Hezbullah Wamemuwa The Commender of Israel's Unit 8200 The Worlds Most Powerful Surveillance Agencies

Hezbullah Wamemuwa The Commender of Israel's Unit 8200 The Worlds Most Powerful Surveillance Agencies

Yemen, Syria, Lebanon na Iraq watatoa support gani ya maani katika uwanja wa vita dhidi ya US and co.?
Man power support.
Yemeni kupitia Houthi wana jeshi lenye medani kubwa ya kivita,Lebanon wana Hizbollah wenye medani kubwa ya kivita.
Na hata Syria pia na Iraq ni vile vile.
Na mbaya zaidi hao vita zao huwa wakipigana huchukulia kama wanapigania dini.
Vita sio makombora na vifaru peke yake.
Jeshi ama watu wa kupigana vita ya ardhini wanahitajika.
Maana kikomesha vita ni ground battle.
 
Kitu unachojichanganya wewe ni kutaka kuunasibisha ukristo na uyahudi.
Ukristo na uyahudi ni vitu viwili tofauti.
Hata vita ikitokea itakua baina ya wakristo na wayahudi.
Hao wakristo unaotaka kuwanasibisha na wayahudi hawawapendi wayahudi vile vile maana wanafahamu kuwa Israel wayahudi wanashambulia makanisa yao na kuwatemea mate wakristo na kumuita Yesu tapeli.
Ndio maana baada ya October 7 anti-semitism ilisambaa sana Ulaya magharibi na wakristo waliongoza hiyo anti-semitism.
Hivyo ikitokea vita ya kidini hapo atatafutwa MYAHUDI SIO MKRISTO.
Usitake ku relate christianity na jewish.
Havifanani mkuu,hata hao wakristo wanawa mind sana wayahudi ila ndio hivyo tu viongozi wa mataifa yao wana mutual interest geopolitically na Israel.
Aiseee.
Naomba unijibu hapa, hivi hapa jf kuna wayahudi? Je wayahudi wakisemwa hapa ni watu gani wanawatetea?

Nafahamu kuwa Judaism na Christian hawaelewani, kitu pekee kinachowaunganisha ni vile Christian wanaamini ardhi ya Israel ni muhimu katika imani yao. Judaism wahawakubali Christians kwa vile wanadai walibadili maandiko na kuingiza mambo yasiyo kweli.

Christians wanaikubali sana Israel ni Evangelism kuliko RC.

But when it comes vita vya kidini haitawahusisha Judaism pekee.
Ni sawa sawa na hapa jf wanaamini kila mkristo anafata uongozi wa papa. So hata inapotokea vita ya kidini haitamhusu myahudi na mwislam pekee.
 
Aiseee.
Naomba unijibu hapa, hivi hapa jf kuna wayahudi? Je wayahudi wakisemwa hapa ni watu gani wanawatetea?

Nafahamu kuwa Judaism na Christian hawaelewani, kitu pekee kinachowaunganisha ni vile Christian wanaamini ardhi ya Israel ni muhimu katika imani yao. Judaism wahawakubali Christians kwa vile wanadai walibadili maandiko na kuingiza mambo yasiyo kweli.

Christians wanaikubali sana Israel ni Evangelism kuliko RC.

But when it comes vita vya kidini haitawahusisha Judaism pekee.
Ni sawa sawa na hapa jf wanaamini kila mkristo anafata uongozi wa papa. So hata inapotokea vita ya kidini haitamhusu myahudi na mwislam pekee.
Labda ninyi wenyewe mlete shobo.
Kwasababu mataifa ya kiislam yataungana kuipiga Israel and not other wise.
Waarabu na waajemi waungane kumpiga Israel wewe wa Nyantumbo ushoboke yakuhusu nini bro!??
Embu jaribu kulifikiria hilo.
Na niliposema ni vita ya kidini it means waarabu watalichukulia hili suala kidini na wataungana wote kwa pamoja dhidi ya Israel kwa wito wa dini moja.
Sasa wewe wa huku Afrika ukinikuta mimi barabarani muislam na Punjab yangu ukanivamia kisa waarabu wameivamia Israel kwa munajili wa kidini si utakua huna akili??
Na mimi sikuachi nakulima vibaya sana😂😂😂😂.
Nasisitiza kaka,usidhani kama mataifa mengi ya Ulaya yatajitokeza kuhatarisha uchumi wao kisa kumsaidia Israel atakapovamiwa na nchi za kiislam.
Yani kisa ujinga na ubabe wa kipuuzi wa Israel uhatarishe uchumi wa mataifa ya watu!??
Ndio maana USA na UK huwa wanajitahidi ku contain hizo vurugu maana wanafahamu kama ikibadilika kwa mlengwa wa kidini Israel sio salama tena.
 
Labda ninyi wenyewe mlete shobo.
Kwasababu mataifa ya kiislam yataungana kuipiga Israel and not other wise.
Waarabu na waajemi waungane kumpiga Israel wewe wa Nyantumbo ushoboke yakuhusu nini bro!??
Embu jaribu kulifikiria hilo.
Na niliposema ni vita ya kidini it means waarabu watalichukulia hili suala kidini na wataungana wote kwa pamoja dhidi ya Israel kwa wito wa dini moja.
Sasa wewe wa huku Afrika ukinikuta mimi barabarani muislam na Punjab yangu ukanivamia kisa waarabu wameivamia Israel kwa munajili wa kidini si utakua huna akili??
Na mimi sikuachi nakulima vibaya sana😂😂😂😂.
Nasisitiza kaka,usidhani kama mataifa mengi ya Ulaya yatajitokeza kuhatarisha uchumi wao kisa kumsaidia Israel atakapovamiwa na nchi za kiislam.
Yani kisa ujinga na ubabe wa kipuuzi wa Israel uhatarishe uchumi wa mataifa ya watu!??
Ndio maana USA na UK huwa wanajitahidi ku contain hizo vurugu maana wanafahamu kama ikibadilika kwa mlengwa wa kidini Israel sio salama tena.
Hujaelewa point yangu Christians wataingiaje. Na ninaposema Christians ni worldwide sio a certain part.

Labda nikuulize kama unajua umuhimu wa taifa la Israeli kwa Christians?
Kwa sasa hakuna vita ya kidini ndio maana unaona hata judaism wenyewe wanatofautiana mawazo kuhusu hii vita ya sasa.

Religions is ideology.
 
Hujaelewa point yangu Christians wataingiaje. Na ninaposema Christians ni worldwide sio a certain part.

Labda nikuulize kama unajua umuhimu wa taifa la Israeli kwa Christians?
Kwa sasa hakuna vita ya kidini ndio maana unaona hata judaism wenyewe wanatofautiana mawazo kuhusu hii vita ya sasa.

Religions is ideology.
Nimekuelewa ama huwenda hujataka kuelewa nagusia nini.
Ila kiufupi usitarajie mataifa yakatoa majeshi kwenda Israel kumsaidia.
Never bro,tena haswa Afrika.
Sudan tu hapo wakristo walivyokua wanauliwa na Janjaweed kiasi Sudan ikavunjwa na kuungwa mataifa mawili hakuna taifa lolote Afrika lililosaidia.
Central African Republic ni yale yale.
Kuna sababu kuu ya kumpigania mtu kaka,sio sababu za kipuuzi kama za Israel.
 
Imenibidi niandike hilo jina Google pengine naweza PATA taarifa yyte kumuhusu naona kati ya taarifa zake hakuna taarifa ya kifo sasa nyie ndugu zangu ktk imaani kwann mnakubali kudanganywa kirahisi hivyo au hivyo vichwa vyenu ndani havina ubongo?
Israel habari kama hizo anazifuta haraka sana, au anaziblocked. We tazama genocide anazo fanya Gaza anazifuta au zi blocked
 
Nimekuelewa ama huwenda hujataka kuelewa nagusia nini.
Ila kiufupi usitarajie mataifa yakatoa majeshi kwenda Israel kumsaidia.
Never bro,tena haswa Afrika.
Sudan tu hapo wakristo walivyokua wanauliwa na Janjaweed kiasi Sudan ikavunjwa na kuungwa mataifa mawili hakuna taifa lolote Afrika lililosaidia.
Central African Republic ni yale yale.
Kuna sababu kuu ya kumpigania mtu kaka,sio sababu za kipuuzi kama za Israel.

It's time to wrap things up.


We had a fight today and she threw the wedding ring out the window and went to her room.

As I ran to where the ring fell, I found it, then bought her something to eat, took it to the room and apologized.

She accepted and regretted and went to get the ring.

Spend two hours searching for the ring in full sun while the ring was in my pocket.

So I went there, gave it and said I had found it two hours ago.

So we had another fight.
 
It's time to wrap things up.


We had a fight today and she threw the wedding ring out the window and went to her room.

As I ran to where the ring fell, I found it, then bought her something to eat, took it to the room and apologized.

She accepted and regretted and went to get the ring.

Spend two hours searching for the ring in full sun while the ring was in my pocket.

So I went there, gave it and said I had found it two hours ago.

So we had another fight.
I have nothing to say it is time for chicken soup.
👋👋good bye Sir.
 
Kuna article nyingi sana zimeandika tofauti tofauti kaka.
Ila kuna archieve ya October war Aljazeera English kaitafute youtube itaipata kaitizame wanahojiwa wale waliopigana hiyo vita wakieleza kila kitu.Maana najaribu ku copy link inashindikanika.
Sema Allahu Akbar and Inshallah web itakubali hahahaha ushakunywa mkojo wa Punda lakini?
 
Acha kuongea porojo bro.
Waarabu hawaogopi kuingia vita na Israel,ila hawataki kukurupuka kuingia vitani na Israel.
Na wao wamejifunza vita za kidiplomasia ndio maana unaona leo hii Israel imefikia pabaya hapa ilipofika hadi wazungu wengi wamemkataa kumsapoti,aliyebaki kumsapoti ni USA,UK na Germany tu.
Hiyo vita ya kidiplomasia ilipiganwa Cairo kwa kuanzisha mikutano ya peace summit kwa kukaribisha nchi za Arab league na mataifa yenye ushawishi duniani.
Na ikagundulika tatizo ni Israel mwenyewe alianzisha vurugu August.
Na ili mzozo uishe suala ni two state solution.
Ndio maana unaona Norway,Belgium,Spain,Nertherland,Brazil,South Afrika n.k n.k walimsapoti Palestina na wakakataa kumtambua Hamas kama kundi la kigaidi bali wanatambua Hamas kama wapigania uhuru.


Unapozungumzia vita kuna Yemeni,Lebanon,Syria,Iraq hao wote wanaishambulia Israel indirectly.
Hadi Bahrain imeundwa kundi la kiasi la axis of resistance,na mwezi May lilirusha maroketi kuelekea Eilat.
Msiwachukulie waarabu wajinga kwa kukaa kwao kimya,hayo makundi wao ndio wanapenyeza pesa kuyalisha ili yaisumbue Israel.
Hakuna mwarabu anayeogopa kupigana na Israel,ila wanaenda kwa hatua wasiharibu uchumi wao.
Hayo ni yako wewe mmatumbi wa Kilwa Masoko ila waarabu hawana hamu ya kupigana tena na Israel na hata hao wapalestina pia hawana muda nao tena.

Iran ndio anahangaika akiwatumia wapalestina kama chambo ili aweze kueneza ushia mashariki ya kati lakini waarabu walisha mstukia na ndio maana hawamtaki na wanasema ni kafiri aliyemkataa mtume.
 
Back
Top Bottom