Hezbullah Wamemuwa The Commender of Israel's Unit 8200 The Worlds Most Powerful Surveillance Agencies

Hezbullah Wamemuwa The Commender of Israel's Unit 8200 The Worlds Most Powerful Surveillance Agencies

Kumbe ule music wa Hezbullah kuwauwa kuku kwenye banda kulikuwa na majogoo wakubwa wamenono 😄

The commander of Israel’s Unit 8200 is a closely guarded secret. He occupies one of the most sensitive roles in the military, leading one of the world’s most powerful surveillance agencies, comparable to the US National Security Agency.

Pole sana adios ami..
Mnaendelea kujilisha upepo na kutwanga maji kulowana msuli na &$#*!
Kwenye MEDANI Kuna Mbinu Inaitwa DISINFORMATION, COVER, FIFTH COLUM.....
SINA Sababu Kukufahamisha mengi!; Wahenga Wanasema Unapokula na kipofu Usimshike Mkono!
 
Israel kafanya mauaji mangapi pale Iran?
Vita haipiganwi kwa kupata sababu ya kupigana, vita inapiganwa kwa kupata support.
Kuna nchi zinachokozwa kwa makusudi, wanakuwa na sababu ya kulipiza ila wakikosa support hunyamaza. Hakuna nchi inajitosheleza kuingia vitani bila support yoyote iwe direct au indirect.

Kwa issue ya iran, mshirika wake mhimu ni Russia, intel inadai kwamba Russia ndio alimwambia iran aache kulipiza direct kwa sababu huo ni mtego ili Russia aingilie kutoa support, apigwe kule kwa kumuwezesha Ukraine. War is all about supporting. Kosugi
Mkuu inategemea na aina ya vita.
Ila sababu kuu ya Iran kusitisha vita sio Russia hapana,sababu kuu ni UCHUMI.
Rais mpya wa Iran alitoa wito kuwa Iran uchumi wake kwasasa sio salama kwa vita.
Ila Iran hiyo hiyo ina sababu zake ambazo ukizivuka ni sawa umevuka mipaka na hawakusamehi kamwe.
Mauaji waliyofanya Israel ndani ya Iran ni ya kutumia mamluki hivyo na huwa hayanaga ushahidi unaotosheleza,huwezi kuanzisha vita kwa kisa kidogo kama hicho.
Ila Iran hiyo hiyo mwezi May haikusita kuishambulia Israel directly kwa kuwarushia makombora 300 baada ya Israel kulipua ubalozi wa Iran Syria.
Hapo walivuka red line na ushahidi ulikuwepo wazi,na Iran ilijiandaa kwa makombora zaidi na vita kamili kama Israel angejibu mashambulizi.
Sasa red line nyingine ni kumuua kiongozi wa shiite.
Ukivuka hiyo red line kaka,mashia hawajali kifo,uchumi wala kuhangamia yani watapigana kufia imani fight for martyrdom.

Kuna mistari usiivuke kabisa ukiivuka watu hawajali support wala kitu gani.
 
Mhh.
Kumbe kiongozi wa kidini ni muhimu kuliko Taifa lao?
Utawala wa taifa lao unaongozwa kidini.
Dini ndio taifa na taifa ndio dini.
Ndio maana kiongozi wa dini Ayatollah ndio ana kauli kuliko raisi wa nchi.
Sasa ukimuua Ayatollah ni sawa umemuua kiongozi mkuu wa hilo taifa.
Unadhani mkuu watakuacha salama!?
 
Pole sana adios ami..
Mnaendelea kujilisha upe na kutwanga maji kulowana msuli na &$#*!
Kwenye MEDANI Kuna Mbinu Inaitwa DISINFORMATION, COVER, FIFTH COLUM.....
SINA Sababu Kukufahamisha mengi!; Wahenga Wanasema Unapokula na kipofu Usimshike Mkono!
Sawa mjuzi wa vita wewe umewashinda hata ma General wa IDF 😄 Sijui nani kipofu hapo.


View: https://youtu.be/ClPfJB7Tmlk?si=Q0k4bq5qlfVI4uWc
 
Kuna mistari usiivuke kabisa ukiivuka watu hawajali support wala kitu gani.
Unaweza niambia ni nchi gani imewahi ingia vitani kwa kujitosheleza yenyewe bila any support (direct or indirect)
 
Utawala wa taifa lao unaongozwa kidini.
Dini ndio taifa na taifa ndio dini.
Ndio maana kiongozi wa dini Ayatollah ndio ana kauli kuliko raisi wa nchi.
Sasa ukimuua Ayatollah ni sawa umemuua kiongozi mkuu wa hilo taifa.
Unadhani mkuu watakuacha salama!?
Nafahamu.
Ila ninachouliza kama adui kamuua mwanao, unatamani kulipa kisasi ila kila ukiangali uwezo wa huyo adui ni mara 10 zaidi yako. Pia huna mtu yoyote ambae yuko tayari kukupa support. Je bado utaenda tu kulipiza kisasi ili hali unajua anaweza kuua na wewe?

NB: huo mfano usihusishwe na mataifa. Jibu kama ulivyo.
 
Unaweza niambia ni nchi gani imewahi ingia vitani kwa kujitosheleza yenyewe bila any support (direct or indirect)
Vita ya kwanza nayoweza kuitaja ni Yomkippur War 1973 October.
Hii vita pale Sinai peninsula Egypt na Israel wote walipigana bila sapoti yeyote.
Japo February 1974 Egypt baada ya kukomboa sehemu kubwa ya Sinai alipooza ama kupunguza kasi ya mashambulizi.
Vita hii sio Egypt wala Israel hakuna aliyepokea support kutoka popote.

Pia mkuu tusitazame sana ya zamani,tutizame ya sasa.
Kuna mataifa ambayo yashajiwekea mipaka mkuu,ukivuka hiyo mipaka hawakuvumilii na wala hawajali kitu.
Hapo ndio utajiuliza kwanini Israel ubabe wake wote pale Jerusalem hauvunji msikiti wa Al Aqsa.
 
Huwa sishabikii. Hiyo quote nimemjibu alichoandika huyo mdau.
Na kwenye maelezo yangu sijasema hajauliwa wala sijasema ndio pekee wana technology, haya maneno yametoka wapi shekhe?
Hatujafahamina lugha we mdau nilicho sema Iran hawezi mtegemea Mrusi kwenye vita tofauti na Israel. Wewe unayesema huo ni mtego wa Mrusi mimi naona tofauti we una hakika gani huo usiwe mtego wa America. Hivi wewe unadhani ni US ndio ana technology peke yake mpaa ukamdharau Iran kuwa Mrusi ndio kamwambia asilipe? Usiwe unakula mayai na mhogo asubuhi asubuhi ukadhania utajibiwa ulivyo andika utajibiwa kwenye point muhimu tu.
 
Nafahamu.
Ila ninachouliza kama adui kamuua mwanao, unatamani kulipa kisasi ila kila ukiangali uwezo wa huyo adui ni mara 10 zaidi yako. Pia huna mtu yoyote ambae yuko tayari kukupa support. Je bado utaenda tu kulipiza kisasi ili hali unajua anaweza kuua na wewe?

NB: huo mfano usihusishwe na mataifa. Jibu kama ulivyo.
Sitakaa kimya,damu nzito mkuu.
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi.
Nitalipiza pasi na kujali nguvu wala matokeo.
 
Vita ya kwanza nayoweza kuitaja ni Yomkippur War 1973 October.
Hii vita pale Sinai peninsula Egypt na Israel wote walipigana bila sapoti yeyote.
Japo February 1974 Egypt baada ya kukomboa sehemu kubwa ya Sinai alipooza ama kupunguza kasi ya mashambulizi.
Vita hii sio Egypt wala Israel hakuna aliyepokea support kutoka popote.

Pia mkuu tusitazame sana ya zamani,tutizame ya sasa.
Kuna mataifa ambayo yashajiwekea mipaka mkuu,ukivuka hiyo mipaka hawakuvumilii na wala hawajali kitu.
Hapo ndio utajiuliza kwanini Israel ubabe wake wote pale Jerusalem hauvunji msikiti wa Al Aqsa.
Unamaanisha kila mmoja alitumia siraha zake alizounda mwenyewe.?
Unaweza nithibitishia kuwa kabla ya vita kuanza hakuna aliepokea siraha toka nje ya mipaka yake?


Hapo ndio utajiuliza kwanini Israel ubabe wake wote pale Jerusalem hauvunji msikiti wa Al Aqsa.
This question is based on a false assumption.
 
Unamaanisha kila mmoja alitumia siraha zake alizounda mwenyewe.?
Unaweza nithibitishia kuwa kabla ya vita kuanza hakuna aliepokea siraha toka nje ya mipaka yake?
Mkuu Egypt imenunua na imekua ikinunua silaha kutoka Soviet.
Na Israel imekua ikipokea silaha toka USA.
Ila tangu vita ianze hakuna aliyeletewa package ya msaada wowote hadi vita inatamatika kwa mkataba wa Camp david.

Msaada wa vita unaangaliwa wakati wa vita,kile kipindi the triggers are pulled je nani alipatiwa msaada toka wapi.
Mfano Iran-Iraq war 1980-1988 Iraq vita ilipoanza ilikua ikiletewa shehena ya silaha na fedha kutoka USA,France,Bahrain n.k,Iran ilikua ikipokea shehena ya silaha tokea Israel,North Korea,Syria n.k n.k.


This question is based on a false assumption.
Is not my friend,those are true analysis.
Kama unafuatilia mijadala mingi ya mashariki ya kati pale vurugu zinapoanza,viongozi wengi wa Western na USA lazima utawasikia wakinasibisha vita na udini,na lazima uwasikie wakisema vita inatakiwa isisambae ikageuka kuwa ya kidini.
Ask yourself bro kwanini wanasema vita isije ikasambaa na ikageuka ya kidini!??
 
Hatujafahamina lugha we mdau nilicho sema Iran hawezi mtegemea Mrusi kwenye vita tofauti na Israel. Wewe unayesema huo ni mtego wa Mrusi mimi naona tofauti we una hakika gani huo usiwe mtego wa America. Hivi wewe unadhani ni US ndio ana technology peke yake mpaa ukamdharau Iran kuwa Mrusi ndio kamwambia asilipe? Usiwe unakula mayai na mhogo asubuhi asubuhi ukadhania utajibiwa ulivyo andika utajibiwa kwenye point muhimu tu.
Ungeanza kumsoma niliem quote ungenielewa point yangu.
Ukielewa niliposema vita ili ipiganwe itahutaji support, utajua nikichomaanisha.

Nilichomaanisha ni kwamba mfano iran ameamua kuingia vitani na Israel, lazima na yeye atahitaji support (siraha kama yeye anavyotoa support kwa Russia). Kumbuka vita inaweza kurefushwa muda wake kwa lengo la kukuchosha na kukudhoifisha.

Hicho kitu kimefanyia Ukraine dhidi ya Russia, na wanaompa support Ukraine walisema wazi Russia atachoka na kuishia resources. Russia kwa kulijua hilo akaomba support ya siraha kutoka Iran na tumeziona zinafanya kazi kwenye hiyo vita.

Otherwise uniambie Iran anao uwezo wa kupigana na hao maadui zake wote hata kwa miezi 6 bila kuhitaji support yoyote, yaani anajitosheleza kwa kila kitu, je ndivyo unavyotaka kusema?
 
Mkuu Egypt imenunua na imekua ikinunua silaha kutoka Soviet.
Na Israel imekua ikipokea silaha toka USA.
Ila tangu vita ianze hakuna aliyeletewa package ya msaada wowote hadi vita inatamatika kwa mkataba wa Camp david.

Msaada wa vita unaangaliwa wakati wa vita,kile kipindi the triggers are pulled je nani alipatiwa msaada toka wapi.
Mfano Iran-Iraq war 1980-1988 Iraq vita ilipoanza ilikua ikiletewa shehena ya silaha na fedha kutoka USA,France,Bahrain n.k,Iran ilikua ikipokea shehena ya silaha tokea Israel,North Korea,Syria n.k n.k.



Is not my friend,those are true analysis.
Kama unafuatilia mijadala mingi ya mashariki ya kati pale vurugu zinapoanza,viongozi wengi wa Western na USA lazima utawasikia wakinasibisha vita na udini,na lazima uwasikie wakisema vita inatakiwa isisambae ikageuka kuwa ya kidini.
Ask yourself bro kwanini wanasema vita isije ikasambaa na ikageuka ya kidini!??
Naomba uthibitisho kuwa Israel ilijitegemea na Misri ilijitegemea.
 
Iran walishakazwa, Rais alitunguliwa juu kwa juu kwenye helikopta, kilichofuata baada ya hapo wakamla kichwa kiongozi wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran kwenye sehemu yenye ulinzi mkali.

Hata Rais wa Iran mpya anamuomba Ayatollah asianzishe vita we huogopi ?? Makamu wa Rais aliachia madaraka fasta, Mziki wa Israel huo
Hizi kelele zote wangeweza kuzuia kichapo cha Kila siku kutoka kwa Hezbollah tungewaelewa otherwise ni kelele za chura hizo
 
Is not my friend,those are true analysis.
Kama unafuatilia mijadala mingi ya mashariki ya kati pale vurugu zinapoanza,viongozi wengi wa Western na USA lazima utawasikia wakinasibisha vita na udini,na lazima uwasikie wakisema vita inatakiwa isisambae ikageuka kuwa ya kidini.
Ask yourself bro kwanini wanasema vita isije ikasambaa na ikageuka ya kidini!??
Unaamini vita kati ya Palestina na Israel ni ya kidini?
Hao wanaosema vita isije kuwa ya kidini wanamaanisha ikiwa ya kidini inagusa sehemu nyingi. Kila imani itajiunga kuwatetea watu wa imani yake, na hata hao hao viongozi na wenyewe watajikuta wanatofautia ili kila mmoja alinde imani yake.
 
Back
Top Bottom