more surprises to comeKama Israel kweli kwa nia njema anataka vita na Iran amuondoe Ayatollah na akili kamuondoa yeye openly muone muajemi akichafukwa, alisambaza kambi ya mmarekani pale Iraq kaua mia na wengine kubaki viziwi lakini Marekani hakuthubutu kurusha hata jiwe na ni kipindi cha Trump
Mkuu kanywe dawa ushaanza uchizi okoa familia yako usijekuwa mzigo siku za usoni.. eti ''wamemuwa''Kumbe ule music wa Hezbullah kuwauwa kuku kwenye banda kulikuwa na majogoo wakubwa wamenono ๐
The commander of Israelโs Unit 8200 is a closely guarded secret. He occupies one of the most sensitive roles in the military, leading one of the worldโs most powerful surveillance agencies, comparable to the US National Security Agency.
Mkuu madhara huwa hayajifichi.. lete true habari.. mleta mada anajulikana jf kuwa ni muongo na ni mtumwa wa Allah na vihabari vyake anavikota masjid utumwaniNacheka kwasababu mkuu.
Hawa mashabiki wa Israel ikija habari za Israel kushambuliwa na kupata madhara hawaamini wanadai taarifa za kutunga.
Video ya kifo cha Kamanda zipo wapi naomba nione plzMtu unamletea hadi video ila anakwambia taarifa za kutunga.
๐๐๐๐๐๐๐Kweli mapenzi upofu.
Wameua sio ๐Mkuu kanywe dawa ushaanza uchizi okoa familia yako usijekuwa mzigo siku za usoni.. eti ''wamemuwa''
Hezbullah Wamemuwa The Commender of Israel's Unit 8200 The Worlds Most Powerful Surveillance Agencies
Hezbullah Wamemuwa The Commender of Israel's Unit 8200 The Worlds Most Powerful Surveillance Agencies
Kumbe ule music wa Hezbullah kuwauwa kuku kwenye banda kulikuwa na majogoo wakubwa wamenono ๐ The commander of Israelโs Unit 8200 is a closely guarded secret. He occupies one of the most sensitive roles in the military, leading one of the worldโs most powerful surveillance agencies, comparable...www.jamiiforums.com
Jogoo tumelipiga kisu na wasaidizi wakeEndelea maneno, Israel anatwanga tu, pale pale kwenye mshono, Rais juu kwa juu Kaboom !! Kiongozi wa Hamas kitandani Kaboom !!!
Nimekwambia kama anataka vita amuondoe kiongozi wa kidini wa IranIran imo kwenye banda la intelejensia za Israel, Hakuna papara ni step by step, Kama rais wa Iran na Kiongozi wa Hamas waliweza kuwatungua kwa kuminya kitufe wakiwa na ulinzi wa special forces za Iran, Israel wawe na haraka ya wapi ? just chill, more surprises to come
Hadi rais wa sasa anamuomba Ayatollah asilipize kisasi na makamu wa rais anajiuzulu ujue game lipo next level, Mess with Israel unaweza kutumiwa nzi kumbe bomu.
Hawataki kuamini kuwa hiyo game effects ni both sides.Nacheka kwasababu mkuu.
Hawa mashabiki wa Israel ikija habari za Israel kushambuliwa na kupata madhara hawaamini wanadai taarifa za kutunga.
Mtu unamletea hadi video ila anakwambia taarifa za kutunga.
๐๐๐๐๐๐๐Kweli mapenzi upofu.
Israel kafanya mauaji mangapi pale Iran?Kama Israel kweli kwa nia njema anataka vita na Iran amuondoe Ayatollah na akili kamuondoa yeye openly muone muajemi akichafukwa, alisambaza kambi ya mmarekani pale Iraq kaua mia na wengine kubaki viziwi lakini Marekani hakuthubutu kurusha hata jiwe na ni kipindi cha Trump
Mhh.Hakuna kosa baya kulifanya kama uwaulie kiongozi wao wa dini mashia.
Aiseee๐๐๐๐๐๐๐utafanywa kitu hujai fanywa kabla.
Lakini huwa mnakataa kwamba Jeshi la Israel halina viwango wala uwezo kama huo kiasi mnafikia kuwaita Wanamgambo. Leo imekuwaje tena?Kumbe ule music wa Hezbullah kuwauwa kuku kwenye banda kulikuwa na majogoo wakubwa wamenono ๐
The commander of Israelโs Unit 8200 is a closely guarded secret. He occupies one of the most sensitive roles in the military, leading one of the worldโs most powerful surveillance agencies, comparable to the US National Security Agency.
Uyole FMsasa hiyo taarifa umeitoa wapi?